Elections 2010 Dk Slaa Afunika Hanang', Mbulu na Haydom

Hiki chama cha wachungaji naona wameanza kuchanganyikiwa, wanarudiarudia articles na hawana jipya
 
Imeelezwa kuwa mchumba wa Dk Slaa, Josephine Mkatunzi Mushumbusi alifunga ndoa kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam Februari 7, 2002 na Aminiel Chediel ambaye ni mfanyakazi wa Mamlaka ya Bandari (TPA).
 
Ha ha ha wewe Bull, mwone daktari wa macho, huoni watu? Macho yako yana 'drop effect'


Mkuu, hawa watu niwachache sana kulinganisha na Kikwete kila endapo, na hasa ukizingatia huyu Mchungaji anzungumza kwenye stronghold ya chama chake.

Angehubiri angepata wafuasi wengi zaidi ya hao


 
Pole Pole Mzee Slaa, mwonee huruma mwenzio Kikwete asijepata presha nyingine na kuanguka hadharani tena.
 
25ssmcg.jpg


Umati Mkubwa ulijitokeza kumlaki Dk. Slaa katika eneo la Haydom, jimboni Mbulu

34pjkaw.jpg

Dk Slaa anamtambulisha mgombea ubunge wa Hanang, Rose Kamili, katika eneo la Endosak, jirani na nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu,

Frederick Sumaye.

Ilikuwaje?

Kwanza, walijaa katika mikutano yake katika majimbo ya Hanang na Mbulu.

Pili, walizuia misafara yake kokote alikopita wakitaka awahutubie, walau kwa dakika moja tu!

Tatu, walimwahidi kufanya mabadiliko makubwa mwaka huu kwa kuchagua wabunge na madiwani wa Chadema, ili kukifanya CCM kuwa chama cha upinzani.

Kipya ni kwamba alitumia usafiri wa Kipanya (Hiace) badala ya helikopta kutoka Babati hadi Mbulu, kwa sababu helikopta ilipata hitilafu kidogo Jumatano mara baada ya kutua mjini Babati ikitokea eneo la Bashnet.

Habari na Picha na Mdau Asbert Ngurumo


Wanafunzi ndio wamejaa!!! Bwaha hahahahah...hawa jamaa kwa kujipa moyo..Bwahahahahaha
 
Inawezekana hao wote wana mapenzi na Dr Slaa lakini pia inawezekana ndio sinema za kule vijijini. Kukiwa na kitu chochote watu wanajazana kwenda kusafisha macho.

Hatuwezi kujua ukweli mpaka tarehe 31 Oktoba.

Kwa taarifa yako hawa watu wameamua kuleta mabadiliko ya kweli, ninatokea huko, tumewasiliana kwa simu wameamka vyakutosha, Ni mwaka wa mabadiliko kwa jimbo la mbulu.
 
Aaahh,haiogopeshi hiyo!
Rejea enzi za Mrema mwaka 1995,alibebwa na kusukumwa kwenye gari,lakini akalamba patupu.
Je Mrema wa kipindi hicho na Dr. Slaa nani zaidi?

1995 CCM ndipo walipoasisi wizi wa kura matumizi mabaya ya Tume ya Uchaguzi kusimamisha uchaguzi Dar baada ya ushindani kuzoa ubunge kote kote dar. Sijui una umri gani lakini labda unanufaika na ufisadi. Hukumu ni kuwa "Majuto ni Mjukuu"
 
Tofauti na umati wa wana CCM amboyo wanhamasishwa na bendi na vitu vingine ,kama umaiti huu hataoiga kura basi hataipigia Chadema
 
Aaahh,haiogopeshi hiyo!
Rejea enzi za Mrema mwaka 1995,alibebwa na kusukumwa kwenye gari,lakini akalamba patupu.
Je Mrema wa kipindi hicho na Dr. Slaa nani zaidi?

Wengi wetu tulikuwa bado na utindio fulani na ukoko kwenye ubongo. Tayari vyote vimeshaondolewa.
Mtanzania wa leo tena wa kawaida akiona kuna tatizo mtu kama Mramba, Chenge, Rage, Rostam, Kikwete, Lowassa na wengine wanapitishwa kugombea basi utambue utindio ulishaondoshwa. This year HATUDANGANYIKI.
 
Back
Top Bottom