pamoja na kwamba uchakachuaji utakuwepo bado tunaweza kupata % kwa kuangalia jinsi siasa ya kila chama inavo eleza
kwa kukisia labda niseme,
CCM 26%
CUF 18%
TLP 5%
NCCR 9%
CHADEMA 42%
Kama kuna makosa labda kidogo sana au kama kuna mwenye mawazo tofauti labda sijui.
Cha kushangaza ni kwa nini EL hayumo. Au alipata sifuri? Lakini kama kutokuwemo kwake hakuulezwi vizuri basi hii yote ni changa la macho.
Hata hivyo nakubali Dr Slaa ndiye Rais ajaye -- iwapo CCM ina nia ya kuendelea kuwapo kwa amani nchini.