kila mtu anatetea kitumbua chake,lakini maneno ya sumaye ni ujumbe uliojtosheleza.
Mkuu,Kwa kila CCM itakacho kifanya dhidi ya Chadema au uongozi wake ndivyo watakavyowazidishia umaarufu.
Haki inayodaiwa ni ndogo sana. JK ni rais tena analindwa vibaya sana na katiba iliyopo, hivyo swala hapa ni kuwachukulia hatua tu viongozi wenzake waliotufikisha hapa. Maandamano ya Chadema yanatokana na kundi dogo na wahuni wachache sana ndani ya chama chao.
Swala la Dowans, wananchi wasikilizwe kama alivyowaahidi wananchi mwaka jana akisema ni swala la muda tu watalisahau.
Mafisadi kama RA na EL awaambie jamani eeeh mmeisha chuma vya kutosha nendeni Pemba au Ukerewe mkajipumzishe maanake hapa sii tu mnanivurugia jina langu ila mnakisambaratisha chama pia..
Kwa uchache huu tu, CCM itaweza kurudisha tumaini la wananchi kwao lakini wakiendelea kukumbatia udikteta kama kina Mubarak hauwezi kuwasaidia kwa lolote maanake itafikia hata wanachama wa CCM wenyewe watachoka na ufisadi unaondelea ukilindwa na dola.. Sasa sielewi, hivi kweli makosa yatakuwa ya Chadema au CCM wenyewe..
Mimi nasema hivi ikiwa hofu ya JK ni huko nyuma ktk ushirika wake na RA, na hata kama RA atamhusisha JK na lolote lile ndio kinga ya RA na EL kumfunga kamba ya mbuzi shingoni...mbinu hii haina mvuto kwa wadanganyika kwani sisi wepesi sana wa kusamehe.
JK analindwa na katiba iliyopo na kwa kumtosa RA na EL, bunge haliwezi kumwadhibu kama vile wananchi watakavyo waadhibu wote siku ya siku.. chief in command
Tafuta kwenye threads nyingine viongozi walichosema dhidi ya maandamano hasusani Pinda na Tendwa au ni unazi unakusumbua.Sielewi ni kwanini Dr. Slaa ana hofu ya Chadema kuadhibiwa, sielewi hii hofu yake inatoka wapi?
<br />hakili ni nywele kila mtu anazake! kwa kuwa wapambe wapo Dr slaa atavimba kichwa na kujiona shujaa,haya mshangilieni.
Uko sawa kabisa Kanyasu.
Watu badala ya kuwashangilia mashujaa kama Chiligati, Makamba, Wasira au Pinda wanamshangilia Slaa.
Tanzania zaidi ya uijuavyo!!!