Huyi Dr. ni hatari sana..
Dr. Kaamua kujiundia CIA na KGB binafsi ambayo inachunguza, inathibitisha, na kujiridhisha kiushahidi alafu ina report directly kwa wananchi! Ni nomaaaaaa! Ole wako uwe muovu alafu juzi hukuchangia kwenye harambee ya CDM jina lako la kwanza kutajwa. Bora Filikunjombe kajiwahi mapema!
Huyu mzee amekosa mwelekeo, yeye kila siku ni document za siri.
watanzania tunasoma habari zako dr slaa kisha tunaenda kulala lakini iko siku tutaingia barabarani..
Kama F.B.I vile!...
Dr. Nakukubali mkuu we ndio Rais wangu!
Dk wa UMBEA
MTU asiyeweza kutunza SIRI hafai kuwa Rais wa nchi maana aweza kuweka peupe SIRI za nchi.
Ritz, hapo kwenye rangi nyekundu ulitaka kusema nini? au ndio matatizo yako ya uelewa mdogo? Hata hivyo usipate shida sana kwani kama cheo tayari ninacho, kwa vile situmii jina langu halisi hutafahamu. Vumilia uchungu ndugu yangu, wenzio pamoja na kuwa na vyeo ndani ya serikali ya magamba hatupo tayari kabisa kuwaunga mkono mafisadi.
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
Hii ipo chini ya kiwango kwa sababu ya ubutu wa akili yako!Wewe upo humu JF ni kujipendekeza tu na kumtetea Slaa na Chadema...
Wewe kweli osokoni Mbowe anavyompa JK mkono au siku ile Chadema walivyokwenda Ikulu wote walikuwa wanampa mkono JK walikuwa wanashukuru nini? Vipi zile kontena zipo wapi?