Dk. Shein amwaapisha Fatma Gharib Bilal kuwa katibu mkuu wizara ya maendeleo ya jamii

aaaaahaaaaaaaaaaaaaaaa. we Tanzanians, these seems to be common practices to us, you just imagine what had influenced this president?
 
hasa zanzibar wanapeana sana uongozi kwa kufuata wazazi kama akina karume, mwinyi bilali, na wengineo. kama uchifu vile!
 
Huyu alikuwa head wa suboffice ya United Nations Population (Fund UNPF) zenj, kwa takribani miaka minne sasa, kweli ni ndugu/mdogo wa Bilal alizawadiwa umakamu bara na ccm, lkn tukiachana na hayo ni msomi alichukua degree yake Urusi miaka hiyo na kwa ufupi mambo anayaweza! Mbaya ni kumbeba ndugu wakati mambo hayawezi!!!!!!!

thanks kwa kutujuza
 
Hivi kuna kiongozi yeyote Tanzania nzima ambaye mkewe au mwanaye hana mkono ndani ya serikali hii?..
 
Fatma Bilal ni mdogo wake Dr Bilal. Huyu dada alikuwa anafanya kazi UNFPA - Zanzibar office. Mtu powa kabisa.
 
jamani hivi mmesahau hizh serikali 2 yani zenj na tz bara? wote hawa ni vilaza na ndo maana wapo kwenye contradictory union.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom