Do u think Ouattara is for Ivorians?

Hata Quatara hana asili ya Ivory Coast kama sikosei ni Gambia alipoonekana tishio kuna sheria ilitungwa kumuondolea sifa za kugombea urais zilizohusishwa na uzawa na asili ya mgombea baada ya hapo Gbagbo akabadili sheria hiyo iliyomrejeshea Quatara sifa ya kugombea.

Mkuu zilikuwa ni fitna za wabinafsi wacheche kumzuia huyu jamaa asigombee,fuatilia mambo vizuri Bagbo ni muumini mkubwa wa huo ubaguzi dhidi ya watu anaodai si wazawa wa cote d'ivoire (yeye huiita hiyo sera ivorite).Lakini Outarra aliteuliwa na rais wao wa kwanza Felix Boigny kuwa waziri mkuu na aliperfome vizuri na hapo ndo alipoanza kuwa kwenye limelight.Yaleyale ya Kina Kaunda na Chiluba!Africa haiwezi kuendelea kwa viongozi aina ya kina Bagbo
 
Hata Quatara hana asili ya Ivory Coast kama sikosei ni Gambia alipoonekana tishio kuna sheria ilitungwa kumuondolea sifa za kugombea urais zilizohusishwa na uzawa na asili ya mgombea baada ya hapo Gbagbo akabadili sheria hiyo iliyomrejeshea Quatara sifa ya kugombea.

Mkuu Diehard wanasema ana asili ya Burkina Fasso,yeye na wananchi wengi wanaotoka kaskazini mwa cote d'ivoire iasemwa hawana asili ya cote d'ivoire.Lakini sidhani kama ubaguzi wa aina hii una msaada wowote kwa maendelea ya waafrika!
 
Hata Quatara hana asili ya Ivory Coast kama sikosei ni Gambia alipoonekana tishio kuna sheria ilitungwa kumuondolea sifa za kugombea urais zilizohusishwa na uzawa na asili ya mgombea baada ya hapo Gbagbo akabadili sheria hiyo iliyomrejeshea Quatara sifa ya kugombea.

Miafrika kwa mbinu chafu dah. Hata mzee Kaunda kama sikosei pamoja na kutawala Zambia muda wote huo alipokuja Chiluba walisema mzee Kaunda hana asili ya Zambia na kuanza kumwekea vikwazo kama hivo
 
kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

2,h=343.bild.jpg


Ouatara na mkewe Dominique.

May be who knows? nakumbuka hata rais Senghor wa Senegal alikuwa na mke wa aina hii(mfaransa) lakini mambo yalikuwa shwari tu so inaweza kuwa hakuna tatizo
 
Wazungu lazima wamsuport mzungu mwenzao, kama yule Mama wa Kiamerica aliye olewa na Rais wa ile nchi ya kule former USSR sikumbuki jina, yule Raisi akawekewa sumu ikaharibu sura yake!
 
kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.

2,h=343.bild.jpg


Ouatara na mkewe Dominique.

Unategemea hapo rais wa nchi atakuwa huyo mswahili au huyo mama? Unafikiri hili jamaa lina kitu cha kusema mbele yake huyu mama. Hiyo nchi ndio imeshauzwa hivyoo!
 
Back
Top Bottom