tatizomuda
Member
- May 5, 2011
- 49
- 17
gaga,wivu ni dalili tosha ya kutokujiamini,kama unajiamini kwa nini uwe na wivu,pia ni dalili ya kutokumwamini mwenzio huwezi kumwonea wivu mtu unaejua kuwa hawezi kukucheat na hata kama unaona kuna mambo anamfanyia mtu mwingine kwako itakuwa poa kwani unamuamini na anakufanyia zaidi!kwa kifupi wivu ni aina ya umimi yaani unaumia kwa mpenzi/mume akimfanyia mtu mwingime jambo fulani!upendo maana yake ni kumkubali mtu yoyote/mnyama bila kujali anakurudishia nini wewe ni kutoa tu!
kweli kabisa mkuu unayoongea,mm niko mbali na mke wangu yapata mwaka sasa ila tunaaminiana sana na sina wasiwasi nae ata kidogo na yy pia hana wasiwasi na mm coz hatukuoana kwa bahati mbaya ni kitu ambacho tulipanga na tukalidhika sote na kila mmoja aliona kuna sababu ya kuwa pamoja na tunawasiliana kila siku inayopita kwa msg na kuongea nahisi kama tuko pamoja maana tunashare kila kitu same toka kuamka mpaka kulala!sina sababu ya kuwa na wivu coz najiamini.