Shujaa anajificha tena? Huko mafichoni ana silaha gani na analindwa na nani?
Unafikiri watanzania masikini tungejitolea kummuunga mkono angekuwa na haja ya kujificha?Shujaa anajificha tena? Huko mafichoni ana silaha gani na analindwa na nani?
Mkuu mimi si shujaa ndio maana najificha. Shujaa yuko mafichoni kwani anaendesha vita ya msituni?fichuka basi na wewe useme jina lako... mambaff
Wamefanya makosa. Jana wameambiwa wakakutane na PM wao wakajificha. Kama una nia nzuri ya majadiliano kwa nini ujifiche?Unafikiri watanzania masikini tungejitolea kummuunga mkono angekuwa na haja ya kujificha?
Hana mpango.kama hawezi kujitokeza kisa anatafutwa basi asitishe mgomo.sasa watakutana vipi wakati hawajitokezi hadharani.mikakati yao wataiendeshaje.ama kweli kunguru mwuoga hukimbiza bawa lake.yeye nilitegemea atakuwa mstari wa mbel
e kwa lolote.madak
then Ulimboka ni shujaa na anaendeleza mapambano mafichoni.... recall Kagame, Museveni, Samora, Mondlane, etcMkuu mimi si shujaa ndio maana najificha. Shujaa yuko mafichoni kwani anaendesha vita ya msituni?
fichuka basi na wewe useme jina lako... mambaff