Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,771
- 2,544
- Thread starter
- #41
Wameanza mambo ya kitoto kuulizia ndoa yake
sure. Huyu demu vipi? Ngoja tusubiri atajibu nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameanza mambo ya kitoto kuulizia ndoa yake
kwakuwa wanajua kila mtu anasikiliza ''kibiashara'' ndo muda muafaka wa kurusha matangazombona wameenda muda mrefu kwenye hayo matangazo ya biashara? wengine tuna mambo ya kukimbilia mjini..
mbona wameenda muda mrefu kwenye hayo matangazo ya biashara? wengine tuna mambo ya kukimbilia mjini..
Kumbe Babla hamnazo eeee? Hando anauliza maswala ya msingi yeye anauliza mambo ya ndoa ya slaa???? inasaidia nini kwenye maendeleo ya nchi? hivi kame olewa au bado wadau na atajisikiaje tukianza kungalia personal affairs zake na kuzihusisha na utangazaji. kuna Tija hapo? Nijibuni wana JF kama ameolewa na kama alishawahi kutelekezwa.
hahahah kagoma kuzungumzia ndoa kasema ni mkataba wa watu wawili!enhe
slaa bado kujibu????
ndiyo maana yake!Kasema suala la ndoa waachiwe wao kwani siyo suala la siasa!
personal HATE!.......
inasikitisha sana kwamba wana habari kwa wanahabari WANACHUKIANA
anazungumzia umeme na sukari!anasisitiza kuwa ndoa ni mkataba kati ya watu 2, waliopeleka mahakamani wameingia mitini...atamalizia kwa tartib za dini
DR hana dhalau hata jana alikuwepo ATN liveI hate this as well
Watangazaji Dalasa la saba wanamuoji DR???eep:eep: