Elections 2010 Do you know why not Dr Slaa 2010-2015?

RONALD URASSA

Member
Sep 28, 2010
9
0
Issue ni kwamba ki haki na kiualali kabisa dr slaa ni rais, ila sasa kwa kuwa mgombea urais wa ccm ndiye mwenye serikali na majeshi yote na nec amewachagua yeye kwahiyo kura lazima zitaibwa tu,labda mniambie ni mikakati gani ya ulizi iliyo wekwa kuthibiti wizi wa kura? Peopleeeees? So justtell me those strategies and man power which will be used. Thanks.
 
Why should we tell you....you tell us how votes will be stolen First as u seemed to be over the top otherwise u r bluffing in a day light.
 
Issue ni kwamba ki haki na kiualali kabisa dr slaa ni rais, ila sasa kwa kuwa mgombea urais wa ccm ndiye mwenye serikali na majeshi yote na nec amewachagua yeye kwahiyo kura lazima zitaibwa tu,labda mniambie ni mikakati gani ya ulizi iliyo wekwa kuthibiti wizi wa kura? Peopleeeees? So justtell me those strategies and man power which will be used. Thanks.
Ni kweli wanaweza kuiba kura, lakini mi nadhani tukipiga kura kwa wingi kwa Dr. Slaa itampa nafasi kubwa Dr. Slaa kushinda hata kama wataiba
 
Ni kweli wanaweza kuiba kura, lakini mi nadhani tukipiga kura kwa wingi kwa Dr. Slaa itampa nafasi kubwa Dr. Slaa kushinda hata kama wataiba

Ni kweli huwa wanaiba pale tofauti inapokuwa ndogo. Lakini Slaa akipata kura mil 11 na Kikwete kura mil 3 hawana ujanja inabidi wakubali tu. Lakini kama Slaa akipata kura mil 8 na Kikwete mil 7.2 hapo wanachakachua kabisa hawa watu, hawaaminiki hata kidogo.
 
Ni kweli wanaweza kuiba kura, lakini mi nadhani tukipiga kura kwa wingi kwa Dr. Slaa itampa nafasi kubwa Dr. Slaa kushinda hata kama wataiba


..wazee datas za jikoni ni kuwa vyombo chini ya uenyekiti wa mkulu kwenye kikao cha siri ..imeamuliwa kuwa hata akishinda ....hawatampa ..na wamepanga kukimbilia kumwapisha haraka kama walivyofanya Kenya ...na kwa kuogopa aftermath ya mpango wao ndio maana wamemtuma LT Gen Shimbo ....atume alert ili watu wasidhubutu kupinga matokeo.............hali itakuwa mbaya kwani hata zanzibar imeamuliwa akishinda maalim pia hawampi....so jeshi litakuwa na kazi kubwa sana....na kuna dalili za kuzorotesha maridhiano.....
Inside info zinasema wanasema kama Zanzibar CUF wamekuwa wakishinda siku zote na hawawapi..itakuwa kwa bara????.............Ambako hata mwaka 1995 walichakachua......
maafisa wa juu wa usalama na jeshi wana hofu kuwa Mkulu akishindwa ...ajira zao zitakuwa mashakani...ni propaganda ambayo wamepikwa nayo.......na wamepewa jukumu la kuokoa jahazi...lakini ni wazi kuwa maafisa wa vyeo vya kati na chini hawafaidiki kwa lolote na uchakachuaji na ubabe unaotarajiwa kufanywa..
 
..wazee datas za jikoni ni kuwa vyombo chini ya uenyekiti wa mkulu kwenye kikao cha siri ..imeamuliwa kuwa hata akishinda ....hawatampa ..na wamepanga kukimbilia kumwapisha haraka kama walivyofanya Kenya ...na kwa kuogopa aftermath ya mpango wao ndio maana wamemtuma LT Gen Shimbo ....atume alert ili watu wasidhubutu kupinga matokeo.............hali itakuwa mbaya kwani hata zanzibar imeamuliwa akishinda maalim pia hawampi....so jeshi litakuwa na kazi kubwa sana....na kuna dalili za kuzorotesha maridhiano.....
Inside info zinasema wanasema kama Zanzibar CUF wamekuwa wakishinda siku zote na hawawapi..itakuwa kwa bara????.............Ambako hata mwaka 1995 walichakachua......
maafisa wa juu wa usalama na jeshi wana hofu kuwa Mkulu akishindwa ...ajira zao zitakuwa mashakani...ni propaganda ambayo wamepikwa nayo.......na wamepewa jukumu la kuokoa jahazi...lakini ni wazi kuwa maafisa wa vyeo vya kati na chini hawafaidiki kwa lolote na uchakachuaji na ubabe unaotarajiwa kufanywa..
Wakifanya kama Kenya kumuapisha haraka......na matokeo yatakuwa kama Kenya......Koffi Annan, Obasanjo n.k wajiandae!
 
..wazee datas za jikoni ni kuwa vyombo chini ya uenyekiti wa mkulu kwenye kikao cha siri ..imeamuliwa kuwa hata akishinda ....hawatampa ..na wamepanga kukimbilia kumwapisha haraka kama walivyofanya Kenya ...na kwa kuogopa aftermath ya mpango wao ndio maana wamemtuma LT Gen Shimbo ....atume alert ili watu wasidhubutu kupinga matokeo.............hali itakuwa mbaya kwani hata zanzibar imeamuliwa akishinda maalim pia hawampi....so jeshi litakuwa na kazi kubwa sana....na kuna dalili za kuzorotesha maridhiano.....
Inside info zinasema wanasema kama Zanzibar CUF wamekuwa wakishinda siku zote na hawawapi..itakuwa kwa bara????.............Ambako hata mwaka 1995 walichakachua......
maafisa wa juu wa usalama na jeshi wana hofu kuwa Mkulu akishindwa ...ajira zao zitakuwa mashakani...ni propaganda ambayo wamepikwa nayo.......na wamepewa jukumu la kuokoa jahazi...lakini ni wazi kuwa maafisa wa vyeo vya kati na chini hawafaidiki kwa lolote na uchakachuaji na ubabe unaotarajiwa kufanywa..

Jina la director wa uchaguzi Tanzania ni Mheshimwa Kiravu na aliyekuwa director wa uchaguzi Kenya wakati huo ni Mheshimiwa Kivuitu.
Haya majina yanaweza kuwa yanaashiria mambo mabaya kuhusu matokeo ya uchaguzi
 
..wazee datas za jikoni ni kuwa vyombo chini ya uenyekiti wa mkulu kwenye kikao cha siri ..imeamuliwa kuwa hata akishinda ....hawatampa ..na wamepanga kukimbilia kumwapisha haraka kama walivyofanya Kenya ...na kwa kuogopa aftermath ya mpango wao ndio maana wamemtuma LT Gen Shimbo ....atume alert ili watu wasidhubutu kupinga matokeo.............hali itakuwa mbaya kwani hata zanzibar imeamuliwa akishinda maalim pia hawampi....so jeshi litakuwa na kazi kubwa sana....na kuna dalili za kuzorotesha maridhiano.....
Inside info zinasema wanasema kama Zanzibar CUF wamekuwa wakishinda siku zote na hawawapi..itakuwa kwa bara????.............Ambako hata mwaka 1995 walichakachua......
maafisa wa juu wa usalama na jeshi wana hofu kuwa Mkulu akishindwa ...ajira zao zitakuwa mashakani...ni propaganda ambayo wamepikwa nayo.......na wamepewa jukumu la kuokoa jahazi...lakini ni wazi kuwa maafisa wa vyeo vya kati na chini hawafaidiki kwa lolote na uchakachuaji na ubabe unaotarajiwa kufanywa..

Mkuu actually Tanzania is no different with Zimbabwe, Kenya et al. The only thing can make things change is Peoples' Power. Tatizo la nchi hizi ambazo ni masikini ni moja. Nalo ni serikali ndiyo source kubwa ya ajira kwa watu wengi. Watu hawa wote kama wanalishwa propaganda that, a win for other party is a loss for job unatarajia nini?.

CCM haipo tayari kukabidhi nchi kwa mtu yeyote ambaye si mwana CCM hata kama wananchi watataka otherwise. Sababu kubwa ni kulindana, kuna watu wamejirundikia mali za kufuru kwa kuwaibia watanzania, hawa wote wapo Tayari kwa lolote kuhakikisha masilahi yao yanalindwa. A path to new party to be in power will start when those in power feel no more secured and cave to the public pressure. That period is far from happening unless few people decide to be candles to shed light to others.
 
Ni kweli huwa wanaiba pale tofauti inapokuwa ndogo. Lakini Slaa akipata kura mil 11 na Kikwete kura mil 3 hawana ujanja inabidi wakubali tu. Lakini kama Slaa akipata kura mil 8 na Kikwete mil 7.2 hapo wanachakachua kabisa hawa watu, hawaaminiki hata kidogo.

Kuna Masoja wataasi. Kwani masoja wakileta noma Kikwete atafanya nini?

Na huyo Makame lazima asome matokeo kwa mtutu siku hiyo.

Kwani masoja hawaoni jinsi Watanzania kwa mamilioni wanavyoteseka na bado wanadanganywa?
 
Issue ni kwamba ki haki na kiualali kabisa dr slaa ni rais, ila sasa kwa kuwa mgombea urais wa ccm ndiye mwenye serikali na majeshi yote na nec amewachagua yeye kwahiyo kura lazima zitaibwa tu,labda mniambie ni mikakati gani ya ulizi iliyo wekwa kuthibiti wizi wa kura? Peopleeeees? So justtell me those strategies and man power which will be used. Thanks.

Una kadi ya kupiga kura?
 
Kuna Masoja wataasi. Kwani masoja wakileta noma Kikwete atafanya nini?
Na huyo Makame lazima asome matokeo kwa mtutu siku hiyo.
Kwani masoja hawaoni jinsi Watanzania kwa mamilioni wanavyoteseka na bado wanadanganywa?


And this will be useful to your cause u think?

Only WARLORD Rostam, WARLORD MBOWE and the like will benefit from this scenario kaka....So better live these guys alone na tuache kuwaingiza kwenye propaganda zetu......Huko u/mnakoenda ni NO GO ZONE wandugu....
 
............Ndio maana ushauri wa Mzee Mwanakijiji....kuwa sasa inabidi Dr. Slaa a-act kama President unatakiwa kufanyiwa kazi.............Mwanakijiji alimshauri Dr. Slaa aongee na taasisi mbali mbali za serikali kuwahikikishia/kuwajulisha mambo mazuri pindi atakapochukua madaraka..........ili kuwapa confidence................

Mtu kama General Shimbo hivi sasa hana confidence kabisa akisikia Dr. Slaa anaingia madarakani..........
 
..wazee datas za jikoni ni kuwa vyombo chini ya uenyekiti wa mkulu kwenye kikao cha siri ..imeamuliwa kuwa hata akishinda ....hawatampa ..na wamepanga kukimbilia kumwapisha haraka kama walivyofanya Kenya ...na kwa kuogopa aftermath ya mpango wao ndio maana wamemtuma LT Gen Shimbo ....atume alert ili watu wasidhubutu kupinga matokeo.............hali itakuwa mbaya kwani hata zanzibar imeamuliwa akishinda maalim pia hawampi....so jeshi litakuwa na kazi kubwa sana....na kuna dalili za kuzorotesha maridhiano.....
Inside info zinasema wanasema kama Zanzibar CUF wamekuwa wakishinda siku zote na hawawapi..itakuwa kwa bara????.............Ambako hata mwaka 1995 walichakachua......
maafisa wa juu wa usalama na jeshi wana hofu kuwa Mkulu akishindwa ...ajira zao zitakuwa mashakani...ni propaganda ambayo wamepikwa nayo.......na wamepewa jukumu la kuokoa jahazi...lakini ni wazi kuwa maafisa wa vyeo vya kati na chini hawafaidiki kwa lolote na uchakachuaji na ubabe unaotarajiwa kufanywa..

Huu ndio typical uchochezi, hizi ndio lugha zilizofanya chaguzi zote zilizopita huko Zanzibar kutokubalika!
 
Jina la director wa uchaguzi Tanzania ni Mheshimwa Kiravu na aliyekuwa director wa uchaguzi Kenya wakati huo ni Mheshimiwa Kivuitu.
Haya majina yanaweza kuwa yanaashiria mambo mabaya kuhusu matokeo ya uchaguzi

Upuuzi huu!!! Tuwe makini tunavyobonyeza key-board zetu wajameni... we make like jokes but!!! lugha kama hizi alafu mshindi apatikane na sijui 52% to 48% amini usiamini.....
 
Ni ukweli usiofichika kwamba Dr. Slaa ana-uwezo wakujieleza kuliko JK. Na ni ukweli usiofichika kwamba Watanzania wanapenda mageuzi... ndio maana hata mwaka 2005 walimtegemea JK kwa mageuzi sana ndio maana alipata kura nyingi.

Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu kwamba ushindi hauwezi kuja kirahisi kiasi hicho... CHADEMA hawawezi kushinda kiti cha urais kwa sababu hizi.

1. Hivi wandugu Dr. Slaa anawezo kufika maeneo yote ya nchi kabla ya October 31st.
2. Hivi mwajua wahudhuria mikutano ni asilimia ndogo sana ya wapiga kura?
3. Hivi helcopter ya CHADAMA inayotua kwenye kijiji x kwa dakika 40 (kipindi cha shule ya msingi enzi zile) yatosha kweli kufanya waliohudhuria wote wabadili mwelekeo wake kwa % zote?
4. Mwajua kuna sehemu ambapo CCM imeonekana imefanya mambo, mfano kule Monduli, kule Rombo etc..
5. Kitendo cha CCM kuwa na wagombea ngazi zote ambao wanaomba kura za Mbunge na Rais wao ndio mwimba mchungu lakini wa kweli.

===>Ni kweli tutegemee CCM kutopata kura zaidi ya 70% kwa urais lakini la CHADEMA kushinda ni ndoto unless tusogeze uchaguzi hadi Feb 2011
 
Issue ni kwamba ki haki na kiualali kabisa dr slaa ni rais, ila sasa kwa kuwa mgombea urais wa ccm ndiye mwenye serikali na majeshi yote na nec amewachagua yeye kwahiyo kura lazima zitaibwa tu,labda mniambie ni mikakati gani ya ulizi iliyo wekwa kuthibiti wizi wa kura? Peopleeeees? So justtell me those strategies and man power which will be used. Thanks.

Wewe umetumwa na Brigedia Abdulman Kinana au Luteni General Shimbo au Luteni Yusuf makamba kupima joto au kutafuta mbinu za kuiba kura. Kingine umetumwa kuja ku-vote for JK kwenye poll ya JF.
 
Kura ni siri ya mtu, tusilazimishe kile kitu roho inataka aisee, tusubiri 31 October, hapo ndipo watanzania watachagua viongozi wao including yourself..
 
Back
Top Bottom