Dk. Ulimboka aombewa ulinzi "The Amnesty International", Ubalozi wa TZ Afrika Kusini wahaha

Mimi nadhani kwenye swala la ulinzi Amnesty International hawana uwezo wa kumlinda ulimboka kama wengi tunavyotaka maana hapa kuna siasa na sayansi. Nadhani kwa upande wa sayansi sawa amnesty watusaidie lakini kuna balozi za umoja wa mataifa zinazoweza kusaidia kisiasa.
 
mim napata mashaka nae asijetuletea ubwenyenye ,ukumbora na kutupiga changa la macho kama dr mwakyembe aliahidi kuwataja wote walio mtilia sumu pindi tu atakapo pona na kututaka wananchi tuendelee kumuombea ili aweze kupona lakini alipo pona tu na kurejea nchini alitugeuka na kutusaliti kabisa.

Huyu Bwana Hajabip Kifo Ila Kafa na Kufufuka!! Waliohusika na walaaniwe sana!!
 
“Kabla ya kupelekwa Afrika Kusini Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio zima kuanzia walivyomkamata na mateso waliyompa hadi walipotaka kumzika akiwa hai"

Source: Tanzania Daima


My take, ni aibu ya kihistoria na inaweza doa lisilofutika kwenye jina la Tanzania kwa raia wake kuomba ulinzi dhidi ya watawala. Hata maafisa wa ubalozi sasa hawaaminiki!
 
Unaweza kuta huyo fundi mchundo alikuwa anavuja wakati anaongea huo *****....Hakuna umaskini mbaya, kama umaskini wa mawazo/fikra - J. K. Nyerere....

Ndugu maneno uliyosema "anavuja" ni kosa kisheria, umetukania uhalisia wa mtu. Wanasheria tusaidieni hapa
 
“Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri na zaidi amewaomba Watanzania wamuombee apone haraka.”
Wakiwemo watanzania aliowaacha bila tiba kufuatia mgomo wa madr.
 
“Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri .
Alikuwa na shida ya "kutambua watu vizuri"?Alimtambuaje Ahmed Msangi?Ama ilikuwa uzushi?Ama pengine uandishi na manjonjo?

Get well soon Doc.
 
Tukae Mkao wa kula ndio hapo Fundi Stella Manyanya atakapothibishiwa watesaji ni wao wenyewe

I really hate this woman. Mwanamke huyu alihusika kikamilifu kuihujumu Tanesco kwenye mkataba wa IPPTL ambao Kikwete anahusika pia kwani mwaka huo ( 1994) alikuwa Waziri wa nishati. Na sasa anazawadiwa appointments asizokuwa na uwezo nazo. Historia itawahukumu na 2015 nitakipigia chama chochote kitakachotuahidi kuwashughulikia manyang'au walioifilisi nchi kikwelikweli na si kisanii kama inavyofanywa kwa kina Mramba walioua Air Tanzania na kuanzisha ya kwao Precision. Mungu ibariki Tanzania - tupatie kiongozi mwenye ujasiri kama wa Nyerere.
 
Kama wamemwombe Ulinzi, na ameingia Afrika ya Kusini inahitaji ulinzi mzito sana, kule hakueleweki kiusalama, kuna wakora kibao wa kutumiwa (
General Kayumba Nyamwasa wa Rwanda analijua hilo
)...Balozi wa Tz kishajua hospitali alipo na watanzania wengine wa huko wanajua hilo kule hivyo si rahisi kusema amefichwa katika hospitali isiyojulikana.. This is very serious matter.
 
Ukifikiri sana na kujikumbusha mambo yaliyotendwa na hiki chama, vitu watanzania wamefanyiwa, unaweza pata woga wa kuona kinaondoka madarakani. Maana nahisi watu wakianza kujitokeza leo kuelezea machungu yao, familia zikijitokeza kuelezea yaliyotokea kwenye hizo familia nadhani itabidi tuanzishe mahakama maalum za watuhumiwa kuelezea ukweli wote na kusameheana kama zile za A.Kusini na Rwanda. Ninahisi hakuna kitakachotutoa kwenye hiyo hali isipokuwa mpango kama huo!
 
