Dk Ulimboka

Feb 20, 2011
13
8
Hivi kesi ya msingi ni ipi? mpaka tusijadili ili swala? me nadhani majadiliano hayatakiwi kuathiri mwenendo wa shauri lililoko mahakamani ila kujadili kuteswa na kutekwa kwa dk ulimboka ni swala linalojadilika kabisa kabisa
 
umekuta na moto!
haya na uuendeleze huo moto usije kuwa kama mjomba!
jf ndio kwenyewe!
 
Hivi kesi ya msingi ni ipi? mpaka tusijadili ili swala? me nadhani majadiliano hayatakiwi kuathiri mwenendo wa shauri lililoko mahakamani ila kujadili kuteswa na kutekwa kwa dk ulimboka ni swala linalojadilika kabisa kabisa

Du mbona umepitiliza hadi chumbani?
 
Back
Top Bottom