Dk Slaa asema Mufti hakufanya utafiti

Wewe ndiyo inaelekea ni mpuuzi. Dr. Slaa yuko sahihi kabisa. Inaelekea Mufti anaongea mbali na kufanya utafiti inaelekea hajui hata anachokiongea. Sijui kama huyu Mufti huwa anasikiliza taarifa za habari direct kutoka El jazira, BBC, CNN au Sky News au anasubiri redio TZ na TBC wazitafsiri kwanza kwa kiswahili. Kama Kingereza hakipandi............. namshauri atazame walau Al Jazira Arabic. Kwa kukuhakikishia kuwa Mufti haelewi au hafanyi utafiti ni pale aliposema kuwa Gadaffi anapigwa na Americans kwa ajili ya Uislam wake wakati waliobaliki mashambulishi yale ni waarabu wenzake na Qatar amepeleka na fight jets kwa hilo. Mbali ya hilo Gadaffi mwenyewe alisema Al Qaeda (Waislam safi) ndiyo wamesababisha hayo machafuko na ndiyo wanaoipinga serikali yake na hakuwahi kusema kuwa ni America.




Sikulaumu sana kwa kuwa jina lako ni Mr. zero, sjui itakuaje ukioa Ms. Tiro!
 
Mzambia humeniudhi sana, Umeleta mada nzuri sana lakini hujibu hoja wala huulizi hoja badala yake umeacha watu wanalumbana juu ya mambo amabayo hayamo katika maudhuhi ya Taarifa yenyewe na pia haisaidii JF.

Kuna hoja nyingi zingeweza kujadiliwa humo badala ya kurumbana kidini na kurumbana juu ya neno Utafiti. Mpaka sasa inaonekana Mufti amefanya Utafiti zaidi na anafanikiwa malengo yake; kwasababu Mjue lengo lake moja ni kuwatoa katika maudhui ya kujadili mambo ya muhimu na kurumbana juu ya mambo ya kipuuzi huku muda ukienda,kwa hili hapa JF naona kafanikiwa sijui kwa mitaani hali ikoje?

Kitu ambacho mkae nakujuwa ni kuwa muache kujadili tamko makini kama hili kwa kurumbana na wapumbavu wasiojua dunia inatoka wapi na inaenda wapi! Jaribuni kunyambuwa mambo muhimu ya kujadili na kutafutia ufumbuzi na hivyo muelekeze mijadala katika kutatua matatizo yetu na kusonga mbele badala ya kufanya hapa JF kama sehemu ya malumbano na ushabiki wa vyama na dini. Mjadala wowote ndani ya JF utaonekana wa maana kutokana na wana-JF wenyewe, maana kama kuna mtu au watu wanaingia kuvuruga mjadala Mods wapo ni kiasi cha kumtaarifu tu! lakini kama nyote mnalumbana juu ya upuuzi na kila mtu akijaribu kuonyesha kuwa yeye ndio anaweza kunya mavi yasiyonuka, basi mjue kuwa mmeliwa na nyinyi nyote ni watumwa wa CCM kizazi hadi kizazi.

Hamuwezi kuweka hili tamko muhimu sana hapa kwa mustakbari wa nchni yetu kwa ajili ya kupata uwanja wa kulumbana, kujibizana na kubishana ushabiki wa kitoto kihasi hiki.
 
chadema= JF= ukristo na ndio maana hamuachi kutukana na kubeza lolote linalofanywa na waislam, mmezidi chuki zenu kwa taarifa tu hii nchi sio yenu pekee yenu ni yetu sote na kila mtu ana haki ya kuongea,
mnashindwa kabisa kuficha yaliyomo katika nafsi zenu chuki, chuki chuki, tukisema chadema udini mnakataa! wakati majibu kama haya tunayaona hapa JF ni chadema chadema chadema hata chadema wakiropoka mnaona ni point tu na hili ndio litakalowaangusha mnawashtua hata waliolala, Tafakarini! na kujidai kwenu waasomi wajuzi nk mnashindwa kuficha ubinafsi na chuki mlizonano! MSIJISAHAU mkahisi uhuru niwenu peke yenu

Wewe kweli zuzu!! Kwa hiyo na wewe ni CDM siyo?? Ukiwa na akili kama za Mufti za kushindwa kuanalyse mambo matokeo yake ndiyo hayo unakuja na conclusions za ajabu ajabu. Inaelekea wewe ndiye mbinafsi na mdini ndiyo sababu badala ya kudiscuss issues unaanza kuleta vioja. Tatizo siyo JF ila your sharrow mind!!

Kwa nini mnapenda kudai JF ni CHADEMA just kwa sababu ya mawazo ya wachace humu?:lol:

Hao ni wana CCM wanaoshindwa kujibu hoja. Ninahakika JF wengi siyo wanachama wa chama chochote ila tatizo ni wana CCM hawajui waganyage wapi siku hizi kwa vile moto unawaka kila mahali.
 
we Slaa mpuuzi sana acha kudharau dini za wenzako, Pengo alipotoa maoni yake kuhusu maandamano alifanya utafiti lini? yani nyie mnaposifiwa hakuna comment yoyote ila mkikoselewa tuu,ndo mnakuja na matamko ya kipuuzi! hiyo siasa badilikeni na acheni ulimbukeni coz mnatubero sana

I wonder if some people really think at all. What Dr.Slaa said was just an allegorical statement trying to show the real situation. Mufti afanye research,na si kwake yeye tu hata viongozi wengine wa Dini.Wanashushia heshima nafasi zao,kama wanasema vitu bila tafiti.Kauli yake sioni kama ina ubaya,hebu tuache unazi.It is harmless, real & true. Humans can never be satisfied. It's a fact, take it or leave it.
 
mtapost sana na najua reply zote zitakuwa ni juu ya post hii, wala haisumbui, ila ukweli ndio huo mtake msitake najua mtaniandama sana offpoint, udini nk, lakini ni ukweli usiopingika, message delivered
 
Mzambia humeniudhi sana, Umeleta mada nzuri sana lakini hujibu hoja wala huulizi hoja badala yake umeacha watu wanalumbana juu ya mambo amabayo hayamo katika maudhuhi ya Taarifa yenyewe na pia haisaidii JF.

Kuna hoja nyingi zingeweza kujadiliwa humo badala ya kurumbana kidini na kurumbana juu ya neno Utafiti. Mpaka sasa inaonekana Mufti amefanya Utafiti zaidi na anafanikiwa malengo yake; kwasababu Mjue lengo lake moja ni kuwatoa katika maudhui ya kujadili mambo ya muhimu na kurumbana juu ya mambo ya kipuuzi huku muda ukienda,kwa hili hapa JF naona kafanikiwa sijui kwa mitaani hali ikoje?

Kitu ambacho mkae nakujuwa ni kuwa muache kujadili tamko makini kama hili kwa kurumbana na wapumbavu wasiojua dunia inatoka wapi na inaenda wapi! Jaribuni kunyambuwa mambo muhimu ya kujadili na kutafutia ufumbuzi na hivyo muelekeze mijadala katika kutatua matatizo yetu na kusonga mbele badala ya kufanya hapa JF kama sehemu ya malumbano na ushabiki wa vyama na dini. Mjadala wowote ndani ya JF utaonekana wa maana kutokana na wana-JF wenyewe, maana kama kuna mtu au watu wanaingia kuvuruga mjadala Mods wapo ni kiasi cha kumtaarifu tu! lakini kama nyote mnalumbana juu ya upuuzi na kila mtu akijaribu kuonyesha kuwa yeye ndio anaweza kunya mavi yasiyonuka, basi mjue kuwa mmeliwa na nyinyi nyote ni watumwa wa CCM kizazi hadi kizazi.

Hamuwezi kuweka hili tamko muhimu sana hapa kwa mustakbari wa nchni yetu kwa ajili ya kupata uwanja wa kulumbana, kujibizana na kubishana ushabiki wa kitoto kihasi hiki.

October 14,2003

Muslim agitation against what many believers consider to be government bias against Muslims has been relatively subdued in recent months as politically active believers concentrated on the election of a new Chief Mufti (Chief Sheikh) of Tanzania on October 13. Eventually, at a National Conference of the Muslim Council (BAKWATA), Sheikh Issa Shabaan Simba, who was Deputy Mufti, was elected Chief Mufti. Of the 150 ballots cast he got 71, defeating 11 rivals. The atmosphere was tense and the conference hall surrounded by security officials and riot police on the day of the election which was marred by accusations and counter accusations. There was an anonymous document alleging that Simba was not qualified because he had mismanaged BAKWATA funds. The election of the Mufti had been unsuccessfully challenged in the High Court by the Islamic Club, the Mosque Council (BAMITA) and the Muslim Associations who all said that he had no constitutional right to represent Muslims.

The Muslim activist Sheikh Ponda, Chairman of the ‘Committee of Imams' and seven of his colleagues who were facing murder charges were released on 19th August according to Nipashe. The Director of Public Prosecutions dropped the charges. The Sheikh had been arrested a day after riots that took place in Dar es Salaam on February 13, 2002, leaving a civilian and a constable dead. Sheikh Ponda later stated that he was going to sue the Government for the pain he had suffered while in detention for more than six months. Seven Muslim organisations promised to support his case -Mwananchi
 
we Slaa mpuuzi sana acha kudharau dini za wenzako, Pengo alipotoa maoni yake kuhusu maandamano alifanya utafiti lini? yani nyie mnaposifiwa hakuna comment yoyote ila mkikoselewa tuu,ndo mnakuja na matamko ya kipuuzi! hiyo siasa badilikeni na acheni ulimbukeni coz mnatubero sana

Na wewe acha upuuzi! Kwani Pengo alishutumu chama au wanasiasa wanaoendekeza wizi wa mali ya umma? Mshauri Mfuti afanye utafiti, kwani kufanya utafiti ni vibaya?
 
Tunashukuru kwa kuwasilisha maneno ya kadinali Pengo kwa niaba yake, Slaa acha kutumika na wakatoliki

Kwa vyovyote vile, mtu yeyote, ambaye anasema kwa kuropoka bila kutumia akili, hawezi kusema zaidi ya kile ulichokisema!
 
WanaCamaraderie na wana Jamvi,
Hizi ndizo Issues.
i) Udini umetoka wapi katika hoja za Dr Slaa?
2) Yaani Chama kituhumiwe kuvunja Amani, mtu yeyote mwenye akili timamu ategemee Katibu Mkuu wa Chama hicho akae kimya tu. Cammon, wana jamvi let us be serious. Ni upuuzi wa aina hii kufumbia mambo ndio kulikotufikisha hapa tulipo kama Taifa.
3) Nimesema mara kadhaa, na ninmeirudia juzi Kigoma, palipo na ukweli na haki au misingi ya ukweli inapofumbiwa macho tutapiga kelele. Hakuna aliye juu ya sheria, haki, ukweli. Hata "Mungu angelikuwa anafanya makosa kama hayo tungelimkemea", kwa bahati nzuri hafanyi makosa. Hiyo ni kuonyesha kuwa hakuna chini ya mbingu ambaye hatakemewa au kusahihishwa kama kwa misingi ya kisheria, ukweli tunaamini amekosea. Ikumbukwe hakuna mwenye "monopoly ya ukweli". Truth is but and is indivisible, hivyo iwe kiongozi wa dini (yeyote), iwe kiongozi wa Serikali wa ngazi yeyote atakemewa au kukosolewa kwa kadiri ya uzito wa kosa au upotoshaji. Wana JF hao wanaojadili personalities badala ya issues mimi hawanisumbui kwa vile tunajua "simple minds discuss people and great minds discuss issues". Tatizo hapa ni issues zilizokuwa raised na kiongozi wa dini je zina ukweli au la, kama sivyo hatuwezi kukaa kimya wakati Taifa linapotoshwa,inaweza kuwa kwa kutokujua kiongozi huyo au kwa malengo yeryote aliyonayo.




Bado swala halijajibiwa...Mufti alifanya utafiti wa madai yake kuwa CHADEMA maandamano yake kinayofanya hivi sasa yana lengo la kuvuruga amani ya nchi? Yaani:
  1. Walipanga wapi huo mpango
  2. Walipanga kuutekeleza kivipi
  3. Je kuna ushahidi au nini dalili zake
  4. Nani amemjulisha huyo Mufti wakati hajawahi kuhudhuria vikao au mikutano ya CHADEMA
Haya turudi barabarani
 
we Slaa mpuuzi sana acha kudharau dini za wenzako, Pengo alipotoa maoni yake kuhusu maandamano alifanya utafiti lini? yani nyie mnaposifiwa hakuna comment yoyote ila mkikoselewa tuu,ndo mnakuja na matamko ya kipuuzi! hiyo siasa badilikeni na acheni ulimbukeni coz mnatubero sana
We Itahwa unagongwa nini? Unataka kusema Mufti aliposema Kikwete anaandamwa kwa sababu ya Uislam wake huyo Muft wenu asiyeenda shule alifanya utafiti?? Mbona kipindi cha Mkapa wakati anaandwamwa kwa kubinafsisha hovyo mashirika ya umma mbona huyo mufti wenu hakusema kuwa Mkapa anaandamwa kwa Ukristo wake?? Tumia akili kufikiri usitumie makalio wewe......
 
you fool,read btn lines anawezaje kusema muft hakufanya utafiti?? ana uhakika gani kama sio dharau kwa waislamu wote?? Slaa needs to ask for the apology,ule ulikuwa ni mkutano wa masheikh na maulamaa wa nchi nzima waliokuwa wakijdaili hali ya siasa nchini libya na Tanzania kwahiyo muft Simba alitoa hitimisho ya yaliyoongelewa kwahiyo slaa kwa maana nyingine ameudharau mkutano wote ule! lazima aombe msamaha

Sasa ni utafiti gani alioufanya na aliutoa wapi?
 
WanaCamaraderie na wana Jamvi,
Hizi ndizo Issues.
i) Udini umetoka wapi katika hoja za Dr Slaa?
2) Yaani Chama kituhumiwe kuvunja Amani, mtu yeyote mwenye akili timamu ategemee Katibu Mkuu wa Chama hicho akae kimya tu. Cammon, wana jamvi let us be serious. Ni upuuzi wa aina hii kufumbia mambo ndio kulikotufikisha hapa tulipo kama Taifa.
3) Nimesema mara kadhaa, na ninmeirudia juzi Kigoma, palipo na ukweli na haki au misingi ya ukweli inapofumbiwa macho tutapiga kelele. Hakuna aliye juu ya sheria, haki, ukweli. Hata "Mungu angelikuwa anafanya makosa kama hayo tungelimkemea", kwa bahati nzuri hafanyi makosa. Hiyo ni kuonyesha kuwa hakuna chini ya mbingu ambaye hatakemewa au kusahihishwa kama kwa misingi ya kisheria, ukweli tunaamini amekosea. Ikumbukwe hakuna mwenye "monopoly ya ukweli". Truth is but and is indivisible, hivyo iwe kiongozi wa dini (yeyote), iwe kiongozi wa Serikali wa ngazi yeyote atakemewa au kukosolewa kwa kadiri ya uzito wa kosa au upotoshaji. Wana JF hao wanaojadili personalities badala ya issues mimi hawanisumbui kwa vile tunajua "simple minds discuss people and great minds discuss issues". Tatizo hapa ni issues zilizokuwa raised na kiongozi wa dini je zina ukweli au la, kama sivyo hatuwezi kukaa kimya wakati Taifa linapotoshwa,inaweza kuwa kwa kutokujua kiongozi huyo au kwa malengo yeryote aliyonayo.