Unawaamini sana hao wanzungu????? Yule aliyepeleleza moto wa shauritanmga alitoa ripoti??? Kuwa kama mimi kwamba wewe upo kufa kwa ajili ya pumzi za wakubwa wajukuu zako ndo watafaidi hii tz
 
Ningekuwa karibu ningejitolea kumlinda mimi mwenyewe na labda hiyo ingenipa fursa ya kuua walau CCM mmoja. Licha ya hivyo, lazima tu nitaua mCCM kabla sijafa. I hate them with a passion.


daaah kweli umekasirika mkuu..ni nadra sana wewe unaongea maneno yenye hisia kali kiasi hiki...pole kiongozi wangu ....
 
Nimefurahi kusikia unaendelea vizuri kamanda Daktari Ulimboka..Familia yabgu pamoja na mimi tunaendelea kukuombea na muda sio mrefu tunatarajia kukupokea ukiwa unarudi nyumbani kuendeleza mapambano....Mungu awe nawe...
 
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania Dk. Steven Ulimboka ameombewa ulinzi kwenye Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International.Vyanzo vya habari vya kuaminika kutoka ndani ya jopo la wataalam na jumuia hiyo kwa nyakati tofauti vimeliambia Tanzania Daima Jumatano kwamba wamelazimika kuomba ulinzi wa kimataifa ili kukabiliana na watu wabaya wanaotaka kumdhuru.Vyanzo hivyo vilisema watu waliomdhuru wanataka kummaliza kabisa ili kuficha ukweli kwani kabla ya kuondoka Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio hilo hivyo wabaya wake hao wanatumia baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kuhakikisha wanampata.

“Hii ya kuomba ulinzi ni ‘latest’; Amnesty International ni wabishi lakini katika hili wameombwa naamini watakubali kumlinda… maombi yamepelekwa jana.“Kabla ya kupelekwa Afrika Kusini Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio zima kuanzia walivyomkamata na mateso waliyompa hadi walipotaka kumzika akiwa hai.“Wameshajulikana sasa wanatumia ubalozi wetu kutaka kupenya kwenda kumwona hospitalini ndiyo maana haisemwi yuko hospitali gani… ukweli ni kwamba usalama wa Dk. Ulimboka uko hatarini,” kilisema chanzo hicho cha kuaminika.Bila kujua kwamba hizo ni habari chanzo hicho kiliendelea kueleza kwamba akiwa njiani kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dk. Ulimboka aliwataka viongozi na madaktari wengine ndani ya jumuia kupigania haki zao.Kwa mujibu wa chanzo hicho mwenyekiti huyo wa jumuia aliwasihi waliobaki wasikubali damu yake imwagike bure, wahakikishe maslahi ya madaktari yanaboreshwa.

“Msikubali damu yangu imwagike bure; endeleeni kupigania haki zenu…,” chanzo hicho kilimnukuu Dk. Ulimboka.Hata hivyo ilielezwa kwamba jumuia hiyo ilishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binaadam (LHRC) kuomba ulinzi huo kutoka Amnesty International.

Chanzo: Tanzania Daima


WAKATI HUO HUO

“Taarifa tulizozipata kutoka Afrika Kusini zinasema kwamba, hali ya Dk Ulimboka imezidi kuimarika tofauti na alivyokwenda, figo zimeanza kufanya kazi ingawa kwa polepole na amefanyiwa vipimo vingine,” alisema Dk Kabangila na kuongeza:

“Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri na zaidi amewaomba Watanzania wamuombee apone haraka.”
Awali, chanzo kimoja cha habari kilidokeza kwamba hali ya Dk Ulimboka imeimarika kutokana na kupatiwa huduma za matibabu kwa haraka kwa kufanyiwa pamoja na vipimo vingine, kile cha usafishaji damu na figo (Dalysis), mara kwa mara. Kabla ya kuondoka nchini, Dk Ulimboka alifanyiwa usafishaji huo mara mbili.

Madaktari walisema kuwa, kipimo hicho kililenga kupunguza kiwango cha sumu iliyoonekana kwenye damu, ambayo haikutambulika mara moja kama ilitengenezwa ndani ya mwili au vinginevyo kwa kuwa hakuna kipimo cha kubaini tatizo hilo nchini.


