Do you feel LOVED?

gaga,wivu ni dalili tosha ya kutokujiamini,kama unajiamini kwa nini uwe na wivu,pia ni dalili ya kutokumwamini mwenzio huwezi kumwonea wivu mtu unaejua kuwa hawezi kukucheat na hata kama unaona kuna mambo anamfanyia mtu mwingine kwako itakuwa poa kwani unamuamini na anakufanyia zaidi!kwa kifupi wivu ni aina ya umimi yaani unaumia kwa mpenzi/mume akimfanyia mtu mwingime jambo fulani!upendo maana yake ni kumkubali mtu yoyote/mnyama bila kujali anakurudishia nini wewe ni kutoa tu!

kweli kabisa mkuu unayoongea,mm niko mbali na mke wangu yapata mwaka sasa ila tunaaminiana sana na sina wasiwasi nae ata kidogo na yy pia hana wasiwasi na mm coz hatukuoana kwa bahati mbaya ni kitu ambacho tulipanga na tukalidhika sote na kila mmoja aliona kuna sababu ya kuwa pamoja na tunawasiliana kila siku inayopita kwa msg na kuongea nahisi kama tuko pamoja maana tunashare kila kitu same toka kuamka mpaka kulala!sina sababu ya kuwa na wivu coz najiamini.
 
mkuu, hii kitu ndiyo inayofanya watu wabakie masela. Inatokea sana sana tu... Sometime wala siyo kwamba mtu anakuwa hakupendi, basi tu, kule kutoweza kustahimili majaribu ya kibinadamu. Na wengine just being out of curiosity. Tumeyasikia ya akina tiger woods, ashley cole, akina j-lo, akina david bekham, etc, etc... Ni kwamba pengine mtu anaweza akawa anakupenda kabisa kabisa, but kutokana na ujana or just curiosity, mtu anaamua kutembea na mwingine. Nakumbuka ile thread ya demu hapa jf aliyetaja anataka kutembea na mzungu, just to explore the world of mahaba. Si kwamba hakumpenda jamaa yake but an inbuilt curiosity drove her to dig further into her gratifications.

In addition to that, kuna wengine hao ambao hawawezi kusema no. True, am not kidding, wapo! I'll give you a story (sorry but i won't go deep to reveal id)... Kuna demu mmoja tukiwa secondary, basi huyo alikuwa kila mwanamme anayemtongoza anashindwa kujizuia... Unless huyo jamaa awe extremely weird! She couldn't simply say no for an answer. Of course, she could have been or stayed with one man and loved him to bits. But, we men sometimes cause all the suffering. We subject and elevate the promiscuity in girls like her. She could have been treated better by a man staying with her, and i believe she couldn't have objected to that. But the first, the second, third, fourth and so forth... All dump her from the reputation she has acquired, but also the fact that she was too easy for them to sleep with her, therefore men become alerted by the fact that, she could easily go with another man while still in relationship with them. And the cycle repeats itself.

On the other hand, an example of the girl above; is that, some are born sluts. I.e. Can't get enuff. The word here is nymphomania. Hawa wanaweza kuwa na mapenzi ya dhati kwa wapenzi wao, but no matter what you do, the'll want to, and indeed, they do need to sleep around with other men to get the satisfaction they need, just to keep topped up. Sex addiction is kinda funny, good and appreciated to some, but one man ain't gonna be enough for her. It's biological, and with a liberal mind cap on my head, i would say, it's no fault of theirs. Let them be! Chakujiuliza; ndiye mpenzi wako sasa, what do you do...!!

Hivyo basi, tukumbuke kwamba binadamu wanatofautiana. Na tunapo equate in sex kama last determinant ya mtu kukupenda, somehow, somewhat kuna kuchemsha kupata majibu fasaha ya hiyo love equation. Kwani, inaweza kutokea kabisa kwamba mmoja wenu akawa na abnormality ya sex kama nilivyoitolea mfano hapo juu kwa akina dada. But kwa wanaume nao, jambo hilo hilo laweza kuwa na ukweli. Kuna wanaume wasioweza kujizuia na pale wanapokuwa tempted, lakini pia kuna wanaume ambao wako sexually slow-paced au sex drive yao inahitilafu kutokana na sababu mbalimbali.

Mkuu tatizomuda, kama jina lako linavyoashiria, tatizo hapa ni muda!!! Maana unaweza ukaharakisha kujitumbukiza kwenye mapenzi jumla jumla na kujikuta unalikwaa lisilokupendeza. You would be left with long lasting scars. Kama hapo juu ulivyotolea mfano, yule uliyempenda yeyey hakukupenda, na yule aliyekupenda nawe hukumpenda. But kwa kujali muda, sometimes mutuality hujitokeza. Yakwamba, hata kama hampendani kihivyo, baada ya muda mrefu kupita, watu mnaamua kuoana, kwani hiyo jaribu-jaribisha mnakuwa mmeshai-work out namna ya kudeal nayo. Na kama nilivyosema, mtu unanunua mgodi mzimamzima baada ya tu-almasi tumoja tumoja kupatikana. Wao wanasema feasibility study! Tatizo ni muda!!

Siku njema. :)

mkuu naona umenisoma sana na umechambua haswa kile nilichomaanisha,hii imenigusa sana kumtima ahsante kwako,asha dii,gaga na wengine wote zidumu fikla za wana jf
 
Saying “I Love you”
Ukimwambia I love you… anakujibu “Thank you” OR kutumia phrases za kijanja kama “I love the way you say you love you” na kuishia hapo na kukupotezea (the good thing ni kua at least s/he is frank…lol)

Sometimes inatokea kwangu,akiniambia "i love you"
naishia kusema "me too"!!!!
Sio kwa sababu simpendi,ila sometimes unakua umechoka,
hujisikii kuongea chochote na yeyote ndo yanakuja hayo "i love you"

Na the thing inanichosha sana ni "i miss you",...ambayo utarudia kusema "i miss you too"
kwa siku unaweza ambiwa mara 10,inachosha na nikichoka kuisikia unaweza dhani sikupendi.

Kutumia maneno ya aina ileile mara nyingi inachosha,...creativeness inapalilia mapenzi
 
...mizani ya mapenzi. Katika siku 30 kila mwezi, au siku 365 za mwaka, mwenza wako anatumia muda gani ku behave namna hiyo?...inawezekana ni circles/phase mbali mbali tofauti za mapenzi i.e, motomoto, vuguvugu, au baridi...
 
kweli kabisa mkuu unayoongea,mm niko mbali na mke wangu yapata mwaka sasa ila tunaaminiana sana na sina wasiwasi nae ata kidogo na yy pia hana wasiwasi na mm coz hatukuoana kwa bahati mbaya ni kitu ambacho tulipanga na tukalidhika sote na kila mmoja aliona kuna sababu ya kuwa pamoja na tunawasiliana kila siku inayopita kwa msg na kuongea nahisi kama tuko pamoja maana tunashare kila kitu same toka kuamka mpaka kulala!sina sababu ya kuwa na wivu coz najiamini.
<br />
<br />
Safi sana,unajua binadamu tumeharibu uhalisia wa mambo mengi na tunatafuta sababu ya kuyahalalisha!God help us!
 
AshaDii.. Thanks for the post..Nimeikubali.. Tunashukuru umetukumbusha wajibu wetu!! Nami naomba niweke machache..

At glance..

Mawasiliano..
Naamini mawasiliano ni translation ya kwanza ya Human Feelings and Reaction. Naamini jinsi gani tunavyopeleka message kwa wapenzi wetu ndio tunaonyesha jinsi gani tunavyowapenda. Binafsi sipendi artificial feelings na Lugha za ki-uwongo toka kwenye video na magazeti..yaani “darling” ya uwongo ya kila mara.. Napenda kusikilizwa na kusahihishwa. Lakini kama Mwanaume nina kasumba yangu ya uanaume yaani inabidi Mama amwage data ili nikubaliane na ushauri wake.. Lakini mara kwa mara napokubaliana na ushauri wake nadhani nae anajisikia kupendwa. To be loved ni kusikilizwa, to be loved ni kuheshimiwa na to be loved ni kusahihishwa pale unapokosea na sio kuogopwa kwa sababu wewe unaleta mkate na chakula nyumbani..Mapenzi ya woga ni sumu ya maisha.


Ushirikiano…
Katika ushirikiano.. To be loved ni pale mwenzako anapokuamini. Utakuta watu wanajenga hadi nyumba inafika juu lakini mwenzake hajui.. Wengine hawajui hata Payroll ya baba ikoje? Mnasema eti mnapendana… Mtapendana vipi bila kuaminiana? Yaani kila mtu mshahara wake anaujua mwenyewe.. Kama mnafichana payroll ..mtawezaje kupanga bajeti ya nyumba? Kama unamficha mpenzi wako Investments zako..Ukifa unataka nani afuatilie? I believe, Kama mtashirikiana katika mambo ya uchumi na jamii, mtaweza onyesha what is really love..kwani mapenzi ni kuaminiana .. Mapenzi ni Sacrifice yaani usiogope kumwonyesha vitega uchumi vyako kwa mke wako hata kama ni mtani wangu wa jadi toka kule Machame, Moshi..Mwamini kwa sacrifice..litakalotokea na litokee.. Mungu yupo!

Sweet Haven…
Kumkaribisha mpenzi wako kwako hata kama ni jalalani maana yake ni kujifunua. Maana yake umemwamini nae aone uko vipi. Mara nyingi nyumba inaficha siri nyingi. Tabia ya mtu utaijua nyumbani. .. Msafi.. Mchafu… mkarimu kwa majirani.. Ni kweli..To be loved ni kujivua gamba la kwenda hotelini na kujikita nyumbani kwako hata kama kuna panya, viroboto, na uswazi! Home sweet heaven..Ukifanya hivyo mpenzi wako atakupenda jinsi ulivyo na wala sio kama alivyokuona siku ile pale Kilimanjaro kempinski..

Jealousy….
Watu wanasema wivu ni dalili ya mapenzi.. Binafsi napinga. Utawekaje wivu kwa binadamu ambaye hujui ndani ya moyo wake anafikiri nini. Utafikiri vipi kuwa mimi nin-cheat wakati kama nin-cheat siwezi kukwambia? Wivu ni waste of time na psychological torture. Kama hujui..sahau!

Material Needs…
Chochote mnachotumia pamoja ni chenu..lakini kama mmoja anampiga “mzinga” mwenzake kila mara.wakati anazo ..hizo ni dalili mbaya za kwamba hakuna mapenzi ya kweli zaidi ya kutoaminiana.na biashara. Kama mnapendana ..au to be loved ni kuwa..kabla hajaomba utajua anataka na hana msaaada!


Name Calling…
Inategemea mnaishi mazingira gani na mmekulia katika mazingira gani.. Nenda kwa Morani kwa kimasai na shujaa halafu mwite “baby”.. atasema..aisee mama nanii inaita mimi toto..ni dharau.. Nenda kwa mmasai huyo huyo aliyezaliwa na kukulia kule sehemu sehemu ..ambako wanaitana “baby” yaani atafurahi ukimwita “baby”.. To be loved ni kuitwa vile unapenda wewe.. na si vile kama inavyoandikwa kwenye kitabu..

Public appearances…
Ukiona mpenzi wako anakukimbia ..basi ujue hapo hakuna mapenzi ila biashara! Kama wewe ni “kibosile” umesoma na mke/mume/Partner wako ni maimuna toka shule za kanumba.. Kama ukiweza kumchukua kwenda katika minuso ya vibosile....na ukamtambulisha na kumwambia huyu ni mke wangu..Yaani atajisikia..kuthaminiwa, kuaminiwa, na kupendwa.. Public appearances ni translation ya vitu hivyo..Thamani ya mtu, uwazi, na kujiamini..Ukiona mtu anakwepa public appearances..hujue anakwepa hivyo nilivyosema hivyo wewe tafuta mlango uliowazi na uondoke..
 
Sometimes inatokea kwangu,akiniambia "i love you"
naishia kusema "me too"!!!!
Sio kwa sababu simpendi,ila sometimes unakua umechoka,
hujisikii kuongea chochote na yeyote ndo yanakuja hayo "i love you"

Na the thing inanichosha sana ni "i miss you",...ambayo utarudia kusema "i miss you too"
kwa siku unaweza ambiwa mara 10,inachosha na nikichoka kuisikia unaweza dhani sikupendi.

Kutumia maneno ya aina ileile mara nyingi inachosha,...creativeness inapalilia mapenzi
People may refuse our love,or reject our message but...........
 
I feel loved by my God, my parents n my son but

I feel used by men![/QUOTE]

Kaunga

Do you, with that line...also believe in this (courtesy ya my friend)

The difference between sex, super sex and love...

Girl asks her mother: What is sex?

Mother: Sex is when you stop a car driven by a man who offers you a meal in a restaurant, and then you spend some time with him in the hotel room, sleep with him once, and then each one go on his way and you have a hundred dollars bill extra in your pocket.

Then the girl asks her mother: What is Super Sex?

Mother: Super sex is when you stop a limousine driven by Chauffeur and a stylish man is sitting in the back who takes you to a luxurious villa, gives you a sumptuous meal with distinctive Caviar...and then you spend the night together in bed and engage in sex more than once, and then you part with an envelope containing a thousand dollars in your pocket.

And then the girl asks her mother: What is love?

Mother: Love is a lie invented by men so that they can have sex with you for free.

 
Mie naona kikubwa tu mume wangu asijue kua najua ana kimada.... kweli kabisa patakua padogo humo ndani, maana hizo changes zitatokea zitakua ni za kufa mtu... na hio psychology treat nitampa... kweli at the end atajuta.... (ndio maana sipendi ajue nikikua for it will take a lot of my energy in me which i hate!! na ndani kunachafuka kabisa...)

