Do not declear failure until you fail - jk

QUALITY

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
853
115
Kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya CCM, taarifa za siri za Usalama wa taifa zilisema kuwa JK hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi

JK alikasirika sana katika kikao hich akasema "DON'T DECLEAR FAILURE UNTIL YOU FAIL". Mpaka mkurugenzi wa Tume atoe matangazo kuwa nimeshindwa ndipo "naweza" kukubali ingawaje hata hapo itakuwa ngumu! Akaongoze, mbona hao wasiotajwa kama NCCR wanaendelea na kampeni, je mimi?

Sasa nilipopata habari hii, nikasema niilete hapa JF kuona kama
  1. kuna mwenye taarifa zaidi
  2. Kwanini anaendelea na kampeni wakati ameshauriwa aache maana anzidi kuongeza gharama kwenye chama na serikali wakati nyota ya ushindi kwake imeishafifia?
Karibu jamvini
 
Kumbuka JK ni askari tena afisa mkubwa wa jeshi kwa cheo chake angeongoza kikosi. Hakuna kusalimu amri jeshini hadi risasi ya mwisho.
Labda nikukumbushe

Siku anarudisha form ya urais alisema;
" ccm ni kama jeshi liko vitani, ili kujua nguvu ya adui tutaanza kutuma platoon kwenda kupigana, tukizidiwa tutatuma section, tukizidiwa tutatuma kombania, tukizidiwa tutatuma kikosi, tukizidiwa tutatuma brigade,akaongeza hapo sasa itakuwa mashambulizi bila kusimama hadi adui atokomee na kutundika bendera ya ushindi"

Narudi kwenye mada kuwa hatuna uhakika kwamba;
  • platoon , section, kombania na brigade ni kitu gani kwa ccm nini
Yawezekana bado ana nguvu.Acha tumsikilize japo inaonekana kashindwa tayari
 
Kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya CCM, taarifa za siri za Usalama wa taifa zilisema kuwa JK hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi

JK alikasirika sana katika kikao hich akasema "DON'T DECLEAR FAILURE UNTIL YOU FAIL". Mpaka mkurugenzi wa Tume atoe matangazo kuwa nimeshindwa ndipo "naweza" kukubali ingawaje hata hapo itakuwa ngumu! Akaongoze, mbona hao wasiotajwa kama NCCR wanaendelea na kampeni, je mimi?

Sasa nilipopata habari hii, nikasema niilete hapa JF kuona kama

  1. kuna mwenye taarifa zaidi
  2. Kwanini anaendelea na kampeni wakati ameshauriwa aache maana anzidi kuongeza gharama kwenye chama na serikali wakati nyota ya ushindi kwake imeishafifia?
Karibu jamvini
unaleta taarifa, halafu unaomba mwenye taarifa zaidi

Haya ndiyo yanatakiwa ku-delete
 
Siku anarudisha form ya urais alisema;
" ccm ni kama jeshi liko vitani, ili kujua nguvu ya adui tutaanza kutuma platoon kwenda kupigana, tukizidiwa tutatuma section, tukizidiwa tutatuma kombania, tukizidiwa tutatuma kikosi, tukizidiwa tutatuma brigade,akaongeza hapo sasa itakuwa mashambulizi bila kusimama hadi adui atokomee na kutundika bendera ya ushindi"

huyu jamaa amejiandaa ku chukua nchi kwa ubavu hata akishindwa
 
unaleta taarifa, halafu unaomba mwenye taarifa zaidi

Haya ndiyo yanatakiwa ku-delete

:jaw:Hapo hamna tatizo, hii ni tetesi. Baadhi yenu inawezekana mlikuwa katika kikao hich, mnaweza kutoa picha live. Usijali, hatugombani, kama huna taarifa, unauchuna!
 
