Elections 2010 Dk Shein atajwa kujitosa kinyang'anyiro cha urais Zanzibar

Hapa kwa kiongozi bora ningeweka pesa yangu kwa huyu mtaalamu wa nyuklia(atomic?)..Dr.Mohammed Gharib Bilal .He seems RADICAL na mtu asiyeburutwa na pengine anajua anachofanya (sina hakika). Shein ni mamba asiye na meno. Shamhuna + Karume = jazba. Hao wengine waongeza idadi tu, hawana chance.

Yaani namtamni Bilal mwaka 2010 namunona ndiye mwenye uwezo....shein sijaiona impact yake bado...mara nyingi simuelewi
mix with yours
 
Ndibalema....sina chaguo na hao wote wawili kifupi siridhishwi na utendaji wao katika post walizonazo
Dr Bilali ndiye ana uwezo wa kuongoza Zanzibar baada ya karume. Japo 2000 ni kama alikuwa katika kambi ya salmini ..tusihofu inawezekana akawa tofauti na komandoooo
mix with yours
 
Gombea urais wa zanzibar maranying anaangaliwa kwa mtazamo tofauti na tunavyodhani wengi, vigezo vipo vingi lakini muhimu ni lazima uwe unaujali muungano kwa nguvu zote, ni lazima uwe unakubaliana sana na maamuzi ya bara, zingine mbwebwe tu,
ingawa wazanzibar mwaka huu wanataka jina watakalo lipendekeza wao liende dodoma kwa go ahead na si panga pangua
 
Hatimeye Majina ya waliochukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya CCM zanzibar yawekwa wazi.
yapo majina mengi lakini kilichonivutia ni jina la Dr. Shein na Shamsi Vuai Nahodha.
Kwa maoni yako kati ya Dr. Shein na Shamsi ni nani zaidi na kwa vigezo vipi?

hawa wote ni vibaraka wa tanganyika... hawana mpya ...
 
Nafikiri Dr. Shein angestaafu kwa heshima na kupumzika. Ni kiongozi asiye na kashfa katika Muungano, jambo ambalo si dogo. Hivyo kama angeamua kupumzika siasa angejijengea heshima kubwa sana katika jamii
Nafikiri yale mafao anayostahili yanamtosha kuishi kwa raha maisha yake yote bila kusumbuana na mtu
 
Zanzibar pia huwa kuna hoja za Uunguja na Upemba, watu gani walishiriki mapinduzi na wakina nani hawakushiriki. Dr Shein ni mpemba hilo linaweza likawa tatizo kwake na kwa upande wa pili wa shilingi likampa competitive advantage
 
Nafikiri Dr. Shein angestaafu kwa heshima na kupumzika. Ni kiongozi asiye na kashfa katika Muungano, jambo ambalo si dogo. Hivyo kama angeamua kupumzika siasa angejijengea heshima kubwa sana katika jamii
Nafikiri yale mafao anayostahili yanamtosha kuishi kwa raha maisha yake yote bila kusumbuana na mtu

Urahisi mtamu bwana. Fikiria vile vong'ora, barabara nyeupe rahisi unapita halafu leo unataka mtu aache. Yashindikana ubunge tu Maliyachela pale mpwawapwa dom hataki kuachia suese urahisi?
 
Nafikiri Dr. Shein angestaafu kwa heshima na kupumzika. Ni kiongozi asiye na kashfa katika Muungano, jambo ambalo si dogo. Hivyo kama angeamua kupumzika siasa angejijengea heshima kubwa sana katika jamii
Nafikiri yale mafao anayostahili yanamtosha kuishi kwa raha maisha yake yote bila kusumbuana na mtu

Ukimuuliza atakuambia kaombwa na wananchi kwa iyo hawezi kuwaangusha
Kweli simba mwendapole...yaani ukimwangalia shein huwezi amini kuwa alikuwa anakitamani kiti cha uraisi...ukimuona kama yupo hayupo ....looh kumbe yupo tena yupo sana tu..
mix with yours
 
I'm just picturing Shamhuna as president of Zanzibar, giving a passionate speech about the Union. Just to think that this guy is in the running givess me the shivers.

Tujiepushe.
 
wakati Jk akichukua fomu za kugoimbea urais kwa mbwembwe za kila aina, hali sio hivyo huko zanzibar.

wagombea wametahadharishwa na mapema kuwa wanatakiwa kwenda kuchukua fomu kimya kimya bila ya wapambe wala matarumbeta.

pia wametakiwa kufanyia mikutano yao na waandishi wa habari wanakokujua wenyewe na wala sio Ofisi kuu ya chama kama ilivyo kawaida.

kulikoni Chama kimoja lkn kila upande unafanya tofauti
 
zanzibar kumekucha sasa.

tayari mambo ya kuchafuana chini kwa chini imeanza, kuna habari amabazo zimeenezwa zanzibar kila kona kuwa dr shein hajajiandikisha kwenye daftari la kupiga kura zanzibar, kwa hio hana uzalendo wala imani na zanzibar na hafai kuwa rais wa zanzibar.


wakati huo huo Mohammed Aboud nae lake likisambaa ingawa si kwa kiasi cha kutisha kuwa kaongopa kuhusu shule aliosoma Form four. ametaja kuwa amesoma shule ambayo kwa miaka hio kulikuwa hakuna mkondo wa form four

kwa kweli kazi imeanza stay tune niko karibu kukupasheni habari zinavyoendelea
 
Tanzania bara hakuna woga, wala hakuna upinzani wa kweli kwa aliechukua fomu ya uraisi, ngoma iko huko Zanzibar:clock:
 
Kwa upande mwingine ni wakati mzuri wa kuwajua hawa jamaa kwa 'engo' ya tofauti!...Kwa mfano huyo Mohamed aboud kama kaongopa kuhusu shule anafaa kweli huyo, wakati akijua wazi kabisa kuwa hivyo ni vitu very easily verifiable!
 
Back
Top Bottom