sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
.. Hahahaha! Chuo gani na mimi nije?...Wiki ya pili hii najifunza kucheza kiduku.
.. Hahahaha! Chuo gani na mimi nije?...Wiki ya pili hii najifunza kucheza kiduku.
I see...hope you had a great time...good music soothes!The singing na drumming... walikua soo organised... tofauti na zile nyimbo za kijijini ambazo huimbwa na watu wa mjini kwa mzaha as if they have neva heard the song... Hawa walikua wanaimba na kucheza hasa... infact ilivutia watu wengi saana pale, almost wengi walipendezewa... nafikiri na ile tu kua i was katika sherehe na dancing is part of it....
Wapi huko Husny?? Watu wazima tunaruhusiwa?? lol
<br />.. Hahahaha! Chuo gani na mimi nije?...
Wiki ya pili hii najifunza kucheza kiduku.
<br />Wapi huko Husny?? Watu wazima tunaruhusiwa?? lol
Jifunze vizuri na mie uje unifundishe....Wiki ya pili hii najifunza kucheza kiduku.
<br />karibuni mpwapwa...lol!
Habari wana JF….
Lini mara ya mwisho ulicheza mziki kwa kujiachia na
kufurahia kabisa huo Musiki ulikua unacheza?? Haijalishi
ulikua wapi... Ilikua Chumbani kwako?? Sherehe?? Club??
Mtaani?? ama Kijijini?? Na if you don't mind ni wimbo gani
huo ulikukuna mpaka ukakunyanya kucheza... Naomba tafadhali
saana Ushee na Sie... KIKUBWA... Do you Remember???
P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe….(ADI)
<br />Jifunze vizuri na mie uje unifundishe.... <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />
<br />hahaha umeshatenguka vidole vingapi vya miguu???
Jmartin na fally ipupa nilicheza savannah lounge last wk mpaka chini
kuna wimbo huu mpya pia wa kinigeria, shawo shawo, shawaleeee..........
sijui ninininiiii
Nakuja tujifunze wote, nipate cha kuchangia kwenye hili sredi la AD... Natakiwa kuja na nini?... Tshirt na jeans au pensi nyanya?.. Gonga snake au raba mtoni?..<br /><br />
<br /><br />
aisee hiki kuduku najifunzia chumbani. Bado unataka kuja?