Do Mbowe and CHADEMA have a moral authority to talk about grand corruption?

Mkuu,

Ishu za rushwa hazijaletwa na huyo lowassa tu bali rushwa ilikuwepo tangia zamani hata kabla hajawa waziri Mkuu.

Kukaa meza moja siyo ishu sana ila unafiki wao ulijionesha tu pale walipo mkaribisha mtu ambae walimtukana matusi ya hapa na pale kuhusu ufisadi uliyofanyika.

Hii ndiyo inanifundisha kuwa siasa wakati mwingine ni upuuzi mtupu.pia wanasiasa ni watu ambao ni wanafiki wakubwa.

Haijalishi upo CCM au CDM wote ni wale tu sema wanakuja kwa kuvaa ngozi tofauti.

Mwingine anavaa ngozi ya kondoo na mwingine ngozi ya simba.
Mkuu nashukuru kwa kunielewa japo kw kingerza changu kibovu.

Ninatambua sana kuwa Rushwa hakuanza leo na wala haikuanza na lowassa

Natambua Rushwa haikuanza na Ccm wala chadema.

Natambua pia kuwa Rushwa ipo ndani yaCCM,CHADEMA CUF ET AL.

Hoja yangu yamsingi ni hii...kwamba Chadema ambacho ni chama kikuu cha upinzani na ambacho kimejijenga kupitia kelele dhidi ya rushwa na ufisadi iweje kikabadilika na kukumbatia mtuhumiwa mkuu wa ufisadi?

Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa chadema ni nini kilichombadilisha ghafla kutoka kuwa mpinga fisadi na kuwamtetezi wa fisadi mkuuu?

Hiki ndicho knachonitatiza na kuwatatiza watanzania wengi walioaminishwa kuwa kuna fisadi na ufisadi.

Hiko ndicho kinamchofanya Jingal
Mkuu,

Ishu za rushwa hazijaletwa na huyo lowassa tu bali rushwa ilikuwepo tangia zamani hata kabla hajawa waziri Mkuu.

Kukaa meza moja siyo ishu sana ila unafiki wao ulijionesha tu pale walipo mkaribisha mtu ambae walimtukana matusi ya hapa na pale kuhusu ufisadi uliyofanyika.

Hii ndiyo inanifundisha kuwa siasa wakati mwingine ni upuuzi mtupu.pia wanasiasa ni watu ambao ni wanafiki wakubwa.

Haijalishi upo CCM au CDM wote ni wale tu sema wanakuja kwa kuvaa ngozi tofauti.

Mwingine anavaa ngozi ya kondoo na mwingine ngozi ya simba.
Mkuu,

Ishu za rushwa hazijaletwa na huyo lowassa tu bali rushwa ilikuwepo tangia zamani hata kabla hajawa waziri Mkuu.

Kukaa meza moja siyo ishu sana ila unafiki wao ulijionesha tu pale walipo mkaribisha mtu ambae walimtukana matusi ya hapa na pale kuhusu ufisadi uliyofanyika.

Hii ndiyo inanifundisha kuwa siasa wakati mwingine ni upuuzi mtupu.pia wanasiasa ni watu ambao ni wanafiki wakubwa.

Haijalishi upo CCM au CDM wote ni wale tu sema wanakuja kwa kuvaa ngozi tofauti.

Mwingine anavaa ngozi ya kondoo na mwingine ngozi ya simba.

Mkuu nashukuru kwa kunielewa japo kw kingerza changu kibovu.

Ninatambua sana kuwa Rushwa hakuanza leo na wala haikuanza na lowassa

Natambua Rushwa haikuanza na Ccm wala chadema.

Natambua pia kuwa Rushwa ipo ndani yaCCM,CHADEMA CUF ET AL.

Hoja yangu yamsingi ni hii...kwamba Chadema ambacho ni chama kikuu cha upinzani na ambacho kimejijenga kupitia kelele dhidi ya rushwa na ufisadi iweje kikabadilika na kukumbatia mtuhumiwa mkuu wa ufisadi?

Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa chadema ni nini kilichombadilisha ghafla kutoka kuwa mpinga fisadi na kuwamtetezi wa fisadi mkuuu?

Hiki ndicho knachonitatiza na kuwatatiza watanzania wengi walioaminishwa kuwa kuna fisadi na ufisadi.

Hiko ndicho kinamchofanya Jingalao ashangae leo hii kwa nini tuendelee kumuamini Mbowe!
 