Nafikiri hio ni moja ya njia ya kumkomoa...lol... material demand mpaka nakoma mwenye.... nafikiri namengine kibao ambayo inakua kazi kidogo kuanika hapa... maana ukiangalia hata tendo la ndoa... kweli hamu inaisha kabisaa....
Hahaha!!! Lol sipati picha
 
Thanks AshaDii love for sharing this,

Nimesoma kila post so far, hasa SteveDii (sijui ameshamoata yule mchumba akimtafuta hapa) Gaga, Klorokwini, tatizomuda, Chauri, Eiyer na wengineo

Naona tu kuna kipengele ambacho bado kipo contentious:WIVU

For wengine wanaona kuwa wivu haufai, wwengine wanaona wivu kama chachu ya mapenzi

I understand kuwa tumeshajadili sana role ya wivu kwenye mapenzi na hata kuitofautisha na ghubu nk

Lakini kwa upende wangu nadhani wivu wa kiasi ni muhimu...na sio lazima eti ionyeshe kuwa hujiamini au humpendi mwenzi wako..hapana...mi nadhani its something that comes NATURALLY unapompenda mwenzako KIUKWELI. Kwa sababu mapenzi ya ukweli huwa na some degree of possessiveness, kutaka chako kiwe chako peke yako, lakini pia kikitaka chako kisjisikie kuwa ni chako na kipo protected (nadhani kina dada/mama hapa mnanipata).

Nashawishika kuamini kuwa hata wanyama, pamoja na kunyimwa utashi, wana "wivu" wa aina yao ndo maana kuna usemi 'mafahali wawili hawakai zizi moja"...tumeshajiuliza, kama anavosisitiza SteceDii, chanzo cha msemo huu?

Kwa hiyo, penye mapenzi ya kweli hapakosi wivu,suala ni kuangalia tu kwamba wivu suifike kwenye hatua ya Ghubu......maana hiyo sasa inakuwa sio mpango.

Ni hayo tu kwa sasa

Love leo nikitoka tu job nakuja na surprise moja ivi, sikwambii sasa hivi lol
 
Thanks AshaDii love for sharing this,

Nimesoma kila post so far, hasa SteveDii (sijui ameshamoata yule mchumba akimtafuta hapa) Gaga, Klorokwini, tatizomuda, Chauri, Eiyer na wengineo

Naona tu kuna kipengele ambacho bado kipo contentious:WIVU

For wengine wanaona kuwa wivu haufai, wwengine wanaona wivu kama chachu ya mapenzi

I understand kuwa tumeshajadili sana role ya wivu kwenye mapenzi na hata kuitofautisha na ghubu nk

Lakini kwa upende wangu nadhani wivu wa kiasi ni muhimu...na sio lazima eti ionyeshe kuwa hujiamini au humpendi mwenzi wako..hapana...mi nadhani its something that comes NATURALLY unapompenda mwenzako KIUKWELI. Kwa sababu mapenzi ya ukweli huwa na some degree of possessiveness, kutaka chako kiwe chako peke yako, lakini pia kikitaka chako kisjisikie kuwa ni chako na kipo protected (nadhani kina dada/mama hapa mnanipata).

Nashawishika kuamini kuwa hata wanyama, pamoja na kunyimwa utashi, wana "wivu" wa aina yao ndo maana kuna usemi 'mafahali wawili hawakai zizi moja"...tumeshajiuliza, kama anavosisitiza SteceDii, chanzo cha msemo huu?

Kwa hiyo, penye mapenzi ya kweli hapakosi wivu,suala ni kuangalia tu kwamba wivu suifike kwenye hatua ya Ghubu......maana hiyo sasa inakuwa sio mpango.

Ni hayo tu kwa sasa

Love leo nikitoka tu job nakuja na surprise moja ivi, sikwambii sasa hivi lol
Well this means something, nakubaliana na wewe Kaizer kwamba it's something that comes naturally tu
 
kuna mtu aliimba
heri niwe peke yangu mama .......+
heri niwe peke yaaangu...... Inabidi ifike mahali kila mtu aheshimu status yake kwenye mahusiano
huwa sioni sababu ya kumngangania mtu? Kama penzi alibalance sio penzi ilo.

Bebii!!! safi sana hakuna sababu hata moja ya kung'ang'aniana hata kidogo bora kuachia ngazi na kusonga mbele.
 
And then the girl asks her mother: What is love?

Mother: Love is a lie invented by men so that they can have sex with you for free

What ???!!!1
Siamini hili
Love is a lie invented by men so that they can have sex with you for free
Hapana siamini hapa
 
and then the girl asks her mother: What is love?

Mother: Love is a lie invented by men so that they can have sex with you for free

what ???!!!1
siamini hili
love is a lie invented by men so that they can have sex with you for free
hapana siamini hapa
huamini? Ndo ivo sasa?
 
huamini? Ndo ivo sasa?

bebii nikikuuliza what is love kwa maelezo yako wewe
hiyo definition oya huyo hapo juu sio kweli bana
kwani nikikupenda ndo nitakuwa na sex free
je kukutoa out, kukununulia msosi, viwalo, gharama za lodge, pesa kidogo za matumizi sio gharama kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom