LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Jana wakati npitia vyombo vya habari usiku nilishangzwa na kauli ya Dr Slaa kugeuka kuwa mpiga debe wa Jakaya Kikwete kwakuhamasisha wana igunga wajitokeze kuhesabiwa.
Swali
Kwanzia lini Slaa amekua mpiga debe wa CCM? au yupo kwenye Pay roll ya kikwete? KUMBE ULIGUNDUA UMETUMIA MASABURI KULETA HOJA YAKO HAPA NDO MAANA UNAOMBA USITUKANWE???
HII HAIHITAJI HATA AKILI YA DARASANI, MBONA HUKUMLAUNU JUZI ALIVYO OMBA WALIMU WASIWAADHIBU WANAFUNZI??
WEWE INAONEKANA NI MTOTO WA SHANGAZI NDO MAANA AKILI IMEDUMAA. DR, ANAHITAJI SIKU NCHI IKIWA CHINI YA HIMAYA YA CDM WAWEZE KUPANGA MAENDELEO YA KILA MTANZANIA NA SI KUPIGA RAMLI.
WAKE UP MAN?????? HUU NI MOTO WA GAS HAMNA JINSI WAVAA KIJANI HAWATAUNGUA