mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
- Thread starter
- #21
huyo mchumba kalapina,jaymo na mansulii wamekalia kisiki tu
katavi..tatizo hawa watu elimu hawana kwa hyo hawawezi kujitambua na kujua haki zao kuwa wananyonywa na kila siku wanalia njaa.. jaymo nko nae mtaa mmoja kajaa kandambili tuu hana nyuma wala mbele anaishi kwenye nyumba ya baba yake. hana ujanja