Ivi bado makamba hajalitolea tamko hili?Hivi matundu manne ya choo wka shilingi millioni 700 huko bagamoyo imekaaje kisha watu wanasema elimu ya bure inashindikana?
lakini wasomi wa vyuo vikuu na ma professa ndio walioiua nchi hii......!I hate this as well
Watangazaji Dalasa la saba wanamuoji DR???eep:eep:
Izi ndo ishu zake za kila cku anazotangaza...babra suck,kuna maswala mengi sana ya msingi ambayo yana manufaa katika taifa hili tajiri linaloliwa na wachache,sasa mambo ya ndoa yanahusu nini,use ur common sense,stupid,kutaka sifa tu sasa tumekudharau big time huo ni ushambenga huna lolote unafiki tu.
Jamani wakati mwingine tuchukulie kuwa jambo limetokea tu kama ambavyo yanatokea. Msikitafutie kila kitu sababu jamani, sikilizeni hando amalize then ndo mseme sasa kuwa interview ilikuwaje.
Angalau kwa clouds 'Power Breakfast' huwa wanajitahidi nyinyi msidhani clouds woooote ni akina Kibonde wapo wawili watatu ambao wanaharibu kama akina Kibonde. Lakini naona Power Breakfast kama wapo smart. Na vile vile ni kumsaidia Slaa kuwafikia watu wengi zaidi.
wanataka kumuandalia besidei?Clouds wanataka kujisogeza karibu na rais wetu mtarajiwa
Ivi bado makamba hajalitolea tamko hili?