Dk Slaa Mbumbumbu - Kamala

Huyo "Kamali" aende akamfanyie mahesabu JK kuhusu madini tunayoibiwa na mikataba feki. TZ ni kivu cha elimu, sawa, mwambieni JK ajinoe kwanza, akiwa fiti aingie kwenye mdahalo.
 
Baada ya kubambwa anajiita Dr wakati feki kama Kikwete, akakimbilia kwenda kusoma tena. Huyu kamala ni kiazi kwelikweli.
 
Is kamala a Dr...!!? No ni wale Dr wa kununua vyeti, his own words u can tell, huyu si DR,
mbabaishaji, anattetea tumbo lake, na ameanguka kura za ubunge atakoma, hajui anaongea nini, huyu yupo yupo tu, nasema IQ ya kamala is 5% ya DR Slaa, sasa kwanini serikali imetoa tamko la kupunguza bei ya saruji baada ya Dr slaa kusema? inamaana hajui hilo? Kamala hovyo kihiyo period....!!!!? akiongeaga is like he is sleeping, fake Dr period. hutaona ubunge ng'ooooooooooo
Pipoooooooooooooz pawaaaaaaaaaaaaaa
 
kuhusu viwango vya vat alisema dk. Slaa ameonesha hajui kuwa kodi hiyo si ya afrika mashariki na kiasi cha vat anacholipa mlaji kinategemea bei ya bidhaa katika soko, huku akitolea mfano wa maji ya kunywa ya ujazo wa nusu lita, ambayo tanzania yanauzwa sh 500 na kenya sh 800 ingawa mkenya analipa vat ya asilimia 16 na mtanzania asilimia 18; mkenya analipa kiasi kikubwa kuliko mtanzania.


Kenya maji ya nusu lita ni sh.60 sisi sh.500 nani looser?



Alisema kabla dk. Slaa kusema tanzania imeliwa, kwa kuwa na kiwango cha juu cha vat afrika mashariki, alitakiwa kuelewa kwamba vat si kodi ya afrika mashariki na katika uchumi, huwezi kulinganisha viwango vya vat kabla ya kuangalia mfumuko wa bei kwenye nchi unazotaka kulinganisha, na kabla haujakokotoa, lazima uangalie viwango vya thamani ya kubadilisha fedha na gharama ya maisha.

alimtaka dk. Slaa kuwaomba radhi watanzania kwa kuwadhalilisha akiwaita mbumbumbu, kielimu na katika kufanya biashara, huku akitaka kura zao, jambo ambalo si kweli, kwani miaka mingi tanzania imekuwa kitovu cha elimu katika kanda hii huku viongozi wake wengi wakisoma tanzania.

mawazo mgando... Yale yale sisi ndio tulioendesha ukombozi wa bara la africa!!!


sasa kama ccm imeshindwa si ikae pembeni?

tuwamwageeeeeeeeeeee...!!!
 
Leo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Diodorus Kamala, alisema Dk Slaa katika uchumi ni mbumbumbu na inaonekana anazungumza asichokijua na kudanganya wananchi.

Dk Kamala alisema ahadi hiyo ni ya uongo kwani Sh 5,000 ni gharama ya usafirishaji wa mfuko kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa njia ya reli na tani moja ya saruji ya mifuko 20 ni Sh 100,000 hivyo gharama kwa mfuko kuwa Sh 5,000 sawa na bei anayowaahidi Watanzania. Alisema gharama za uzalishaji si chini ya Sh 7,000 kwa mfuko na kabla ya kuongeza gharama nyingine, mfuko wa saruji unapofika Mwanza gharama inakuwa zaidi ya Sh 12,000, hivyo kwa bei yake kuwa kubwa.

Dk Kamala alisema hoja hiyo ni ndoto ambayo hata viongozi wa nchi tajiri duniani hawatarajii kuiota mbali na kuitekeleza na huko ni kudanganya wananchi. Akizungumzia hoja ya makubaliano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwamba yanaumiza Watanzania, alisema Dk. Slaa anapotosha kwani msingi mkuu wa makubaliano hayo ni ushirikiano huo kujengwa hatua kwa hatua kulingana na ridhaa ya wananchi. “Serikali imekuwa ikizingatia msingi huu kikamilifu kwa kushirikisha wananchi, likiwamo Bunge ambalo Dk Slaa amekuwamo kwa miaka mingi, mfumo huu unaziwezesha nchi wanachama kupata fursa ya kujipanga vema katika utekelezaji na kuitumia ngazi moja kuwa msingi wa kupanda ngazi inayofuata ya utangamano,“ alisema Kamala.

Kuhusu mfumo wa kodi katika jumuiya, alisema si kweli kwamba aliuanzisha yeye, kwa kuwa yalianza kabla hajawa waziri na haiwezekani ushuru ufutwe bila kujadiliana na kukubaliana nchi wanachama, hivyo akasema Dk.Slaa hawezi kufuta ushuru huo kwani ni lazima ajadiliane na viongozi wa EAC.

Kuhusu viwango vya VAT alisema Dk. Slaa ameonesha hajui kuwa kodi hiyo si ya Afrika Mashariki na kiasi cha VAT anacholipa mlaji kinategemea bei ya bidhaa katika soko, huku akitolea mfano wa maji ya kunywa ya ujazo wa nusu lita, ambayo Tanzania yanauzwa Sh 500 na Kenya Sh 800 ingawa Mkenya analipa VAT ya asilimia 16 na Mtanzania asilimia 18; Mkenya analipa kiasi kikubwa kuliko Mtanzania.

Alisema kabla Dk. Slaa kusema Tanzania imeliwa, kwa kuwa na kiwango cha juu cha VAT Afrika Mashariki, alitakiwa kuelewa kwamba VAT si kodi ya Afrika Mashariki na katika uchumi, huwezi kulinganisha viwango vya VAT kabla ya kuangalia mfumuko wa bei kwenye nchi unazotaka kulinganisha, na kabla haujakokotoa, lazima uangalie viwango vya thamani ya kubadilisha fedha na gharama ya maisha.

Alimtaka Dk. Slaa kuwaomba radhi Watanzania kwa kuwadhalilisha akiwaita mbumbumbu, kielimu na katika kufanya biashara, huku akitaka kura zao, jambo ambalo si kweli, kwani miaka mingi Tanzania imekuwa kitovu cha elimu katika kanda hii huku viongozi wake wengi wakisoma Tanzania.

Sasa kama CCM Imeshindwa si ikae pembeni?

mimi si mchumi ila nahisi huyu jamaa anaweza akawa kilaza kama msemakweli alivosema!....nijuacho mimi ni kuwa kutakuwa na mwingiliano wa bidhaa za nchi hizi.....mfano kama product imezalishwa kenya na ili ilete faida inabidi iuzwe USD 10 pale kenya, kwa uganda itakuwa USD10 + 13 or 15%(not sure of figures) + transport cost + faida ya mfanyabiashara wakati Tanzania itakuwa USD10+transport cost + 18% + faida ya mfanyabishara. VAT ina impact kwa mlaji wa mwisho na bahati mbaya sana viwanda vyote waliwapa magabachori waliofuria vinafuga mbuzi na mbu kwa sasa,Kenya wametuzidi sana viwanda,rwanda wangetuzidi kama tusingeamua kuingusha serikali ya chichiem,pona yetu ni kwa kuwa wana siku sita tu za kuropoka hivi. Haihitaji kuwa prof kujua kichwa cha Kamala na Slaa haviwezi kulinganishwa kwa chochote. hata huo uwaziri ni urafiki hakuna chochote!
 
Mchungaji Slaa anchojua ni kunukuu maneno ya nabii Paul, na ndio udaktari wake wa kusoma bibilia!!
 
Enyi vibaraka wa Chama Cha Mafisadi sasa mmeamua kuwavunjia watu heshima. Kumwita mtu mbumbuu huku ni kukoseana heshima. Hii elimu Kamala ndivyo ilivyokufundisha kutoa matusi bila haya. Lakini fanya mfanyavyo mseme msemavyo sisi tunayemtambua kuwa ni Mkombozi wa
Mtanzania aliye maskini bila sababu ni Dr.Slaa na si mwingine.
 
Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?

UNAMUONEA MWENZIO WIVU EEE!! oor sorry, kumbe wewe ni mwanaume, nilijua wale wenzetu wakike maana wao kwa wivu mie simo. asione mwenzake anapata uroda nae anatamani hata km kaolewa.
 
Leo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Diodorus Kamala, alisema Dk Slaa katika uchumi ni mbumbumbu na inaonekana anazungumza asichokijua na kudanganya wananchi.

Dk Kamala alisema ahadi hiyo ni ya uongo kwani Sh 5,000 ni gharama ya usafirishaji wa mfuko kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa njia ya reli na tani moja ya saruji ya mifuko 20 ni Sh 100,000 hivyo gharama kwa mfuko kuwa Sh 5,000 sawa na bei anayowaahidi Watanzania. Alisema gharama za uzalishaji si chini ya Sh 7,000 kwa mfuko na kabla ya kuongeza gharama nyingine, mfuko wa saruji unapofika Mwanza gharama inakuwa zaidi ya Sh 12,000, hivyo kwa bei yake kuwa kubwa.

Dk Kamala alisema hoja hiyo ni ndoto ambayo hata viongozi wa nchi tajiri duniani hawatarajii kuiota mbali na kuitekeleza na huko ni kudanganya wananchi. Akizungumzia hoja ya makubaliano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwamba yanaumiza Watanzania, alisema Dk. Slaa anapotosha kwani msingi mkuu wa makubaliano hayo ni ushirikiano huo kujengwa hatua kwa hatua kulingana na ridhaa ya wananchi. “Serikali imekuwa ikizingatia msingi huu kikamilifu kwa kushirikisha wananchi, likiwamo Bunge ambalo Dk Slaa amekuwamo kwa miaka mingi, mfumo huu unaziwezesha nchi wanachama kupata fursa ya kujipanga vema katika utekelezaji na kuitumia ngazi moja kuwa msingi wa kupanda ngazi inayofuata ya utangamano,“ alisema Kamala.

Kuhusu mfumo wa kodi katika jumuiya, alisema si kweli kwamba aliuanzisha yeye, kwa kuwa yalianza kabla hajawa waziri na haiwezekani ushuru ufutwe bila kujadiliana na kukubaliana nchi wanachama, hivyo akasema Dk.Slaa hawezi kufuta ushuru huo kwani ni lazima ajadiliane na viongozi wa EAC.

Kuhusu viwango vya VAT alisema Dk. Slaa ameonesha hajui kuwa kodi hiyo si ya Afrika Mashariki na kiasi cha VAT anacholipa mlaji kinategemea bei ya bidhaa katika soko, huku akitolea mfano wa maji ya kunywa ya ujazo wa nusu lita, ambayo Tanzania yanauzwa Sh 500 na Kenya Sh 800 ingawa Mkenya analipa VAT ya asilimia 16 na Mtanzania asilimia 18; Mkenya analipa kiasi kikubwa kuliko Mtanzania.

Alisema kabla Dk. Slaa kusema Tanzania imeliwa, kwa kuwa na kiwango cha juu cha VAT Afrika Mashariki, alitakiwa kuelewa kwamba VAT si kodi ya Afrika Mashariki na katika uchumi, huwezi kulinganisha viwango vya VAT kabla ya kuangalia mfumuko wa bei kwenye nchi unazotaka kulinganisha, na kabla haujakokotoa, lazima uangalie viwango vya thamani ya kubadilisha fedha na gharama ya maisha.

Alimtaka Dk. Slaa kuwaomba radhi Watanzania kwa kuwadhalilisha akiwaita mbumbumbu, kielimu na katika kufanya biashara, huku akitaka kura zao, jambo ambalo si kweli, kwani miaka mingi Tanzania imekuwa kitovu cha elimu katika kanda hii huku viongozi wake wengi wakisoma Tanzania.

Sasa kama CCM Imeshindwa si ikae pembeni?

Anasema nini huyu Kamala (Dr.Fake) nae fisadi wa elimu na Phd yake fake. Hebu apishe Dr wetu Slaa wa ukweli atinge zake Ikulu. Kwanza hana mpango na mavyeti yake (kanjanja). Ubunge ke shashindwa na asubiri aone cha moto kama huko Mzumbe wataendelea kum-baby sit tena.
 
Leo,

Kuhusu mfumo wa kodi katika jumuiya, alisema si kweli kwamba aliuanzisha yeye, kwa kuwa yalianza kabla hajawa waziri na haiwezekani ushuru ufutwe bila kujadiliana na kukubaliana nchi wanachama, hivyo akasema Dk.Slaa hawezi kufuta ushuru huo kwani ni lazima ajadiliane na viongozi wa EAC.

Mh Kamala hamjui huyu Mh Slaa, HUYU MTU NI DIKITETA yeye hana cha mjadala. Yeye ni kutoa amri tu bila ya kulisikiliza bunge, huyu ni JOSEPH STARLIN wa Tanzania. Hajui Demokrasia hata siku moja.

Ataweza kuongoza na wabunge 10 wa CHADEMA. OOOH TUPO PABAYA.
 
Hili ndilo tatizo la kuwa na rundo la ma PhD holders wenye vyeti vya ku-download kwenye intaneti, kisha wakakabidhiwa nyadhifa
zinazowazidi uwezo. Hivi kweli Kamala ana ubavu wa ku-argue hoja ya mtu ambaye anatosha kuwa mwalimu wake?
Atuondolee uchuro na umbumbumbu wake. Aupeleke hukohuko CCM.
 
Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?
bora yeye lakini huyo rais wako anatembea na wake za watu huku akijua.
je mbumbumbu ni yupi hapo?
 
huyu wananchi wa nkenge, walikgundua kuingizwa mkenge na docta wa uongo wakampiga chini. mwacheni atape tape, mwisho wake in october 31,kama unaingia huku ushauri wangu ni wewe kuwahi shule ukasome , vyuo vinafunguliwa november, ohooo
 
Hao waandishi wa habari c wangemuuliza hayohayo maji ya lita moja ya Kimanjaro yanauzwa buku hapa tz na uhai 500!
 
Kama yeye hawezi wengine wanaweza hata darasani unaweza shindwa swali mwenzako akalifanya kwa dk moja.

Nadhani kamala ndo anajua sana uchumi kuliko hata mwenyekeiti wake. Kwanini sasa asigombee urais?
Kwanini basi asieleze ya kwake na ajibu tu maelezo ya Dr. Slaa??


Kweli CCM wakae pembeni wameshindwa
 
Yeye angekuwa na akili si angeaminiwa na wananchi wake kule jimboni? Mbona walimpiga chini pamoja na kuhonga? Atakuwa anawinda kuteuliwa!

kama ulikuwa akilini mwangu,Prof. Nkunya pamoja na msemakweli mko wapi mumtolee ushahidi huyu ***** wa udaktari fake?
 
Unajua vitu vingine vinachekesha ni pale mtu unapomuita Kamala Doctor, ni uzalilishaji wa elimu jamani. Hivi hata competance ya kujieleza hana na ndo maana hata wananchi wake wamemuona mbumbumbu ndani ya chama chake. Tanzania tutafika mahali u-Doctor huu utafutwa kabisa. wewe unazungumzia usafiri wa cement??? Je zinazotoka nje si ndio zingekuwa ghari zaidi???? unatuiharibia wanafunzi wetu kama elimu yenyewe haieleweki. Hivi mkikaa na doctor Slaa kuna kitu utajibu wewe kamala ni bora rais wa chuo ambaye ni undergraduate ataweza kusema kituu kuliko wewe.
ungekuwa rais ungesema tegeta cement ndo iuzwe 5000 kwa sababu usafiri ni 1000? si ndo akili yako harafu unamtukana Phd holder ya kihalali kabisaa *bwa we !
 
Huyu kamala siyo mbumbumbu tu bali pia limbukeni alipopata uwazili akawadharau hata wapiga kura wake kiasi kwamba alikuwa akiwaambia kuwa yuko bussy na rais kwa hiyo hawezi kuwasaidia.

Sana sana ni kuwaambia alivyokuwa UK na USA akifikiria hayo ndiyo matatizo ya wananchi wake. Nafikiri kafulia sasa anaangalia kama atapata kacheo angalau aweze kupata mkate wa kila siku, vinginevyo uzee utamwijia hivi karibuni maana hata vyeti vyake kishule havikubaliki.
 
Back
Top Bottom