ukiona mtu mzima ametoka mapovu mbele za watu ujue ukweli umempata binafsi naona kama JK ndio amejiumiza kwani ni bora akina Mkapa wangelijibu vp hawajahusika na EPA, Kiwira kuliko kuporomosha mvua ya matusi pale Jangwani. Ami nadhani uko peke yako
watanzania maskini ni pamoja na wafugaji wa kigogo huko dodoma.juzi alipokuwa kwao aliwaambia akiingia madarakani wale waliokuwa hawajawapeleka watoto wao shule,watamkoma!.
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Au mwasemaje wapiga kura wenzangu?.
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Au mwasemaje wapiga kura wenzangu?.
NonesenseKutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Au mwasemaje wapiga kura wenzangu?.
Lile shirika la ushushushu la nchi fulani kubwa duniani lilikuwa na kikao muda mfupi uliopita na mkuu wa nchi anayemaliza muda wake kufanya majumuisho kabla ya kazoezi ketu ka 31 Oktoba 2010.
Jamani Mkuu amekasirika mno...ukizingatia amechoka mno kwa shughuli za leo.
Jamaa wamemwambia hata kwa mpango wa uchakachuaji waliouandaa bado kura za Dr. Slaa zitafikia 54.6% wakati JK atakuwa na 29. 2% na waliobaki kugawana. Bila kuchakachua jamaa wanadai Dr. Slaa atakuwa na 57.7%, Prof Lipumba 26.8% na JK 14.3%. Hivyo atakayeathiriwa na uchakachuaji kwa kiasi kikubwa ni Prof.
Hivi sasa amechanganyikiwa kabisa na Jamaa zake waliozoea kumliwaza wameshindwa cha kusema maana hawa mashushushu wanaaminika mno wanapotoa data kwa mkuu.
MSIFIKIRI NI USHABIKI JAMANI....NI KWELI, TUKUTANE HAPA BAADA YA MATOKEO!!!!
Nyie wazushi mwisho wenu ni kesho. Asante mungu kampeni zinaisha maana nimechoka kweli na watu ambao wanakuja JF na kuja kuzua bila hata kuona aibu.
Unawezaje kuconclude kirahisi rahisi namna hii?? - matatizo ya shule za kata
Nyie wazushi mwisho wenu ni kesho. Asante mungu kampeni zinaisha maana nimechoka kweli na watu ambao wanakuja JF na kuja kuzua bila hata kuona aibu.