Dk. Slaa aibuka na Nyaraka za SIRI

Hivi nchi hii haina wanaharakati wa wanyama, mbona siwasikii wakilaani ukatili wa wanyama?
 
Dr. amalize udhia kwa kufunguka na kuwataja bila kumung'unya maneno au kupepesa macho. Aseme kama Lissu alivyoshuka na data kwenye utetezi juu ya majaji.
 
Gamba hili.
Dr. Kaamua kujiundia CIA na KGB binafsi ambayo inachunguza, inathibitisha, na kujiridhisha kiushahidi alafu ina report directly kwa wananchi! Ni nomaaaaaa! Ole wako uwe muovu alafu juzi hukuchangia kwenye harambee ya CDM jina lako la kwanza kutajwa. Bora Filikunjombe kajiwahi mapema!
 
Atawpata watu wa vijijini tuu kwa stori za kubuni town tulishamshtukia huyu fake pastor sijui kwann hawauzii hizo script kina ray watengenezee muvi
 
Ritz, hapo kwenye rangi nyekundu ulitaka kusema nini? au ndio matatizo yako ya uelewa mdogo? Hata hivyo usipate shida sana kwani kama cheo tayari ninacho, kwa vile situmii jina langu halisi hutafahamu. Vumilia uchungu ndugu yangu, wenzio pamoja na kuwa na vyeo ndani ya serikali ya magamba hatupo tayari kabisa kuwaunga mkono mafisadi.

safi sana kaka gwali, mpanue fikra huyo kijana. Ahadi za vyeo vya ukuu wa wilaya ndo zinawatia giza vijana!
 
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.

Mkuu, usiwe na majibu ya jumla jumla. Kwako wewe mfaidika Dr. atakuwa amesema uongo. Ila kwetu sisi wanyonge hakuwahi kusema uongo hata mara moja. Huwa mnakana mpaka tone la mwisho.

Unataka kusema hao faru hawakuuwawa??
Kama hawajauwawa utakuwa uko sahihi, ila kama wameuwawa- lazima kuna watu wamehusika na hawajatoka nje ya nchi. Dr. ana nyaraka na ataziweka hewani/public akishajirithisha kuwa ushahidi upo safe.
 
Mkuu-hembu tafadhali tumia busara na akili ndogo tu kwa kuangalia hiyo ID name (Ritz) halafu angalia na hiyo avatari yake/image-(sura ya gamba). Haupati taswira tu huyo ni nani?? Hauoni hata michango yake kama ni mfuatiliaji kuwa huyo ni fisadi mtoto aliyekomaa haraka haraka kama kuku wa kizungu wa nyama baada ya familia yake kutamia mayai ya ufisadi kwa hiyo wanayalinda na kuyatetea kwani ndio matunda yao na washirika wao??

KAMA AWAMU YA TATU WALIKULA,BASI AWAMU YA NNE WAMEKOMBA TENA KWA MIKONO MICHAFU NA HATA KWA MIGUU NA BADO WANASHINDANA KWA URAFI!!!
 
Nilipomwona DR. Slaa, akiwa na TUNDU LISU mwembe Yanga akizungumzia WIZI wa EPA - niliona meseji ni STRONG!.. Kazi yetu iwe ni kuwaunga mkono!.. Vinginevyo tutapoteza raslimali zetu na "Majambazi" yatatutangazia kwamba hatunao kwa ugonjwa wa moyo!.. KELELE ZETU NI ULINZI TOSHA KWAO!.
 
Wewe kweli osokoni Mbowe anavyompa JK mkono au siku ile Chadema walivyokwenda Ikulu wote walikuwa wanampa mkono JK walikuwa wanashukuru nini? Vipi zile kontena zipo wapi?[/QUOTE]

Offcourse mimi Osokoni mtafute mmasai akuambia maana ya hilo jina! mtu anaweza kukupa mkono kama kuku abuse tu lakini Dr. Slaa alimtaja Vasco miongoni mwa wale Mafisadi 11 list of shame na hadi leo jk hakuwa kukanusha,. Slaa haongei kwa kukurupuka kama Nape au magamba wenzio!
 
Wewe kweli osokoni Mbowe anavyompa JK mkono au siku ile Chadema walivyokwenda Ikulu wote walikuwa wanampa mkono JK walikuwa wanashukuru nini? Vipi zile kontena zipo wapi?

Offcourse mimi Osokoni mtafute mmasai akuambia maana ya hilo jina! mtu anaweza kukupa mkono kama kuku abuse tu lakini Dr. Slaa alimtaja Vasco miongoni mwa wale Mafisadi 11 list of shame na hadi leo jk hakuwa kukanusha,. Slaa haongei kwa kukurupuka kama Nape au magamba wenzio![/QUOTE]

Rais wetu ana mambo ya msingi ya kufanya kuwatumikia wananchi hana muda wa kujibu kila upuuzi...wkt mwingine kukaa kimya ni jibu kwa mjinga.
 
Back
Top Bottom