nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
* Msaada huyu ni Mke wa Gharib Bilal? Makamu wa Rais Tanzania?
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Fatma Gharib Bilal, kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maedeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto,hafla hiyo ilifanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.(Picha na Ikulu Zanzibar).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Fatma Gharib Bilal, kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maedeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto,hafla hiyo ilifanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.(Picha na Ikulu Zanzibar).