Nani kakwambia kuwa akiwa mgombea mwenza twenty fifteen anakuwa rais wa muungano? halafu huyu mwinyi bora akae huko huko kisiwani huku bara hatutaki mamwinyi. Above all 2015 wakikaa vizuri hiki chama kitakuwa cha upinzani!2015 yeye ndio raisi wa Muungango........ mwaonaje wazee wanavyochanga karata zaoooooooooo
Wakati ccm imepeleka majina matatu ya wagombea wa urais wa zanzibar likiwemo la dk shein ,,habari zaidi zinasema mzee wetu ana uwezo mkubwa wa kushinda hasa kwa wengi kumpendekeza na kuahidi kumpigia kura..kwaniaba ya wapenda amani,na wasioongea sana kama mimi namtakia heri nafanaka mh shein kuwa kiongozi wetu wa zanzibar mtarajiwa
wasalaam
je! Sisi wapenda amani tukubali uwezo wake na upendo wake wa amani na utulivu,wakati ataingia madarakani kwa nguvu za kiza?
no comments
Jamani Shein si mwanasiasa... mtakuja kuona, anatengenezwa tu na watu ili waendeleze himaya yao