Dkt Mwakyembe Unafahamu Kinachoendelea Jimboni Kwako Kyela?

Kasyabone,

Labda ni mapenzi, ila unashangaza unavyosema mbunge apimwe kwa miaka 10. Sijui hiyo ni katiba ya nchi gani?

Kipindi cha bunge ni miaka mitano na mbunge hupimwa kwa hiyo miaka mitano.

Pia kama kuna wagombea wengi basi ni nzuri kwa demokrasia. Kwa taarifa yako mwaka 2005 kulikuwa na wagombea kama 10 ila mpambano mkali ulikuwa kati ya Mwakyembe na Mwakipesile.

Kasyabone, naona Kyela yako ni ya kusimuliwa na wengine, pole sana. Mtu aliyekaa miezi mitatu Kyela asingeandika hayo uliyoyaandika.
.

Bambumbili,
1.Umesahau kuwa Huyu Bwana ndiye aliyeaandika udaku kuwa ametoka airport kumsindikiza mwakalinga na kupotosha kila kitu.

2.Na huyu Bwana ndiye alileta waraka hapa alioandika yeye na mke wake akidai ni waraka wa mkuu wa mkoa wa mbeya wa kumuuza Mwakalinga.

3.Alivyomjinga,anashindwa kuandika yaliyotokea Ipinda.Ambapo Mensa(Mwenyekiti kata ya Ipinda) Imejitoa na kumshabikia Mwakyembe na kusababisha vurugu mpaka mahakamani.

Huyu Kashabone ni mtu hatari na mzushi na ni mtu wa kumuogopa kama ukoma.
 
Nitagombe Urambo Mashariki, lazima Sitta ang'oke!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wanurambo tumechoka naye, ahadi zake ni za kumnufaisha mtu mmoja mmoja na si jamii. Amegawa power tiller 12 (moja kwa kila kata kwa akina mama) na kila kiongozi aliyegawiwa amelifanya lake. Sasa imeleta mgawanyiko kiasi cha kuanza kumchukia aliyeleta hizo power tiller. Kwa sasa sisi vijana ndiyo tutashika hatamu. Kwa sasa hivi sisemi chama changu ni CCM au CCJ au Chadema au UDP...nitasema wakati wa kutia nia.
 
.

Bambumbili,
1.Umesahau kuwa Huyu Bwana ndiye aliyeaandika udaku kuwa ametoka airport kumsindikiza mwakalinga na kupotosha kila kitu.

2.Na huyu Bwana ndiye alileta waraka hapa alioandika yeye na mke wake akidai ni waraka wa mkuu wa mkoa wa mbeya wa kumuuza Mwakalinga.

3.Alivyomjinga,anashindwa kuandika yaliyotokea Ipinda.Ambapo Mensa(Mwenyekiti kata ya Ipinda) Imejitoa na kumshabikia Mwakyembe na kusababisha vurugu mpaka mahakamani.

Huyu Kashabone ni mtu hatari na mzushi na ni mtu wa kumuogopa kama ukoma.

Sasa si utuhabarishe, wengine hatupo huko kyela.
 
Hizi siasa za majimbo TZ zina maruweruwe mengi sana. Ukisikia watu wanasema mbunge wetu tangu achaguliwe hatujaona alichofanya unajiuliza ni vigezo vipi hasa vinavyotumika kupima utendaji wa mbunge? kila mtu ana chake; mwengine atahesabu kilomita za barabara za lami, visima vya maji, majengo ya shule, zahanati n.k. (hata bila kuwa na uhakuka wa mchango wa mbunge huyo katika yote hayo). Wengine watahesabu na kupima hoja zotolewazo na mbunge kutetea maslahi ya jimbo na taifa kwa ujumla. Na wengine watahesabu ziara na michango kwenye harusi, misiba, vilabuni, n.k Na wote hawa hawatakuwa na mtizamo unaolingana.

Ukisoma habari za Kyela kisha ukaziweka katika context ya Mkoa wa Mbeya na Tz nzima, kinachojitokeza zaidi ni siasa za uhasama kuliko hata vigezo halisi vya utendaji wa washindani. Dr. Mwakyembe ameweza kun'gara katika siasa za kitaifa na kutibua wazito wengi (yawezekana pia akawa na maslahi binafsi katika hilo). Mkoani Mbeya bosi wa mkoa ni hasimu (rival) wake mkuu anayefahamika vizuri. Mwenyekiti wa Chama mkoani naye sidhani kama ana cha kutabasamu kwa Dr.

Sasa, katika mpangilio huu, inatuwia vigumu tunaojaribu kuelimika na kinachoendelea huko jimboni kuujua ukweli na mantiki wa yanayochambuliwa hapa. Nini hasa mustakabali wa Dr. Mwakyembe huko Kyela? Je, kuendelea kwake na kipidi kingine cha miaka mitano ya ubunge ni neema au maumivu tu kwa wana-Kyela?
 
mi nafikiri imefika kipindi wana jimbo wasiangalie tu mbunge wao amewafanyia nini jimboni, bali amelifanyia nini taifa letu
 
Mambo yote tuache jamani lakini la Mwanjala kugombania ubunge hili kali la mwaka. Naona watu wengi humu hawamjui Elias Mwanjala naona kuna haja ya kumleta hapa ili watu wamjue. Nina hakika kabisa EM sio mtu anayetakiwa hata kuwa balozi wa nyumba kumi.

Mtu aliyeshnindwa kutunza familiaya yake ndogo kama ile atawezaje kuitunza na kuipigania kyela, kweli haya ni maajabu kabisa.

Mtizamo wangu mimi ni kuwa EM ametumwa kama chambo tu pale, yeye hajui lakni waliomtuma wanajua kuwa yeye ni chambo. Sasa ngoja aliwe vi hela vyake hivyo na kampuni zake zilizoyumba zife kabisa
 
Mambo yote tuache jamani lakini la Mwanjala kugombania ubunge hili kali la mwaka. Naona watu wengi humu hawamjui Elias Mwanjala naona kuna haja ya kumleta hapa ili watu wamjue. Nina hakika kabisa EM sio mtu anayetakiwa hata kuwa balozi wa nyumba kumi.

Mtu aliyeshnindwa kutunza familiaya yake ndogo kama ile atawezaje kuitunza na kuipigania kyela, kweli haya ni maajabu kabisa.

Mtizamo wangu mimi ni kuwa EM ametumwa kama chambo tu pale, yeye hajui lakni waliomtuma wanajua kuwa yeye ni chambo. Sasa ngoja aliwe vi hela vyake hivyo na kampuni zake zilizoyumba zife kabisa

What??????????????????????????????????
Ana makampuni lakini hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi!!!!!!!:confused:
 
Hizi siasa za majimbo TZ zina maruweruwe mengi sana. Ukisikia watu wanasema mbunge wetu tangu achaguliwe hatujaona alichofanya unajiuliza ni vigezo vipi hasa vinavyotumika kupima utendaji wa mbunge? kila mtu ana chake; mwengine atahesabu kilomita za barabara za lami, visima vya maji, majengo ya shule, zahanati n.k. (hata bila kuwa na uhakuka wa mchango wa mbunge huyo katika yote hayo). Wengine watahesabu na kupima hoja zotolewazo na mbunge kutetea maslahi ya jimbo na taifa kwa ujumla. Na wengine watahesabu ziara na michango kwenye harusi, misiba, vilabuni, n.k Na wote hawa hawatakuwa na mtizamo unaolingana.

Ukisoma habari za Kyela kisha ukaziweka katika context ya Mkoa wa Mbeya na Tz nzima, kinachojitokeza zaidi ni siasa za uhasama kuliko hata vigezo halisi vya utendaji wa washindani. Dr. Mwakyembe ameweza kun'gara katika siasa za kitaifa na kutibua wazito wengi (yawezekana pia akawa na maslahi binafsi katika hilo). Mkoani Mbeya bosi wa mkoa ni hasimu (rival) wake mkuu anayefahamika vizuri. Mwenyekiti wa Chama mkoani naye sidhani kama ana cha kutabasamu kwa Dr.

Sasa, katika mpangilio huu, inatuwia vigumu tunaojaribu kuelimika na kinachoendelea huko jimboni kuujua ukweli na mantiki wa yanayochambuliwa hapa. Nini hasa mustakabali wa Dr. Mwakyembe huko Kyela? Je, kuendelea kwake na kipidi kingine cha miaka mitano ya ubunge ni neema au maumivu tu kwa wana-Kyela?

Mku Drifter,

Kinachosumbua ni njaa na uhasama wa kina Mwakipesile. Wengine tunasubiri uchaguzi watu waadhirike, maana hata unapowasoma hao wakosoaji unabaini wazi wanasukumwa na pesa.

Nilikuwepo kwa Mwanjala, mkutano ulifanyika Kyela Resort ile ya Mwakipesile, alilisha na kunywesha zaidi ya watu 270 na kisha kuwagawia kila mmoja 5,000/=, ni jambo lililofanyika mchana kweupe.

Mgawaji alikuwa Vicks Mahenge huku Diwani wa Ipinda Chris akikusanya watu kwa kutumia gari la Mwakipesile ile hard top.

Wale wale waliompaparikia Mwakalinga ndio hao hao wanaompaparikia Mwanjala.

Tayari RC anafanya kampeni kumnadi Mwanjala wazi wazi, lakini amesahau kuwa alifanya hivyo hivyo kwa Thom Mwang'onda alipowania nafasi ya NEC kutokea mkoa wa Mbeya, pamoja na kusaidiwa na ma DC takribani wote, makatibu na wenyeviti wa CCM na UWT bado walitupwa vibaya na Mwandosya akapeta.

Hawa wote wanaojitokeza wanafukuzia fedha toka kwa mafisadi wakimtumia wakala wao RC hapo Mbeya.

Wananchi wananchi wamekubaliana na Mbunge wao, wanazichukua, wanasema itakuwa rushwa endapo watakubaliana na matakwa ya mtoaji, vinginevyo ni halali yao! habari ndiyo hiyo
 
Mambo yote tuache jamani lakini la Mwanjala kugombania ubunge hili kali la mwaka. Naona watu wengi humu hawamjui Elias Mwanjala naona kuna haja ya kumleta hapa ili watu wamjue. Nina hakika kabisa EM sio mtu anayetakiwa hata kuwa balozi wa nyumba kumi.

Mtu aliyeshnindwa kutunza familiaya yake ndogo kama ile atawezaje kuitunza na kuipigania kyela, kweli haya ni maajabu kabisa.

Mtizamo wangu mimi ni kuwa EM ametumwa kama chambo tu pale, yeye hajui lakni waliomtuma wanajua kuwa yeye ni chambo. Sasa ngoja aliwe vi hela vyake hivyo na kampuni zake zilizoyumba zife kabisa

Jamani huu ndo utani wa KARNE,Elias Mwanjala kugombea ubunge????Duu yaani huyu naye ni fisadi kule bonde la Sukita ndipo alikojigawia eneo la karakana yake ya magari EM TRUCKING COMPANY LIMITED(EMTCL),Yaani huyu bwana ni mlanguzi tangu enzi za biashara haramu za mipakani Malawi na Kyela hadi hivi tunaongea kwenye karakana yake ndipo godown la kufaulishia mali za transit na kukwepa ushuru.Sasa leo hii mkimpa ubunge tutarajie nini hasa???JAMANI JAMANI WANA KYELA hapa mtaliwa.Hivi majuzi tuu alikuwa anahaha kukwepa ushuru wa matairi aliyoleta kutoka China Kontena Kumi.Hivi ninavyoongea mzigo uko bandarini unatafutiwa jinsi ya kuutoa!!!UFISADI TUU HADI LINI???? Natanguliza shukurani kwa wapiga kura wa Kyela msidanganywe na kimpumu tafadhali.
 
What??????????????????????????????????
Ana makampuni lakini hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi!!!!!!!:confused:

Sawa lakini aliyapataje je na huko malawi alikoyapata shwari? Halafu je kile kichwa kweli kinafaa kuwa mbunge. Yeye ajitahidi sana kuwapeleka ze commedy kyela lakini ubunge hafai kabisa. Tumekaa kimya tunasubiri mambo yaive
 
Mku Drifter,

Kinachosumbua ni njaa na uhasama wa kina Mwakipesile. Wengine tunasubiri uchaguzi watu waadhirike, maana hata unapowasoma hao wakosoaji unabaini wazi wanasukumwa na pesa.

Nilikuwepo kwa Mwanjala, mkutano ulifanyika Kyela Resort ile ya Mwakipesile, alilisha na kunywesha zaidi ya watu 270 na kisha kuwagawia kila mmoja 5,000/=, ni jambo lililofanyika mchana kweupe.

Mgawaji alikuwa Vicks Mahenge huku Diwani wa Ipinda Chris akikusanya watu kwa kutumia gari la Mwakipesile ile hard top.

Wale wale waliompaparikia Mwakalinga ndio hao hao wanaompaparikia Mwanjala.

Tayari RC anafanya kampeni kumnadi Mwanjala wazi wazi, lakini amesahau kuwa alifanya hivyo hivyo kwa Thom Mwang'onda alipowania nafasi ya NEC kutokea mkoa wa Mbeya, pamoja na kusaidiwa na ma DC takribani wote, makatibu na wenyeviti wa CCM na UWT bado walitupwa vibaya na Mwandosya akapeta.

Hawa wote wanaojitokeza wanafukuzia fedha toka kwa mafisadi wakimtumia wakala wao RC hapo Mbeya.

Wananchi wananchi wamekubaliana na Mbunge wao, wanazichukua, wanasema itakuwa rushwa endapo watakubaliana na matakwa ya mtoaji, vinginevyo ni halali yao! habari ndiyo hiyo

Mkuu Nsesi,

Mbona wale wapambe wa Mwakyembe ndio walijaa kwenye mkutano wa Mwanjala?

Vijana walienda kuchuma na hiki ni kipindi cha kuchuma.
 
Mku Drifter,

Kinachosumbua ni njaa na uhasama wa kina Mwakipesile. Wengine tunasubiri uchaguzi watu waadhirike, maana hata unapowasoma hao wakosoaji unabaini wazi wanasukumwa na pesa.

Nilikuwepo kwa Mwanjala, mkutano ulifanyika Kyela Resort ile ya Mwakipesile, alilisha na kunywesha zaidi ya watu 270 na kisha kuwagawia kila mmoja 5,000/=, ni jambo lililofanyika mchana kweupe.

Mgawaji alikuwa Vicks Mahenge huku Diwani wa Ipinda Chris akikusanya watu kwa kutumia gari la Mwakipesile ile hard top.

Wale wale waliompaparikia Mwakalinga ndio hao hao wanaompaparikia Mwanjala.

Tayari RC anafanya kampeni kumnadi Mwanjala wazi wazi, lakini amesahau kuwa alifanya hivyo hivyo kwa Thom Mwang'onda alipowania nafasi ya NEC kutokea mkoa wa Mbeya, pamoja na kusaidiwa na ma DC takribani wote, makatibu na wenyeviti wa CCM na UWT bado walitupwa vibaya na Mwandosya akapeta.

Hawa wote wanaojitokeza wanafukuzia fedha toka kwa mafisadi wakimtumia wakala wao RC hapo Mbeya.

Wananchi wananchi wamekubaliana na Mbunge wao, wanazichukua, wanasema itakuwa rushwa endapo watakubaliana na matakwa ya mtoaji, vinginevyo ni halali yao! habari ndiyo hiyo
.

Nsesi,
Sasa wapi na wapi?.
Huyu mkuu wa mkoa, mlisema anampigia kampeni Mwakalinga na sasa amejitokeza Mwanjala, mmebadilika.Sasa anawapigia kampeni wote wawili?
 
mambo ya fweza hayo si kikwete alisema wafanyabiashara kwenye siasa basi au ,namimi naangalia uwezekano wa kugombea jimbo la igunga kupitia chama cha jamii ccj lazima nimung'oe the don huko huko igunga,pia nategemea wengine watagombea monduli kwa mzee mamvi
yetu macho!!!!
 
Aliyetuletea hii habari anaonyesha wazi ni jinsi gani alivyo na chuki na mwakyembe.Emma ametokea wapi hadi ibandikwe CV yake humu. Acheni siasa za kuchafuana. Kama wewe unaona Ufisadi dili endelea uza haki yako kwa vijisenti ulivyomegewa. Kwani uongo kuhusu mafisadi kupeleka mgao wa pesa majimboni? Watanzania hawataki mabadiliko ya kweli. Tunatia huruma na tutaendelea kubaki hoi mpaka mwisho wa dunia
 
Mwakalinga alipokewa kwa vifijo sana Kyela, kuna jamaa yangu ndio waliohakikisha timu ya waandishi wa habari toka Dar inatua kyela. Nikweli alitingisha sana kyela maana upepo uliendelea kuvuta watu (kambi ya Mwakalinga wakiongozwa na RC Mwakipesile ndio walikuwa mstari wa mbele kwa Mwanjala.

Nina wasi wasi huyu anaweza kuwa plan B incase Mwakalinga mambo hayataenda vizuri, maana nasikia wapambe wa Mwakalinga wanashindwa kujibu swali mmoja tu, kuwa je Mwakalinga akishinda ubunge atarudi kuishi huku (kyela au Dar) au atakuwa akiishi huko. Na kuwa je yeye ana uraia wa nchi ngapi ? maana wapambe wa Dr wamemwaga sumu kali sana kuhusu hilo

Dr hali sio nzuri lakini kila mtu anasema pamoja na hayo yote atashinda tu maana maadui wake wamegawanyika
 
Mwakalinga alipokewa kwa vifijo sana Kyela, kuna jamaa yangu ndio waliohakikisha timu ya waandishi wa habari toka Dar inatua kyela. Nikweli alitingisha sana kyela maana upepo uliendelea kuvuta watu (kambi ya Mwakalinga wakiongozwa na RC Mwakipesile ndio walikuwa mstari wa mbele kwa Mwanjala.

Nina wasi wasi huyu anaweza kuwa plan B incase Mwakalinga mambo hayataenda vizuri, maana nasikia wapambe wa Mwakalinga wanashindwa kujibu swali mmoja tu, kuwa je Mwakalinga akishinda ubunge atarudi kuishi huku (kyela au Dar) au atakuwa akiishi huko. Na kuwa je yeye ana uraia wa nchi ngapi ? maana wapambe wa Dr wamemwaga sumu kali sana kuhusu hilo

Dr hali sio nzuri lakini kila mtu anasema pamoja na hayo yote atashinda tu maana maadui wake wamegawanyika

Ntambaswala,

Mbona hayo maswali ni rahisi sana?

Mwakalinga ana uraia wa nchi moja tu, kama wanatafuta sababu hapo wameshindwa.

Kwa hawa wabunge wetu ambao wanashinda Dar na Dodoma, bila wasiwasi wowote Mwakalinga ataishi Kyela zaidi kuliko waliomtangalia.
 
Back
Top Bottom