Dk Salim Ahmed Salim: Mfumo wa serikali umeoza kwa rushwa

Je Salim kama ata amua ku cchagulwa Rais wetu,,nye waswahili mtakubali?..mboni ulim kashif wakati wa uchaguzi iliyopta..? Racist Africans will never accept Arabs?
Lakini yupo intellignet na apewe nafasai Tanzani will leap forward like never before!!!!!!!!!!!!SALIM FOR PREIDENT...OK...
 
:):confused::confused::rolleyes:Je Salim kama ata amua ku cchagulwa Rais wetu,,nye waswahili mtakubali?..mboni ulim kashif wakati wa uchaguzi iliyopta..? Racist Africans will never accept Arabs?
Lakini yupo intellignet na apewe nafasai Tanzani will leap forward like never before!!!!!!!!!!!!SALIM FOR PRESIDENT...OK...
 
Na kile kikao cha CC cha hivi karibuni ambapo mafisadi na wakinga kifua wao walimzodoa Sitta na yeye kama alihudhuria kikao kile bila kutia neno kuhusu kuzodolewa kwa Sitta hadi alipohojiwa na gazeti la Mwananchi haileti picha nzuri kwa kweli. Huyu ni mmoja wa watu ambao Watanzania wengi tunamwamini sana na ana hadhi kubwa hata katka jumuiya ya Kimataifa lakini kwenye hili la kuuma na kupuliza kwa maoni yangu amevurunda. I hope atakuwa anaongea mara nyingi tu katika kipindi hiki cha kuelekea October 2010 hasa ukitilia maanani nchi yetu inavyoenda mrama.

Niliamini kuwa Salim angeweza kuwa rais mzuri sana wa Tanzania hasa ukizingatia heshima aliyo nayo kimataifa. Lakini sasa anapoonekana kuwa mgumu kukemea maovu moja kwa moja ndani ya chama chake hadi apate
kisingizio, basi ninaaza kuwa na wasiwasi sana kuhusu uwezo wake wa kutoa maamuzi hasa yale mazito.
 
Niliamini kuwa Salim angeweza kuwa rais mzuri sana wa Tanzania hasa ukizingatia heshima aliyo nayo kimataifa. Lakini sasa anapoonekana kuwa mgumu kukemea maovu moja kwa moja ndani ya chama chake hadi apate
kisingizio, basi ninaaza kuwa na wasiwasi sana kuhusu uwezo wake wa kutoa maamuzi hasa yale mazito.
Timing mkuu wangu timing ndio muhimu sana.. Hoja za Mafisadi zilikuja mapema sana na sasa hivi umaarufu wa kina Zitto, Dr.Slaa umepwaya inabidi itafutwe mbinu nyingine..Wapiganaji wamesha nunua mada na wananchi wengi hawakumbuki asili ya mzozo huu wa Ufisadi.

Sasa fikiria kama Dr.Slaa angeliangusha kimba la mafisadi wakati huu kungekalika kweli!..Nina hakika Lowassa, Rostam na kundi zima la mafisadi wangefanya madudu mengine kibao ambayo pengine leo hii tungekuwa tumeshawachoka kabisaaa. lakini haraka z3etu zimetufikisha wapi, kimefanyika kitu gani?..NOTHIMG!... sana sana wameachishwa madaraka lakini bado wanaendeleza biashara zao kama kawaida. Wanapewa mikopo na kila baya unalofikiria bado wanafanya kama hakuna uchunguzi wowote ule unaofanyika.
Viwanja vya mijini hasa nyumba za Msajili, Kigamboni na maeneo yote yanayomilikiwa na serikali imekuwa deal kubwa kwa hao hao Mafisadi.. Wao wamesha gawana mapema sasa hivi ni wao wanaoviuza kwa wawekezaji..Ardhi baada ya madini kwisha has become source ya Ufisadi.
Niliyasema haya mwaka juzi kama unakumbuka vizuri! - Ufisadi Kwa kwenda mbele..
 
Timing mkuu wangu timing ndio muhimu sana.. Hoja za Mafisadi zilikuja mapema sana na sasa hivi umaarufu wa kina Zitto, Dr.Slaa umepwaya inabidi itafutwe mbinu nyingine..Wapiganaji wamesha nunua mada na wananchi wengi hawakumbuki asili ya mzozo huu wa Ufisadi.

Sasa fikiria kama Dr.Slaa angeliangusha kimba la mafisadi wakati huu kungekalika kweli!..Nina hakika Lowassa, Rostam na kundi zima la mafisadi wangefanya madudu mengine kibao ambayo pengine leo hii tungekuwa tumeshawachoka kabisaaa. lakini haraka z3etu zimetufikisha wapi, kimefanyika kitu gani?..NOTHIMG!... sana sana wameachishwa madaraka lakini bado wanaendeleza biashara zao kama kawaida. Wanapewa mikopo na kila baya unalofikiria bado wanafanya kama hakuna uchunguzi wowote ule unaofanyika.
Viwanja vya mijini hasa nyumba za Msajili, Kigamboni na maeneo yote yanayomilikiwa na serikali imekuwa deal kubwa kwa hao hao Mafisadi.. Wao wamesha gawana mapema sasa hivi ni wao wanaoviuza kwa wawekezaji..Ardhi baada ya madini kwisha has become source ya Ufisadi.
Niliyasema haya mwaka juzi kama unakumbuka vizuri! - Ufisadi Kwa kwenda mbele..

samahani sikuiona hii mapema,

Lakini mtu kama Salim hatakiwa kucheza kamari katika siasa za kitaifa eti asubiri timingi. Anatakiwa yeye awe mmoja wa waliko mstari wa mbele kuliko kusibiri watu walale ndipo aanze kupiga kelele.
 
:):confused::confused::rolleyes:Je Salim kama ata amua ku cchagulwa Rais wetu,,nye waswahili mtakubali?..mboni ulim kashif wakati wa uchaguzi iliyopta..? Racist Africans will never accept Arabs?
Lakini yupo intellignet na apewe nafasai Tanzani will leap forward like never before!!!!!!!!!!!!SALIM FOR PRESIDENT...OK...

Mhh .... inabidi sasa agombee ili rangi za hao mabaguzi zionekane wazi.
 
Back
Top Bottom