Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Au mwasemaje wapiga kura wenzangu?.
Hajipendi, yaani ajichimbie kaburi mwenyewe....Ami stop being myopic sasa unategemea mmiliki wa kiwila aongee mazuri ya Slaa.
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Au mwasemaje wapiga kura wenzangu?.
Watanzania maskini ni pamoja na wafugaji wa Kigogo huko Dodoma.Juzi alipokuwa kwao aliwaambia akiingia madarakani wale waliokuwa hawajawapeleka watoto wao shule,watamkoma!.Mkuu Dk. wa Ukweli Slaa haihitaji Kuungwa mkono na Viongozi wastaafu (Ambao wengi ni wezi) ili aweze kuingia Ikulu. Dr. Slaa anahitaji kuungwa mkono na Watanzania maskini wenye kiu ya Mabadiliko
<b><font size="2"><font color="darkred">Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.</font></font></b><br />
<b><font size="2"><font color="#8b0000"> Au mwasemaje wapiga kura wenzangu? mkuu watu tulisha decide long ago....too late
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Eee! bwana,dalili za mvua ni mawingu.Unawezaje kuconclude kirahisi rahisi namna hii?? - matatizo ya shule za kata
Tupe hoja mabomu na kukandiwa na watawala wenye kashfa za rushwa kuna muangushaje dr slaa?