Hivi wewe Dr. Slaa unafahamu maana ya mnafiki? wewe ndie umekaa kinafiki zaidi iweje uyaseme leo? Kama ungekuwa mkweli ungeyatoa hadharani siku nyingi; habari ya Sitta na CCJ haina mshiko tena; umesahau unafiki wako? Kwa akili yako unafikiri ni nani atayekuamini zaidi ya wanachadema wenzako; hebu teuleze kati ya hayo mawili ulianza lipi ulianza kujivua upadri ukaingia kwenye zinaa au ulianza zinaa ukajitoa upadri, jiangalie kwenye kioo utajiona ni mnafiki wa kiasi.
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu mbona hapa umepwaya sana?