Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,859
- 1,301
WanaJF naomba mnisaidie. Nataka kufanya DNA matching na watoto wangu, Wapi naweza kupata huduma hiyo hapa Tanzania, kwa utaratibu upi na gharama zipi.Asanteni kwa msaada wenu.
WanaJF naomba mnisaidie. Nataka kufanya DNA matching na watoto wangu, Wapi naweza kupata huduma hiyo hapa Tanzania, kwa utaratibu upi na gharama zipi.Asanteni kwa msaada wenu.
Yote yanawezekana maana kila mtu anatembea na viungo vyake japo mkioana mnaambiwa mmekuwa mwili mmoja.Bora utulie tuu , uwe mpole kama familia yako ina amani. maana ukikuta watoto wote sio wako itakuwaje?
Yote yanawezekana maana kila mtu anatembea na viungo vyake japo mkioana mnaambiwa mmekuwa mwili mmoja.
Ni kweli kuna mambo ukiyajua yatakutesa sana, mojawapo ni hilo la kujua kuwa watoto/mtoto si wako; lakini si ni bora ukajua na mkakubalina na mwenzio kwamba uwe siri au baba za watoto wasaidie malezi? Inawezekana nina watoto kwa wake wa watu na ninasaidia matunzo hivyo hakutakuwa na ubaya kama nami nikasaidiwa matunzo kama kuna mtoto si wangu - au vipi?
Yes, nimeambiwa ana-cheat!Kuna profesa mmoja alikuwa nje ya nchi kimasomo, aliporudi akawa na mashaka ya ujauzito wa mkewe, mtoto alipozaliwa vipimo vya DNA vikaonyesha sio wake.Alipoomba ushauri amtimue wife, Ma dr wenzie wakamshauri kama wife anatabia hiyo basi akawapime na wale wengine wawili wakubwu kabla ya kumfukuzi.Inatia uchungu sana kama utalea na kusomesha mpaka chuo kikuu toto amabalo sio damu yako.inauma sana! Kwani wewe umewahi kuhisi/kuambiwa mpenzi wako ana cheat?
Kuna profesa mmoja alikuwa nje ya nchi kimasomo, aliporudi akawa na mashaka ya ujauzito wa mkewe, mtoto alipozaliwa vipimo vya DNA vikaonyesha sio wake.Alipoomba ushauri amtimue wife, Ma dr wenzie wakamshauri kama wife anatabia hiyo basi akawapime na wale wengine wawili wakubwu kabla ya kumfukuzi.Inatia uchungu sana kama utalea na kusomesha mpaka chuo kikuu toto amabalo sio damu yako.inauma sana! Kwani wewe umewahi kuhisi/kuambiwa mpenzi wako ana cheat?
Yes, nimeambiwa ana-cheat!