jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Ni kama baadhi ya ile mikinda ya Gaddafi, siyo tatizo lake huyo Jakubumba, dunia aliyokulia ni tofauti na ya kwako, na hilo litawacost sana ndugu, jamaa na marafiki wa mafisadi kwasababu wako very out of touch, na kwasababu ndiyo hao wanaandaliwa kutuongoza kwa awamu zijazo, basi usishangazwe jinsi akili ya kikinda yenye tope!Ama kweli ma brother jakubumba akili yako ya kufikri ni ndogo zaid ya mbegu ya mchicha,i think u a under 15yrz ni bora kukuchangie hela ununue midoli na mchele ili mcheze vzuri na watoto wenzako
Kwa hiyo tegemea wapambane na sisi hadi tone la mwisho la damu!
Wanajuwa utajiri walio nao uliotokana na uongozi wa umma kuwa ni haki yao na watoto hao, ndugu na wapambe, wameisha aminiishwa kuwa ni wivu wa kike unawasumbua watanzania!
Hao ambao wanaona kuwa viongozi wa umma wanapotoa hiyo misaada baada ya kuhujumu uchumi lazima watakuwa wana uhusiano wa moja kwa moja na mafisadi.
Wanatumia majina feki humu ndani, lakini kwa taaria yako wamo humu even if you cant see them doesnt mean they arent there.