jamani saa ingine acheni kuleta utani hapa jamvini, ulimboka yuko juu mno ni kama unataka kumfananisha jk na lyatonga MremaDk ulimboka na nicholaus mgaya ni watu ambao wamepata umaarufu mkubwa kwa kutetea haki za wafanyakazi. Napenda kujua yupi ni jembe kweli kweli kati ya hawa wawili?