ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Kwani we hujui kama Slaa siku hizi anaitwa mzee wa mipasho kutokana na tabia yake aliyoanza ya kuzungumza kama yuko kwenye kidole juu...
....imenisaidia kujua naongea na mtu mwenye upeo gani?
Kamanda Chintu,
Nafurahi sana kama umelifahamu hilo porojo zako tafuta kwa kupeleka.
Chama
Gongo la mboto DSM
MIMI NILIDHANI UNAKANUSHA KUMBE ALIYOSEMA DK SLAAH NI KWELI!!??
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
kwanini chadema haiandai wagombea wake inasubiri mizoga ya ccm kila siku?ni kweli ina safu nyembamba ya watu weny sifa za uongozi au?Walahi vandugu zangu, Kikwete aliipigia magoti Chadema iwapo CCM wangemtosa angeibukia Chadema? Kama vituko vile lakini ndio hali halisi ya wenye uchu na uroho wa madaraka.
kwanini chadema haiandai wagombea wake inasubiri mizoga ya ccm kila siku?ni kweli ina safu nyembamba ya watu weny sifa za uongozi au?
Huyu anastahili kutengwa hata kanisani