Inaleta hasira unapomwona mtu unayemheshimu ambaye anaweza kuleta maridhiano ya Watanzania anaitisha Press Cpmference na kuongea matapishi kama alivyofanya Simba. Hana adabu, amaewakosea adabu wanachadema ambao wanaandamana bila hata ya kushika fimbo na maandamano yakiisha wanarudi makwao kwa amani, amewakosea Wakristo anaowahusisha na Chadema wakati wakristo wengi ni wana CCM. Amewakosea waislam wenzake. Mijitu kama hii mimi huwa najiuyliza wamepataje hizo nafasi, si wange kaa tu wafuge majini yao basi kuliko kuwa public figure halafu unaongea uharo tu kwenye press
 
Binafsi siafiki kauli ya Mufti kwamba waislam wasishiriki katika kukemea maovu ambayo ndo agenda kubwa ya CHADEMA, hata hivyo sipuuzi yanayosemwa na baadhi ya wachangiaji hapa JF kwamba kuna dharau dhidi ya waislam zinazotolewa na baadhi ya wana JF memba (I do no whether they are from CHADEMA or not). Kwa waliopitia mifumo yote ya elimu katika kusoma yaani secular na islamic system zote kwa kiwango cha juu, kimsingi hakuna tofauti hata kubwa baina ya taaluma zaidi ya lugha inayotumika na argumentation and reasoning kwa kila upande. Kwa hiyo uelewa wa mambo kwa aliyesoma islamic system na secular system ni sawa ila lugha ya kuwasilisha ndo tofauti. Juu ya utoaji wa kauli zenye utata hili si suala la dini wala kutojua ni mapenzi ya duniya tu ndo yanayowafanya watu wengi watoe kauli hizo, so kuhusisha kauli za namna hiyo na dini ya mtu si kweli. Na kuhusu mufti kuwarai waislam wasishiriki maandamano halina mantiki kwani hali za maisha ya watu ni za dhiki mno na wala si za umaskini pekee hivyo ipo haja ya kuleta mwamsho kwa waliopewa dhima na dhamana kushughulikia matatizo badala ya kufanya ufisadi kwa hata dini zinahimiza katika hilo. La kama maandamano hayo yana siri iliyojificha kwa jamii ya waislamu mi siamini katika hilo lakini naomba watanzania sote kwa umoja wetu tufute mioyo ya namna hiyo ili tuishi kwa upendo na ushirikiano kama takiwavyo. Ni kweli kwamba ma
 
Huyu Mufti Simba amechemka na kabla ya kutamka mambo aulize yeye ni mchochezi na mdini mkubwa akumbuke kuwa Rais Kikwete hajachaguliwa na Waislamu tu na hawakilishi waislamu tu amechaguliwa na wote hivyo anavyotuambia kuwa kikwete ni Waaislamu! Kama ana njaa amwambie kikwete ampe sukari badala ya kueneza uchochezi usio na maana hajui siasa aende shule siasa sio madrasa kama amekosa kazi akauze maandazi!
 
we Slaa mpuuzi sana acha kudharau dini za wenzako, Pengo alipotoa maoni yake kuhusu maandamano alifanya utafiti lini? yani nyie mnaposifiwa hakuna comment yoyote ila mkikoselewa tuu,ndo mnakuja na matamko ya kipuuzi! hiyo siasa badilikeni na acheni ulimbukeni coz mnatubero sana
Sasa Dr. Slaa kadharau dini ya nani? Mbona Watanzania tunashindwa kuelewa vitu vidogo namna hii! Unajua Serikali inataka iwaaminishe watu kuwa CHADEMA inataka kuleta vurugu nchini kwa maslahi yake. Kwa hiyo inawatumia watu wenye ushawishi katika jamii kupitisha ajenda yake. Amka wewe Itahwa.
 
Anadhani kuwa ni machafuko kwa kuwa yuko out of touch, inawezekana waislamu wanapata umeme wakati sisi tuko gizani, inawezekana sukari yao wanayouziwa ni sh 1000 wakati sisi tunauziwa 2000 pia inawezekana anona haki ilitendeka wakati wa uchaguzi na aliridhika pia na mauaji ya Arusha. He is simply short - sighted and if i'm not mistaken a proxy!
 
Ndio maana mimi huwa sikubaliani na kiongozi yeyote wa kidini anapotoa matamko yanayohusiana na mambo ya kisiasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom