Watanzania bwana , tunafurahia kuona wengine wakipambana katika ujinga. Hivi suala la mgomo ni la kufurahia kweli, ili watu wa hali ya chini waendelee kudhurika au?
Hata bila mgomo watu wa hali ya chini wanaendelea kudhurika labda wewe ambaye unatibiwa nje ya nchi? hivi ni hosptal gani yenye dawa za kutibu hao watu wa chini, Watu wanakufa kwa kukosa dawa wanalala chini bila ya kitanda! Hayo ndo maisha ya watu wa chini ambao DR. ULIMBOKA ametezwa kwa ajili yao na Mungu alivyo mkubwa ameponyesha.
Mungu siko zote yuko nyuma ya wanaoonewa.
Mungu akubariki Dr. Ulimboka.