Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,847
- 2,668
tofauti zao ni kuwa mgaya ni pro na dk ni amateur
Mgaya alichimbwa mkwara siku hizi kimyaaa...
Dk ulimboka na nicholaus mgaya ni watu ambao wamepata umaarufu mkubwa kwa kutetea haki za wafanyakazi. Napenda kujua yupi ni jembe kweli kweli kati ya hawa wawili?
Dk ulimboka na nicholaus mgaya ni watu ambao wamepata umaarufu mkubwa kwa kutetea haki za wafanyakazi. Napenda kujua yupi ni jembe kweli kweli kati ya hawa wawili?
mgaya anagwaya sana
mganga ulimboka zaidi!