Mkuu nashukuru kwa kunielewa japo kw kingerza changu kibovu.

Ninatambua sana kuwa Rushwa hakuanza leo na wala haikuanza na lowassa

Natambua Rushwa haikuanza na Ccm wala chadema.

Natambua pia kuwa Rushwa ipo ndani yaCCM,CHADEMA CUF ET AL.

Hoja yangu yamsingi ni hii...kwamba Chadema ambacho ni chama kikuu cha upinzani na ambacho kimejijenga kupitia kelele dhidi ya rushwa na ufisadi iweje kikabadilika na kukumbatia mtuhumiwa mkuu wa ufisadi?

Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa chadema ni nini kilichombadilisha ghafla kutoka kuwa mpinga fisadi na kuwamtetezi wa fisadi mkuuu?

Hiki ndicho knachonitatiza na kuwatatiza watanzania wengi walioaminishwa kuwa kuna fisadi na ufisadi.

Hiko ndicho kinamchofanya Jingal



Mkuu nashukuru kwa kunielewa japo kw kingerza changu kibovu.

Ninatambua sana kuwa Rushwa hakuanza leo na wala haikuanza na lowassa

Natambua Rushwa haikuanza na Ccm wala chadema.

Natambua pia kuwa Rushwa ipo ndani yaCCM,CHADEMA CUF ET AL.

Hoja yangu yamsingi ni hii...kwamba Chadema ambacho ni chama kikuu cha upinzani na ambacho kimejijenga kupitia kelele dhidi ya rushwa na ufisadi iweje kikabadilika na kukumbatia mtuhumiwa mkuu wa ufisadi?

Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa chadema ni nini kilichombadilisha ghafla kutoka kuwa mpinga fisadi na kuwamtetezi wa fisadi mkuuu?

Hiki ndicho knachonitatiza na kuwatatiza watanzania wengi walioaminishwa kuwa kuna fisadi na ufisadi.

Hiko ndicho kinamchofanya Jingalao ashangae leo hii kwa nini tuendelee kumuamini Mbowe!
Mkuu tambua kuwa wanasiasa ni watu wanafiki kama huyo nguri uliyemtaja hapo juu.

Nafikiri unafiki wao ndiyo unaowafanya wawe hivyo na si kitu kingine.

Ishu nyingine ya kumkumbatia yule Mzee ni ishu za maslahi binafsi. Hapa inatukumbusha ishu ya mbowe kutokulipa kodi na hakika wangeshinda wao angelindwa dhidi ya hilo sakata hakuna mtu ambaye angeibua hilo suala.

Pia tambua wanasiasa wengi ni watu ambao ni wapambanaji wazuri kwa ajili ya matumbo yao na si kitu kingine.
 
Great thinkers asked this similar question when Major opposition party, CHADEMA under the Chairmanship and basket mouth of Mbowe welcomed and cheered the accused father of grand corruption...

The famous Richmond dady was born again under the name of Mabadiliko.

Mbowe used to deny that, the so called Fisadi could never be the member of Chadema...OVER MY DEAD BODY...WE RECALL

All over sudden it is the same Chairman who justified the Shift of story about fisadi...

It was the same Chairman who turn to be a 'stone face' against his general secretary Dr Slaa.

It is now the same Chairman who is asking a childish question about 10 million Takrima.

HOW CREDIBLE IS MBOWE AND HIS FOLLOWERS??...GOD ALONE KNOWS.

Samahani kwa English mbovu!
Mahakama ya mafisadi ipo mbona hamumpeleki ????? Mpelekeni jamani Si Ni fisadi ????? Mkishindwa mfunge midomo yenu, mfyuuuu
 
Yeye mwenyewe fisadi tuu na mpenda ngono. mtu gani ukae uenyekiti mda wote huo? wako wapi akina chacha wangwe, zitto kabwe na slaa?

Hlafu utashangaa mijitu mizima na midevu yao huku wanaipigia debe chadema kwa hali hiyo hadi hii dunia inateketea nyie mtashindaga viti vya ubunge tuu lakini sio urais
 
we need to have credible system not individuals, thats why people were looking for new katiba which would have stipulated how we can deal with all kinds of bad behavior. We have not agreed what is bad and good that makes a lot of confusions, whether corruption is bad or good or is just pesa ya kiwi.
 