:jaw:Hapo hamna tatizo, hii ni tetesi. Baadhi yenu inawezekana mlikuwa katika kikao hich, mnaweza kutoa picha live. Usijali, hatugombani, kama huna taarifa, unauchuna!
nimekuelewa na tuko pamoja.. ila ujue hizi message ndio zinafanya akina kinana waamini sie tunakurupuka na wao wako sahihi
 
kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm, taarifa za siri za usalama wa taifa zilisema kuwa jk hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi

bye-bye jk lakini karibu sana dr. Slaa na chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
kama hizi taarifa zina ukweli wowote
nadhani huo ushauri haukuwa makini.
hao washauri wangekuwa wa maana kama wangetoa
ushauri wa kuhakikisha uchaguzi wa haki unafanyika
na awe tayari kukubali matokeo ili hata kama akishindwa
akumbukwe kwa kukubali kushindwa. lakini hili la kujitoa
saa hii mmmh!
 
Tusibweteke na hizi taarifa.
mie nimeshahamasisha sehemu kubwa ya mtaa wetu kupiga kura kinyume na ccm.
Huku mtaani hata makada wa ccm wanaona noma kumnadi jamaa yaani wamevubaa kama wamemwagiwa maji ya barafu.
Majuzi nilimsaka mwenyekiti wangu wa serikali ya mtaa ambaye ni ccm nikamuuliza mbona hamupigii kampeni chama bingwa? akajibu kwa ufupi "aah hicho hujipigia kura chenyewe hakihitaji watu" bado natafakari huu ujumbe wake ila ni dalili kwamba hawawezi kusimama na kutetea chaguo lao.
 
Kumbuka JK ni askari tena afisa mkubwa wa jeshi kwa cheo chake angeongoza kikosi. Hakuna kusalimu amri jeshini hadi risasi ya mwisho.
Labda nikukumbushe

Siku anarudisha form ya urais alisema;
" ccm ni kama jeshi liko vitani, ili kujua nguvu ya adui tutaanza kutuma platoon kwenda kupigana, tukizidiwa tutatuma section, tukizidiwa tutatuma kombania, tukizidiwa tutatuma kikosi, tukizidiwa tutatuma brigade,akaongeza hapo sasa itakuwa mashambulizi bila kusimama hadi adui atokomee na kutundika bendera ya ushindi"

Narudi kwenye mada kuwa hatuna uhakika kwamba;
  • platoon , section, kombania na brigade ni kitu gani kwa ccm nini
Yawezekana bado ana nguvu.Acha tumsikilize japo inaonekana kashindwa tayari

Kwa picha hi sijui

KikweteJK.jpg
 
Huyu itabidi asindikizwe kutoka Ikulu kwa mtutu. Kama kweli amesema hata kama akishindwa itakuwa ngumu kukubali, itabidi atafutiwe waungwana wamsindikize taratibu.
 
Kuna habari zimenifikia hivi punde kuwa wakati wa kikao cha kamati kuu ya CCM, taarifa za siri za Usalama wa taifa zilisema kuwa JK hata afanye nini hawezi kushinfa kwa sababu tafiti zote zimemtupa na wale waliokuwa wanatumiwa kuiba kura sasa wamegawanyika. Hivyo uwezekano wa kushinda ulikuwa hakuna! Zaidi wenzake walimshauri to withdraw kabla ya uchaguzi

JK alikasirika sana katika kikao hich akasema "DON'T DECLEAR FAILURE UNTIL YOU FAIL". Mpaka mkurugenzi wa Tume atoe matangazo kuwa nimeshindwa ndipo "naweza" kukubali ingawaje hata hapo itakuwa ngumu! Akaongoze, mbona hao wasiotajwa kama NCCR wanaendelea na kampeni, je mimi?

Sasa nilipopata habari hii, nikasema niilete hapa JF kuona kama

  1. kuna mwenye taarifa zaidi
  2. Kwanini anaendelea na kampeni wakati ameshauriwa aache maana anzidi kuongeza gharama kwenye chama na serikali wakati nyota ya ushindi kwake imeishafifia?
Karibu jamvini

Sina haja ya jina la aliyekuambia lakini nigefurahi ukituambia uliwezaje kupata habari za kikao hicho cha siri hasa kulingana na signecha yako.
 
Back
Top Bottom