Dk Slaa Mbumbumbu - Kamala

Huyu Kamala hata watu wa huko kwao wamemkataa kwa sababu hawezi kitu; anawezaje kuongelea Tanzania iwapo hata jimbo lake hawezi kuliongelea. Jamaa ana digrii za kununua na ndiyo maana hata alikuwa hawezi kuongelea masalahi ya Tanzania mbele ya wenzake wa Uganda na Kenya awapo huko kwenye Afrika ya Mashariki. Sijui kama Mzumbe bado watampokea baada ya kujua nkuwa alinunu digrii.
 
Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?
Ushalewa wewe mvinyo wa mafisadi, take care ????mwanaume??? , the world is changing
 
profession yangu ni Doctor of medicine, naomba kutoka kwenu wadau au ndugu zangu waliobobea kwenye maswala ya uchumi, mnisaidie nini maana ya GOVERNMENT SUBSIDE na nini maana ya VAT? NIMEPATA ELIMU YANGU CHINA, UKITEMBEA CHINA NZIMA BEI YA CEMENT NI MOJA TU. YAANI MFANO KAMA MWANZA NI TZSHS 5,000, BASI KIGOMA , MTWARA NA SEHEMU ZOTE ITAKUWA BEI HIYO HIYO NA AKIPATIKANA MTU ANAUZA KWA BEI JUU YA 5,000 NI KOSA LA JINAI NA LAZIMA UKATUMIKIE JELA. KAMA CHINA NI NCHI KUBWA HIVYO WAMEMUDU HIYO TANZANIA TUNASHINDWA NINI? TATIZO UCHUMI TUNAUSOMA KWENYE VITABU HATUNA PRACTICALS ZETU WENYEWE.
 
Kamala u Dk wako unatofauti gani na wa Kikwete? Elimu yako umefoji sasa hivi kila mtu anajua hilo thanks to Msemakweli. Unajituma kumchafua DK wa ukweli Slaa ili kikweche akupe u RC akishachakachua matokeo. Imekula kwako kamala.
 
yeye ndo mbumbumbu tena poyoyo asiejitambua amechakachuliwa nyang'au huyo anaejidai kuongea hayo maneno damn!
 
kwa mtiririko huo tu Kamala amashuka hadhi kama kama c.h.u.p.i za vip,
uwezo wa kikwete ambaye ni bosi wake ni mdogo nyanja zote, labda kwenye uongo
na uropokaji
 
Mnapoteza muda kubishana na Kamala (plz don't call him Dr anymore, maana bado anasotea udaktari).
Sie kwetu huko tulimbwaga chini maana kichwa chake hakina lolote zaidi ya uzinifu tu! Hana kitu. Yaani namuonea huruma maana alikuwa mtu wa tatu katika race.
Anapalilia u DC lakini bahati mbaya rafikiye hawezi kurudi tena ikulu. Bado nadhani hesabu zake ni za chekechea.
 
profession yangu ni Doctor of medicine, naomba kutoka kwenu wadau au ndugu zangu waliobobea kwenye maswala ya uchumi, mnisaidie nini maana ya GOVERNMENT SUBSIDE na nini maana ya VAT? NIMEPATA ELIMU YANGU CHINA, UKITEMBEA CHINA NZIMA BEI YA CEMENT NI MOJA TU. YAANI MFANO KAMA MWANZA NI TZSHS 5,000, BASI KIGOMA , MTWARA NA SEHEMU ZOTE ITAKUWA BEI HIYO HIYO NA AKIPATIKANA MTU ANAUZA KWA BEI JUU YA 5,000 NI KOSA LA JINAI NA LAZIMA UKATUMIKIE JELA. KAMA CHINA NI NCHI KUBWA HIVYO WAMEMUDU HIYO TANZANIA TUNASHINDWA NINI? TATIZO UCHUMI TUNAUSOMA KWENYE VITABU HATUNA PRACTICALS ZETU WENYEWE.
The Following 2 Users Say Thank You to mubi For This Useful Post:

Anyisile Obheli (Today), Mchukia Fisadi (Today)

Yaani nilipogonga thanks zikatokea thanks mbili kwa mpigo
 
Aiseeeeeeeeeeeeee wewe vuvuzela vipi bana! :doh:
Mkuu nasikia siku ukitamka vuvuzela unaweza kula ban... :D...

vuvuzela.JPG
Lakini kamanda wenu amechemsha ile mbaya... Yaani demu anakwenda nyumbani kwake na makid wawili.. yeye naomwona ka mwali? Ka si umbumbumbu ni nini hasa...
 
The Following 2 Users Say Thank You to mubi For This Useful Post:

Anyisile Obheli (Today), Mchukia Fisadi (Today)

Yaani nilipogonga thanks zikatokea thanks mbili kwa mpigo

Mkuu tupo pamoja hata Bongo hiyo kitu inafanyika mfano bei ya petroli na dizeli mikoani inakaribiana na dar, serikaki ina subsidize transort cost
Daah jamaa kweli kihiyo yaani ndio mawaziri wetu hao wanapindisha hata kusikopinda
 
Leo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Diodorus Kamala, alisema Dk Slaa katika uchumi ni mbumbumbu na inaonekana anazungumza asichokijua na kudanganya wananchi.

Dk Kamala alisema ahadi hiyo ni ya uongo kwani Sh 5,000 ni gharama ya usafirishaji wa mfuko kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa njia ya reli na tani moja ya saruji ya mifuko 20 ni Sh 100,000 hivyo gharama kwa mfuko kuwa Sh 5,000 sawa na bei anayowaahidi Watanzania. Alisema gharama za uzalishaji si chini ya Sh 7,000 kwa mfuko na kabla ya kuongeza gharama nyingine, mfuko wa saruji unapofika Mwanza gharama inakuwa zaidi ya Sh 12,000, hivyo kwa bei yake kuwa kubwa.

Dk Kamala alisema hoja hiyo ni ndoto ambayo hata viongozi wa nchi tajiri duniani hawatarajii kuiota mbali na kuitekeleza na huko ni kudanganya wananchi. Akizungumzia hoja ya makubaliano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwamba yanaumiza Watanzania, alisema Dk. Slaa anapotosha kwani msingi mkuu wa makubaliano hayo ni ushirikiano huo kujengwa hatua kwa hatua kulingana na ridhaa ya wananchi. "Serikali imekuwa ikizingatia msingi huu kikamilifu kwa kushirikisha wananchi, likiwamo Bunge ambalo Dk Slaa amekuwamo kwa miaka mingi, mfumo huu unaziwezesha nchi wanachama kupata fursa ya kujipanga vema katika utekelezaji na kuitumia ngazi moja kuwa msingi wa kupanda ngazi inayofuata ya utangamano," alisema Kamala.

Kuhusu mfumo wa kodi katika jumuiya, alisema si kweli kwamba aliuanzisha yeye, kwa kuwa yalianza kabla hajawa waziri na haiwezekani ushuru ufutwe bila kujadiliana na kukubaliana nchi wanachama, hivyo akasema Dk.Slaa hawezi kufuta ushuru huo kwani ni lazima ajadiliane na viongozi wa EAC.

Kuhusu viwango vya VAT alisema Dk. Slaa ameonesha hajui kuwa kodi hiyo si ya Afrika Mashariki na kiasi cha VAT anacholipa mlaji kinategemea bei ya bidhaa katika soko, huku akitolea mfano wa maji ya kunywa ya ujazo wa nusu lita, ambayo Tanzania yanauzwa Sh 500 na Kenya Sh 800 ingawa Mkenya analipa VAT ya asilimia 16 na Mtanzania asilimia 18; Mkenya analipa kiasi kikubwa kuliko Mtanzania.

Alisema kabla Dk. Slaa kusema Tanzania imeliwa, kwa kuwa na kiwango cha juu cha VAT Afrika Mashariki, alitakiwa kuelewa kwamba VAT si kodi ya Afrika Mashariki na katika uchumi, huwezi kulinganisha viwango vya VAT kabla ya kuangalia mfumuko wa bei kwenye nchi unazotaka kulinganisha, na kabla haujakokotoa, lazima uangalie viwango vya thamani ya kubadilisha fedha na gharama ya maisha.

Alimtaka Dk. Slaa kuwaomba radhi Watanzania kwa kuwadhalilisha akiwaita mbumbumbu, kielimu na katika kufanya biashara, huku akitaka kura zao, jambo ambalo si kweli, kwani miaka mingi Tanzania imekuwa kitovu cha elimu katika kanda hii huku viongozi wake wengi wakisoma Tanzania.

Sasa kama CCM Imeshindwa si ikae pembeni?

Jamani hizi Ph.D za akina kamara wanaziokota wapi. " this guy is so stupid indeed" kwa nini mfuko wa saruji toka paskitani unauzwa kwa bei ya chini kulinganisha na bei za hapa Tanzania. gharama ya kusafirisha saruji toka pakistani mpaka Tanzania ni kiasi gani na gharama ya kusafirisha mfuko toka Dar kwenda Mwanza ni kiasi gani. Gharama za Tanzania ziko inflated sana ambazo Dr. Kamara anazifuata. Inabidi urudi shule kusoma Ph.D ya ukweli kuliko kusema uongo wako. asubiri apewe ukuu wa wilaya ya tarime.
 
Jamani hizi Ph.D za akina kamara wanaziokota wapi. " this guy is so stupid indeed" kwa nini mfuko wa saruji toka paskitani unauzwa kwa bei ya chini kulinganisha na bei za hapa Tanzania. gharama ya kusafirisha saruji toka pakistani mpaka Tanzania ni kiasi gani na gharama ya kusafirisha mfuko toka Dar kwenda Mwanza ni kiasi gani. Gharama za Tanzania ziko inflated sana ambazo Dr. Kamara anazifuata. Inabidi urudi shule kusoma Ph.D ya ukweli kuliko kusema uongo wako.


Ni mbumbumbu huyu Kamala vinginevyo angefanya cost analysis kama Waziri ili kujua kwa nini saruji toka pakistan pamoja na gharama za usafiri ina bei ya chini kuliko inayozalishwa Tanzania na kutafuta njia ya kupunguza bei ya saruji yetu ili iwe rahisi na hivyo kuwavutia wanunuzi wengi lakini hana jipya ila kubwabwaja tu!
 
we `kamala huna vyeti tulia kaa kimya..hujui unachoongea ...mfuko wa cement mapka Mwanza sh 7,000/= ???? we kweli pumbavu kabisa ndo maana hata vyeti wa udokta wako unamashaka
 
Leo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Diodorus Kamala, alisema Dk Slaa katika uchumi ni mbumbumbu na inaonekana anazungumza asichokijua na kudanganya wananchi.

Dk Kamala alisema ahadi hiyo ni ya uongo kwani Sh 5,000 ni gharama ya usafirishaji wa mfuko kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa njia ya reli na tani moja ya saruji ya mifuko 20 ni Sh 100,000 hivyo gharama kwa mfuko kuwa Sh 5,000 sawa na bei anayowaahidi Watanzania. Alisema gharama za uzalishaji si chini ya Sh 7,000 kwa mfuko na kabla ya kuongeza gharama nyingine, mfuko wa saruji unapofika Mwanza gharama inakuwa zaidi ya Sh 12,000, hivyo kwa bei yake kuwa kubwa.

Dk Kamala alisema hoja hiyo ni ndoto ambayo hata viongozi wa nchi tajiri duniani hawatarajii kuiota mbali na kuitekeleza na huko ni kudanganya wananchi. Akizungumzia hoja ya makubaliano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwamba yanaumiza Watanzania, alisema Dk. Slaa anapotosha kwani msingi mkuu wa makubaliano hayo ni ushirikiano huo kujengwa hatua kwa hatua kulingana na ridhaa ya wananchi. “Serikali imekuwa ikizingatia msingi huu kikamilifu kwa kushirikisha wananchi, likiwamo Bunge ambalo Dk Slaa amekuwamo kwa miaka mingi, mfumo huu unaziwezesha nchi wanachama kupata fursa ya kujipanga vema katika utekelezaji na kuitumia ngazi moja kuwa msingi wa kupanda ngazi inayofuata ya utangamano,“ alisema Kamala.

Kuhusu mfumo wa kodi katika jumuiya, alisema si kweli kwamba aliuanzisha yeye, kwa kuwa yalianza kabla hajawa waziri na haiwezekani ushuru ufutwe bila kujadiliana na kukubaliana nchi wanachama, hivyo akasema Dk.Slaa hawezi kufuta ushuru huo kwani ni lazima ajadiliane na viongozi wa EAC.

Kuhusu viwango vya VAT alisema Dk. Slaa ameonesha hajui kuwa kodi hiyo si ya Afrika Mashariki na kiasi cha VAT anacholipa mlaji kinategemea bei ya bidhaa katika soko, huku akitolea mfano wa maji ya kunywa ya ujazo wa nusu lita, ambayo Tanzania yanauzwa Sh 500 na Kenya Sh 800 ingawa Mkenya analipa VAT ya asilimia 16 na Mtanzania asilimia 18; Mkenya analipa kiasi kikubwa kuliko Mtanzania.

Alisema kabla Dk. Slaa kusema Tanzania imeliwa, kwa kuwa na kiwango cha juu cha VAT Afrika Mashariki, alitakiwa kuelewa kwamba VAT si kodi ya Afrika Mashariki na katika uchumi, huwezi kulinganisha viwango vya VAT kabla ya kuangalia mfumuko wa bei kwenye nchi unazotaka kulinganisha, na kabla haujakokotoa, lazima uangalie viwango vya thamani ya kubadilisha fedha na gharama ya maisha.

Alimtaka Dk. Slaa kuwaomba radhi Watanzania kwa kuwadhalilisha akiwaita mbumbumbu, kielimu na katika kufanya biashara, huku akitaka kura zao, jambo ambalo si kweli, kwani miaka mingi Tanzania imekuwa kitovu cha elimu katika kanda hii huku viongozi wake wengi wakisoma Tanzania.

Sasa kama CCM Imeshindwa si ikae pembeni?

kweli Kamala ni mjinga na sijui kama anasoma.jamani huyu waziri hajui kwamba EAC ni hiari,leo katiba ya kenya wakenya wamejiondoa katika jumuhia hiyo simply they are not ready prepared.mwambieni atafute gazeti East africa asome,viongozi kama hawa hawafai.
 
Leo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Diodorus Kamala, alisema Dk Slaa katika uchumi ni mbumbumbu na inaonekana anazungumza asichokijua na kudanganya wananchi.

Dk Kamala alisema ahadi hiyo ni ya uongo kwani Sh 5,000 ni gharama ya usafirishaji wa mfuko kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kwa njia ya reli na tani moja ya saruji ya mifuko 20 ni Sh 100,000 hivyo gharama kwa mfuko kuwa Sh 5,000 sawa na bei anayowaahidi Watanzania. Alisema gharama za uzalishaji si chini ya Sh 7,000 kwa mfuko na kabla ya kuongeza gharama nyingine, mfuko wa saruji unapofika Mwanza gharama inakuwa zaidi ya Sh 12,000, hivyo kwa bei yake kuwa kubwa.

Dk Kamala alisema hoja hiyo ni ndoto ambayo hata viongozi wa nchi tajiri duniani hawatarajii kuiota mbali na kuitekeleza na huko ni kudanganya wananchi. Akizungumzia hoja ya makubaliano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwamba yanaumiza Watanzania, alisema Dk. Slaa anapotosha kwani msingi mkuu wa makubaliano hayo ni ushirikiano huo kujengwa hatua kwa hatua kulingana na ridhaa ya wananchi. “Serikali imekuwa ikizingatia msingi huu kikamilifu kwa kushirikisha wananchi, likiwamo Bunge ambalo Dk Slaa amekuwamo kwa miaka mingi, mfumo huu unaziwezesha nchi wanachama kupata fursa ya kujipanga vema katika utekelezaji na kuitumia ngazi moja kuwa msingi wa kupanda ngazi inayofuata ya utangamano,“ alisema Kamala.

Kuhusu mfumo wa kodi katika jumuiya, alisema si kweli kwamba aliuanzisha yeye, kwa kuwa yalianza kabla hajawa waziri na haiwezekani ushuru ufutwe bila kujadiliana na kukubaliana nchi wanachama, hivyo akasema Dk.Slaa hawezi kufuta ushuru huo kwani ni lazima ajadiliane na viongozi wa EAC.

Kuhusu viwango vya VAT alisema Dk. Slaa ameonesha hajui kuwa kodi hiyo si ya Afrika Mashariki na kiasi cha VAT anacholipa mlaji kinategemea bei ya bidhaa katika soko, huku akitolea mfano wa maji ya kunywa ya ujazo wa nusu lita, ambayo Tanzania yanauzwa Sh 500 na Kenya Sh 800 ingawa Mkenya analipa VAT ya asilimia 16 na Mtanzania asilimia 18; Mkenya analipa kiasi kikubwa kuliko Mtanzania.

Alisema kabla Dk. Slaa kusema Tanzania imeliwa, kwa kuwa na kiwango cha juu cha VAT Afrika Mashariki, alitakiwa kuelewa kwamba VAT si kodi ya Afrika Mashariki na katika uchumi, huwezi kulinganisha viwango vya VAT kabla ya kuangalia mfumuko wa bei kwenye nchi unazotaka kulinganisha, na kabla haujakokotoa, lazima uangalie viwango vya thamani ya kubadilisha fedha na gharama ya maisha.

Alimtaka Dk. Slaa kuwaomba radhi Watanzania kwa kuwadhalilisha akiwaita mbumbumbu, kielimu na katika kufanya biashara, huku akitaka kura zao, jambo ambalo si kweli, kwani miaka mingi Tanzania imekuwa kitovu cha elimu katika kanda hii huku viongozi wake wengi wakisoma Tanzania.

Sasa kama CCM Imeshindwa si ikae pembeni?
Kamala CCM hawakutaki njoo Chadema ule kuku
 
si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?

hatudanganyiki! Hata mseme nini! Hovyoooooo! chagua Slaa, chagua Chadema kwa maendeleo ya mtanzania ukiwamo na wewe kibunango!
 
Back
Top Bottom