Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
- Thread starter
- #21
kwa hiyo unataka kuniambia kipimo cha ujuaji mambo ni mtu kuongea lugha nyingi... ! kwa nini asigombee ukalimani ...:becky: kura yangu anayo, lakini sio URAIS!
Ndiyo, kujua lugha ni kujua na kuibua mambo mengi.
_______________________________________________________________
The limits of my language mean the limits of my world -
Ludwig Wittgenstein