huyu mwenzetu kiranga ni kiboko kwa hiyo hataki kujifunza chochote anachoambiwa hata na wasomi ama wana congo wenyewe ili mradi tu kuna mtu alimwambai Joseph alisoma zanaki jioni basi huo ndio ukweli. Una matatizo kijana papara imekuzidi soma kaa tafakari fanya uchunguzi wako kama unauwezo huo ndio ufanya conclusion, unajua kama unalolijua wewe sio ndio jungu, hata ku summarize waraka wenyewe huwezi kwa sababu sio kweli kwamba waraka haukuzungumzia time yake tanzania, ume mention, na hawawezi kundika kila kitu kwa details unzaotaka wewe. kwa hiyo kuliko kutunyamazisha hebu acha mjadala uendelee ndio maana hapo juu wengine tumetoa changamoto ya kupanua utambuzi ili tujifunze zaidi juu ya hili. Kwa vyovyote vile hata kama kasoma zanaki jioni kama ni muuaji hatutaki kushirikiana nae.
Ukizungumza na wakongo wenyewe wanasema mkakati wa rwanda ni kuigawanya DRC na kuwa na eneo huru mpakani mwa rwanda na DRC ambalo litakuwa na kabila la mamluki wa rwanda. Yoote hii ni mikakati ya rwanda kutaka kuwazuia waasi wa kihutu walioko DRC ili wasirudi kuishambulia.
what? kuna watusi wananyemelea tz?
Hili mbona linajulikana siku nyingi? Plus kuna version zinasema kwamba Watutsi wanataka kuitawala East/ Central Africa nzima, na Museveni na Kabila ni Watutsi , na kwamba kuna Watutsi katika serikali ya Tanzania wanafanya infiltration etc. Ndiyo maana nika mention "Hima Empire" hapo juu. Sasa kuna watu wanarukia kwa sababu wanaona kuna news katika hii pdf wakati hata hawajui historia ya uvumi wa "Hima Empire", let alone "The Protocols of The Elders of Zion" which I likened it to.
Matatizo yangu ni juu ya the finer details za hii document.Hata kama ni kweli, inabidi iwe convincing.Kwangu mimi nikisoma hii document naona iko weak, imejaa ulimbwende na haina hard facts.
This document could very well be 100% correct, but that does not mean that we have to let shoddy punditry pass undisputed.
Challenge is the middle name of intelligence.
Also see "No Plot for Hima, Tutsi Empire - Museveni" http://allafrica.com/stories/200204090297.html
angalia hapo kweye kekundu, tafadhali tutake radhi watz, kuna watusi katika selikali ya tz wanafanya infiltration? hebu tutajie hao watu tuwarukie mara moja...mbona mnataka kututisha bwanaeee, hivi ni kweli?
by the way, hii kitu imeandikwa nimepoteza muda mwingi kuisoma, nimeona inaonekana kama ina ukweli fulani ndani yake, lakini sitaiamini moja kwa moja kwasababu inaonekana imeandikwa na adui mkubwa sana wa joseph kabila, na lengo lake anataka kupata support ya international community kuuangusha utawala wa kabila......naomba mwenye data za kueleweka zaidi ya hizo ndo atuwekee.
all in all, hayatuhusu, sisi ni watz, badala ya kushgulikia matatizo ya nchi yetu, badala ya kuhangaika na uchaguzi tuchague mtu wa maana kipindi hiki, haya yasitupotezee wakati. wakongo wana yakwao, na sisi tuna ya kwetu. sidhani kama wanyarwanda wanaweza kufanya chochote tz, kwasababu the moment tunakuja kugundua, watatembea kwa mguu hadi rwanda bila kupenda.
Hili mbona linajulikana siku nyingi? Plus kuna version zinasema kwamba Watutsi wanataka kuitawala East/ Central Africa nzima, na Museveni na Kabila ni Watutsi , na kwamba kuna Watutsi katika serikali ya Tanzania wanafanya infiltration etc. Ndiyo maana nika mention "Hima Empire" hapo juu. Sasa kuna watu wanarukia kwa sababu wanaona kuna news katika hii pdf wakati hata hawajui historia ya uvumi wa "Hima Empire", let alone "The Protocols of The Elders of Zion" which I likened it to.
Matatizo yangu ni juu ya the finer details za hii document.Hata kama ni kweli, inabidi iwe convincing.Kwangu mimi nikisoma hii document naona iko weak, imejaa ulimbwende na haina hard facts.
This document could very well be 100% correct, but that does not mean that we have to let shoddy punditry pass undisputed.
Challenge is the middle name of intelligence.
Also see "No Plot for Hima, Tutsi Empire - Museveni" http://allafrica.com/stories/200204090297.html
Unajua kusoma wewe? Unajua kusoma katika context? Unajua comprehension wewe? Unaweza ku link sentensi moja na nyingine ili kupata maana ya paragraph nzima?
mkuu, sijui kusoma, wala sijui kulink, nieleweshe we msomi tafadhali!
natamani sana kuisoma hii habari but imekataa kufunguka kwangu...kama kuna mtu anaeweza kunisaidia niweze kuisoma ningefurahi sana
OK, vizuri. Your humility is charming and shows a backhanded intelligence that was much veiled in your original post. If indeed it is humility and eminence I am seeing.
Let me break it down for you.
Nilichosema ni kwamba, kuna uvumi usio msingi kwamba kuna Watutsi wanataka kutawala Afrika mashariki na kati, uvumi huu ndiyo msingi wa "Hima Empire theory" ambayo inasema Kagame na Museveni ndio viongozi walio implement hii plan, na hata katika serikali ya Tanzania kuna Watutsi wanaotaka kutekeleza hii plan.Nimesema huu ni uvumi usio msingi, kama uvumi uliopelekea kuuawa kwa wayahudi kwa kutumia kijitabu cha uongo cha "The Protocols of The Elders of Zion" ambacho Hitler alikitumia kama propaganda ya chuki dhidi ya Wayahudi kabla ya kuwaua.
Nilichosema ni kwamba, tuyachambue mambo kiundani ili tusirudie makosa waliyoyafanya Wajerumani ya kukubali propaganda za kisiasa bila kuzichambua.
In fact, nilichosema ni quite the opposite ya wanachoelewa watu wengine.Wengine - kama wewe- wanaelewa kwamba nimesema kuna Watutsi katika serikali ya Tanzania wanaotaka kuichukua serikali. mimi nimesema kuna uvumi usio msingi, unaoendana na Hima Emipre theory na "The Protocols of The Elders of Zion" ili kuwafanya Watutsi waonekana wana empire ambitions.
Sasa mtu ukiwa huelkewi Hima Empire ni nini, kwa nini nimeita Hima Empire theory kama uvumi, kwa nini nimetoa hiyo link ya Allafrica.com inayomquote Museveni aki dismiss Hima Empire rumors, ukiwa hujui "The Protocols of The Elders of Zion" ni nini na ilichangiaje kuuawa kwa Wayahudi, ukiwa huelewi role ya propaganda katika mauaji ya halaiki ya Rwanda, unaweza kusoma kisentensi kimoja, kuki misinterpret, na kuona tofauti na kilichosemwa.
Sikatai kwamba hiki kijibooklet kinaweza kuwa na ukweli, lakini aliyekiandika inabidi atuletee a more concrete case than this hodgepodge of incredible propaganda.
Nilivyokuwa sekondari, years ago, nilikuwa mpenzi wa vitabu vya James Hadley Chase. Kuna kimoja kinaitwa "Believe this, you will believe anything"
It is inevitable that part of this document carries some truth.Mtu hawezi kuandika out and out falsehoods like that. Lakini pia hii ni document ya kisiasa, wapinzani wa Kabila wa kisiasa wameiandika, kwa hiyo inabidi tujue ukweli uko wapi na propaganda zilizo subject to interpretation ziko wapi na uongo uko wapi.
Kwa wale wanaotaka kulimeza pdf lote kama gospel truth, nawaambia kama alivyosema Chase.
Believe this, you will believe anything.
Unayo Adobe Acrobat Reader? kama huna unahitaji kudownload na kuinstall.
what? kuna watusi wananyemelea tz?
OK, hongera kwa kujua mkuu. kwaheri!