Mkuu Mtanzania, u need to do ur homework properly....
Mkuu to some extent uko sahihi lakini ukisoma btn the lines utaona kwamba homework yako inahitaji kuwa makini zaidi. 'Watu wewe' nae yuko sahihi pia kwa upande wake, m/kiti si mtendaji kama ambavyo pia umekiri kwa hiyo ktk hili inategemea rules, regulations, procedures & practice walizojiwekea 'TANESCO' kama ni kweli kwamba ktk utaratibu wao m/kiti hakustahili kuwa na hiyo ofisi basi Dr. Rashid alikuwa sahihi kabisa, hususani pale shirika linapokuwa ktk hali ngumu ya kifedha. U'll have to cut down all unnecessary cost.
''Shareholders & stakeholders confusion?''
Naomba kukazia nukta hii: ''All shareholders are stakeholders, but its not necessarily for the stakeholders to be shareholders. Na kwa hivyo basi 'shareholder anaweza kuwepo both ktk private & public company''.
Just to clarify the point.
Peace to all !!!
Mkuu to some extent uko sahihi lakini ukisoma btn the lines utaona kwamba homework yako inahitaji kuwa makini zaidi. 'Watu wewe' nae yuko sahihi pia kwa upande wake, m/kiti si mtendaji kama ambavyo pia umekiri kwa hiyo ktk hili inategemea rules, regulations, procedures & practice walizojiwekea 'TANESCO' kama ni kweli kwamba ktk utaratibu wao m/kiti hakustahili kuwa na hiyo ofisi basi Dr. Rashid alikuwa sahihi kabisa, hususani pale shirika linapokuwa ktk hali ngumu ya kifedha. U'll have to cut down all unnecessary cost.
''Shareholders & stakeholders confusion?''
Naomba kukazia nukta hii: ''All shareholders are stakeholders, but its not necessarily for the stakeholders to be shareholders. Na kwa hivyo basi 'shareholder anaweza kuwepo both ktk private & public company''.
Just to clarify the point.
Peace to all !!!