Chanzo: Mwananchi







kuna tetesi wliomkimbiza Ulimboka nje ni wahusika wakuu wa tukio zima hivyo wame mtorosha kujaribu kuficha ukweli.

kuna watu wanajifanya kutaka kumsaidia lakini wana mweka mbali ili kupotosha ukweli
wana jaribu kumwekea maneno ya kusema

inasemekana matatizo yake kutokana na kipigo alichopata mabingwa wetu wanaweza kabisa kumtibu ila ilibidi atoroshwe kuficha ukweli usijulikane.bila ya yeye kufahamu mbaya wake hasa ni nani
 
kuna tetesi wliomkimbiza Ulimboka nje ni wahusika wakuu wa tukio zima hivyo wame mtorosha kujaribu kuficha ukweli.

kuna watu wanajifanya kutaka kumsaidia lakini wana mweka mbali ili kupotosha ukweli
wana jaribu kumwekea maneno ya kusema

inasemekana matatizo yake kutokana na kipigo alichopata mabingwa wetu wanaweza kabisa kumtibu ila ilibidi atoroshwe kuficha ukweli usijulikane.bila ya yeye kufahamu mbaya wake hasa ni nani

Muuaji anajulikana ni Raisi Kikwete hana ujanja raisi wetu katika hili nfiye aliyetoa amri
 
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania Dk. Steven Ulimboka ameombewa ulinzi kwenye Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International.Vyanzo vya habari vya kuaminika kutoka ndani ya jopo la wataalam na jumuia hiyo kwa nyakati tofauti vimeliambia Tanzania Daima Jumatano kwamba wamelazimika kuomba ulinzi wa kimataifa ili kukabiliana na watu wabaya wanaotaka kumdhuru.Vyanzo hivyo vilisema watu waliomdhuru wanataka kummaliza kabisa ili kuficha ukweli kwani kabla ya kuondoka Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio hilo hivyo wabaya wake hao wanatumia baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini kuhakikisha wanampata.

“Hii ya kuomba ulinzi ni ‘latest’; Amnesty International ni wabishi lakini katika hili wameombwa naamini watakubali kumlinda… maombi yamepelekwa jana.“Kabla ya kupelekwa Afrika Kusini Dk. Ulimboka alieleza ukweli wa tukio zima kuanzia walivyomkamata na mateso waliyompa hadi walipotaka kumzika akiwa hai.“Wameshajulikana sasa wanatumia ubalozi wetu kutaka kupenya kwenda kumwona hospitalini ndiyo maana haisemwi yuko hospitali gani… ukweli ni kwamba usalama wa Dk. Ulimboka uko hatarini,” kilisema chanzo hicho cha kuaminika.Bila kujua kwamba hizo ni habari chanzo hicho kiliendelea kueleza kwamba akiwa njiani kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dk. Ulimboka aliwataka viongozi na madaktari wengine ndani ya jumuia kupigania haki zao.Kwa mujibu wa chanzo hicho mwenyekiti huyo wa jumuia aliwasihi waliobaki wasikubali damu yake imwagike bure, wahakikishe maslahi ya madaktari yanaboreshwa.

“Msikubali damu yangu imwagike bure; endeleeni kupigania haki zenu…,” chanzo hicho kilimnukuu Dk. Ulimboka.Hata hivyo ilielezwa kwamba jumuia hiyo ilishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binaadam (LHRC) kuomba ulinzi huo kutoka Amnesty International.

Chanzo: Tanzania Daima


WAKATI HUO HUO

“Taarifa tulizozipata kutoka Afrika Kusini zinasema kwamba, hali ya Dk Ulimboka imezidi kuimarika tofauti na alivyokwenda, figo zimeanza kufanya kazi ingawa kwa polepole na amefanyiwa vipimo vingine,” alisema Dk Kabangila na kuongeza:

“Pia ameanza kuzungumza, anawatambua watu vizuri na zaidi amewaomba Watanzania wamuombee apone haraka.”
Awali, chanzo kimoja cha habari kilidokeza kwamba hali ya Dk Ulimboka imeimarika kutokana na kupatiwa huduma za matibabu kwa haraka kwa kufanyiwa pamoja na vipimo vingine, kile cha usafishaji damu na figo (Dalysis), mara kwa mara. Kabla ya kuondoka nchini, Dk Ulimboka alifanyiwa usafishaji huo mara mbili.

Madaktari walisema kuwa, kipimo hicho kililenga kupunguza kiwango cha sumu iliyoonekana kwenye damu, ambayo haikutambulika mara moja kama ilitengenezwa ndani ya mwili au vinginevyo kwa kuwa hakuna kipimo cha kubaini tatizo hilo nchini.


Chanzo: Mwananchi








Inatisha! Lakini wabaya hawawezi kuwashinda wema au ubaya kushinda haki. Haiwezekani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom