Dk. Slaa amweka pabaya Kikwete

Rais Kikwete sioni umuhimu wa kuwakumbatia hao wezi. tunajua umetoka nao mbali lakini huu ni muda wakuwaacha watumikie kazi ya mikono yao ikiwa ni pamoja na kuwafilisi. Usimuone haya Lowassa wala Chenge, wala Rostam. weka maslahi ya taifa mbele achana naohata kama walikuunga mkono kwani hawana nia njema na nchi yetu. fukuzia mbali hiki ndo kilio cha wengi akiwemp padre slaa na mimi.

Come on man, Kikwete ndiye kinara wa kuiba na pesa hizo ndizo zilizomweka madarakani, baada ya kuona amepata alichotaka hao waliomsaidia kumfikisha alipo anawasaliti.
Jiulize Riziwan Kikwete utajiri huo ameupata wapi wakati amehitimu chuo karibuni na hajaanza kazi? Hii nchi ya mfumo wa Kifalme?
 
Ng'azagala;1898234]nakubaliana na wewe. tufike mahali tubadilishe topic. haya mambo ya kujadili watu kila siku hayatatufikisha popote. kama wana dhamira ya kweli wafungue mashtaka - pesa wanazo na marando ameahidi kuendesha kesi bure sasa tatizo ni nini?

tujaribu kujadili mambo mengine kama uendeshaji wa tija wa TRL, shirika la ndege, TRA nk


Hayo mashirika yataendeshwa kwa pesa zipi? Tanzania inayopesa ya kuyaimalisha yao mashirika kama siyo kwenda kukopa na kujiongezea madeni. Pesa zipo mikononi mwa watu ambao wewe na wenzako unaona ni sawa wasipigiwe kelele kuwa ni mambo yalishapita..... ni upuuzi mkubwa.

Ukiona watu wanapiga kelele ujuwe wamechoshwa na tabia kama hizo ambazo viongozi wa juu wanahusika na wajifanya hawaoni, issue siyo kujadili maisha ya watu binafsi bali wizi mkubwa waliofanya unaoendelea kuigharimu nchi masikini -Tanzania. Au na wewe ni mmoja wao nini ujaribu kupotosha umma kwa kupotezea hiyo mada kuwa siyo ya maana?.
 
Mtapiga kelele,mtaandika,mtanuna but watu watakula na kusaza na kulala usingizi mnono,but you will remain bitter,poor and demaged mentally and physically.Talking wont help,it's time for actioning,it is time for the real things to happen
 
Hongera Kamanda wetu Slaa kwa uwezo wako mkubwa wa kuwaelimisha wananchi kuhusu kinachowafanya wazidi kuwa masikini.

Naona zipo tena habari za kampuni ya kuendesha reli kutoka India kupewa bilioni 30 za walalahoi (angalia ippmedia.com) kinyemela. Hili nalo linatokana na uzembe na ufisadi wa viongozi na serikali ya CCM.

Viongozi wa CCM wamebaki kulindana tu. Kwenye EPA walimwondoa Balali, lakini wakaweka aliyekuwa msaidizi wake mkuu, Ben Ndulu. Wanataka kusema kwamba aliyekuwa Makamu wa Gavana hakushiriki kuidhinisha malipo ya kiwizi ya EPA?

CCM wametuma watu hapa, lakini wajue kwamba hatudanganyiki. Na kujivua gamba kwao si chochote wala lolote. That den of vipers is icorrigible. It has to be purged from government, period.

Ni ngumu sana kuamini kama hiyo kampuni 'imetoka India' labda iwe tu imesajiliwa India' . Ni ngumu sana Mtanzania kutoa hizo hela zote 'India'. Wamiliki wake halisi (sio wa makaratasi ni kina nani au ni chama gani?)
 
Back
Top Bottom