keteka
Senior Member
- May 12, 2013
- 149
- 52
Taarifa hizi zimetolewa na Katibu wa Kanda ya Ziwa Mashariki Chadema tumuombee kamanda wetu wa ukweli kufanikisha Kazi ya CHADEMA NI mSINGI ambayo endelea nchi nzima.
Bunda jitokezeni kumaliza kazi tulipewa na Mungu kuondoa Ufalme wa ibilisi unaokula maisha yetu kila siku bila huruma kwenye nchi tulipewa na Mungu tumiliki na kutawala sasa tunatawaliwa na kila kitu hata pesa tunataka kuziabudu haikubaliki hata kidogo.
Bunda jitokezeni kumaliza kazi tulipewa na Mungu kuondoa Ufalme wa ibilisi unaokula maisha yetu kila siku bila huruma kwenye nchi tulipewa na Mungu tumiliki na kutawala sasa tunatawaliwa na kila kitu hata pesa tunataka kuziabudu haikubaliki hata kidogo.