Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Aisee! mbaya sana hii!
isikutishe
Mungu atamtangulia mpiganaji jasiri...!!! Mwaka huu mungu ataitangulia Tanzania..!!! Hadi kieleweke vizuri...!Star tv wanaripoti kuwa dk slaa kavunjika mkono
baada ya kuteleza bafuni.......
Haya ,
hotel ambazo hazina viwango/ukaguzi wa idara ya afya kazini (OH&S) Occupational Health and safety. Risks are not controled in most of the hotels in Tanzania.
Na lazima bafuni kuna zile tiles za kuteleza 'kung'a" badala ya kuwekwa zenye 'rafu' ugumu fulani hive ili kama zinapata unyevunyevu zisiteleze kirahisi.
Dr anaweza kuwashtaki na kujichotea hela za ajabu.
Nenda Mheshimiwa Slaa. NEnda baba!
Kwa sisi tulio na uzalendo na nchi yetu, tunapenda wagombea wote waanze shughuli salama na wamalize kwa amani. Sasa hii taarifa kuhusu kuumia Dr Slaa, mwenye taarifa kamili basi atujulishe. Hii habari mara kapata ajali, mara kadondoka bafuni inatuchanganya. Mwenye taarifa za uhakika atujulishe. hii hali kama ni hivyo, inanikumbusha mwaka ule Mh Mwai Kibaki alipoumia mguu wakati wa kampeni, lakini mambo baadaye yalikuja kuwa mazuri, mguu umepona.