Chadema will never ever have moral authority to talk about grand corruptions. Its evident since Lowassa invited to join Chadema, grand corruptions to politicians etc and tax evasion by multi lateral companies have become non issue, actually Chadema has become on defensive to them.
 
Great thinkers asked this similar question when Major opposition party, CHADEMA under the Chairmanship and basket mouth of Mbowe welcomed and cheered the accused father of grand corruption...

The famous Richmond dady was born again under the name of Mabadiliko.

Mbowe used to deny that, the so called Fisadi could never be the member of Chadema...OVER MY DEAD BODY...WE RECALL

All over sudden it is the same Chairman who justified the Shift of story about fisadi...

It was the same Chairman who turn to be a 'stone face' against his general secretary Dr Slaa.

It is now the same Chairman who is asking a childish question about 10 million Takrima.

HOW CREDIBLE IS MBOWE AND HIS FOLLOWERS??...GOD ALONE KNOWS.

Samahani kwa English mbovu!
Your party has nested corruption from day one in power, how could you dare to think about an outsider's moral than yours. remind yourself that we have been equipping you with full power and control but still corruption is on the rise.
You command the PCCB yet you failed to nib person involved in your so called corruption allegations.
Mnyeti and Gambo must be treated in accordance with corruption criminalization procedures now.
 
Your party has nested corruption from day one in power, how could you dare to think about an outsider's moral than yours. remind yourself that we have been equipping you with full power and control but still corruption is on the rise.
You command the PCCB yet you failed to nib person involved in your so called corruption allegations.
Mnyeti and Gambo must be treated in accordance with corruption criminalization procedures now.
You pretend to cast corruption when CCM members are said to be involved!
 
You pretend to cast corruption when CCM members are said to be involved!
You would have used the power within pccb to evidently catch the culprit.
It seems you dont know your responsibility.
Learn from Nasari and Lema how to do the job.
 
Chadema mtakuwa mmeisahau hii mada yangu
OK. Mkuu let's assume what ur saying is true that chadema lack moral authority but what surprises me none of you claims magufuli nd ccm lack moral authority too due to their multiple corruption scandals!

If chadema or mbowe after 8 years realise the system is corrupt And not individuals like lowassa or muhongo why should they continue claiming that one INDIVIDUAL is a FISADI while the corrupt system is established from the statehouse itself!!! If lowasa is an embezzler by now he would be in court like seth and u know it

So instead of claiming chadema has no authority u should also question if CCM if they have the moral authoity of fighting graft while they have engaged in corruption in numeral ocassions
 
You would have used the power within pccb to evidently catch the culprit.
It seems you dont know your responsibility.
Learn from Nasari and Lema how to do the job.
I recall and wonder how Dr Slaa,Lissu,Mnyika et al failed to do the job...instead they went at MwembeYanga !!
 
OK. Mkuu let's assume what ur saying is true that chadema lack moral authority but what surprises me none of you claims magufuli nd ccm lack moral authority too due to their multiple corruption scandals!

If chadema or mbowe after 8 years realise the system is corrupt And not individuals like lowassa or muhongo why should they continue claiming that one INDIVIDUAL is a FISADI while the corrupt system is established from the statehouse itself!!! If lowasa is an embezzler by now he would be in court like seth and u know it

So instead of claiming chadema has no authority u should also question if CCM if they have the moral authoity of fighting graft while they have engaged in corruption in numeral ocassions
CCM BY LARGE HAS STRIPPED OFF THE CORRUPTION SKIN WHICH AT LEAST GIVE THEM MORAL AUTHORITY TO TALK AND DEAL AGAINST CORRUPTION.
 
I recall and wonder how Dr Slaa,Lissu,Mnyika et al failed to do the job...instead they went at MwembeYanga !!
The list contained the president how on earth could they implicate their boss and also by then multiple cases where reported and nothing serious came out of it so its understandable to take the list to the mwananchi court
 
CCM BY LARGE HAS STRIPPED OFF THE CORRUPTION SKIN WHICH AT LEAST GIVE THEM MORAL AUTHORITY TO TALK AND DEAL AGAINST CORRUPTION.
OK for the benefit of all JF members can u elaborate the corruption skin which has CCM has got rid off

chenge
Yona
Kafumu
Simbachawene
Maswi nk

Have recently been implicated in a mineral report that they have brought about theft of our minerals however none among them is behind the prison cell

At least tell us and enlight us abt the Ripped skin!!
 
Back
Top Bottom