muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Wasalimiane ili iweje? Salamu zao zinatatua nini Kati ya haya
1. Umeme Juu 40%
2. Inflation Juu 19%-30%
3. Tz ni nchi ya ya Tatu kwa kuongoza kwa umaskini duniani
4. Tz nchi ya 3 kwa kuzisha Madini na ya 3 kwa umaskini duniani
4. Tz nchi ya mwisho kwa miundo mbinu ya Barabara kwa nchi za East Africa
5. Maisha ya mtanzania wa kawaida ni utata mtupu.....
6....
7....
8....
Unaweza ongeza orodha hiii...
Haya ndio mambo ya msingi ya kuzungumza na Sio kusalimiana kwenye misiba.... Period
1. Umeme Juu 40%
2. Inflation Juu 19%-30%
3. Tz ni nchi ya ya Tatu kwa kuongoza kwa umaskini duniani
4. Tz nchi ya 3 kwa kuzisha Madini na ya 3 kwa umaskini duniani
4. Tz nchi ya mwisho kwa miundo mbinu ya Barabara kwa nchi za East Africa
5. Maisha ya mtanzania wa kawaida ni utata mtupu.....
6....
7....
8....
Unaweza ongeza orodha hiii...
Haya ndio mambo ya msingi ya kuzungumza na Sio kusalimiana kwenye misiba.... Period