RONALD URASSA
Member
- Sep 28, 2010
- 9
- 0
Issue ni kwamba ki haki na kiualali kabisa dr slaa ni rais, ila sasa kwa kuwa mgombea urais wa ccm ndiye mwenye serikali na majeshi yote na nec amewachagua yeye kwahiyo kura lazima zitaibwa tu,labda mniambie ni mikakati gani ya ulizi iliyo wekwa kuthibiti wizi wa kura? Peopleeeees? So justtell me those strategies and man power which will be used. Thanks.