Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR

Bongo ukiwa na jina kubwa hata ukiwa na sifa,ukiteuliwa basi watu wanapiga kelele but for the records hakuna mradi ambo unaoindesha NIMR kama National Lymphatic Filariasis Elimination Program.

Naomba kumpongeza na Jk alichelewa sana kumthibitisha..
 
Mwele is a brilliant girl. I am not sure if the powers that be have ignored other good performers in her Institute, but bearing the name of 'Malecela' should not disqualify her from promotion.

We would be practicing discrimination by the reverse gear if children of prominent personalities in the public services were barred from consideration. What is needed is transparent, objective and fair consideration of all elligible candidates.

Congratulations Dr Mwele Malecela. Try to prove by performance that you deserved it.

- Sawa sawa mkuu maneno yako very clear na yanaeleweka!

William.
 
Enyi Majuha msio mjua Mwele mkae kimya! She is splendid Tanzanian lady with intelectual ability nimefanya naye kazi in professional level for the past 4 years! Shes sweet kwa kazi hata Nov nilikuwa naye Atlanta! Enyi wajungu mpongezeni Kikwete ! Pole Mboera Dr , endelea na ushirikina. We need a transformation in NIMR

- Sawa sawa mkuu umesikika sana na ni very loud and clear, sawa sawa!


William
 
Credit should be given where it deserves.. Dr Mwele is capable and qualified for the job, the fact that she also happens to be Mr Malecela's daughter, doesn't mean she was given the post, its just that this place is full of hatred and cynicsm(sp) even to things we are sure of...

- Duh! Maneno mazito sana haya mkuu, lakini kinaeleweka sawa sawa!

William.
 
Nchi hii bwana!!!! Ukiwa mtoto wa mkubwa basi hutakiwi kupata kazi nzuri, kupandishwa cheo, ubunge na uwaziri ndo aaaaaaaa. Somesheni watoto wenu na nyie ili waje kupata vyeo sio mnabaki kusimanga watoto wa wakubwa. Sioni kwanini watu wana urgue Mwele kupewa nafasi ya DG. Mwele has been with the institute for almost 30 years, very well educated in the field, long experience in different capacities. N apia position ya Acting DG amekaa miaka kama mitatu tangu Dr Kitua astaafu. Kitu ambacho ningependa tu urgue strongly ni ufanisi wa NIMR.

- Well, maneno mazito tena hayo mkuu, sawa sawa!


William.
 
Ila ktk vyote mi macho yake yanavutia,kama kanywa valuu

mi nilivyomwona mara ya mwisho ni kama vile amepigwa pasi.......ila ni mwanamuke ya nguvu, mzuri, brilliant. Wanaohoji shule yangu dhidi ya shule ya Mwele hawaelewi ni kwa nini nilisema ninammudu! Hofu yangu vitu kama hivi vinakuaga CHAKLA ya wakubwa...
 
Mbona opinion hapa ni tofauti na kwa jaji mkuu..JK yule yule huko kafanya vema

Double standards...JF
 
Dr Wele Malecela si 'kichwa' kama alivoonekana kudai mwenzetu hapa.

Kwa mujibu wa kumbukumbu za NIMRI ya machapisho ya tafiti kwenye li-jarida lao kati ya 1980 hadi 2009 (takriban miaka 28) , huyu mama anaonekana kuchangia sehemu ndogo sana pale. Katika pita pita zangu mle nimeona wachangiaji machapisho amba majina yao yanarudia rudia sana wakiwa ni wengine kabisa. Sasa huu ukichwa ...

Labda kama kuna sifa nyinginezo mbali na kuwa mtoto wa 'Katapila' na basi mtujuze humu.


http://www.nimr.or.tz/documents/PUBLICATION-NIMR- BY YEAR.pdf

15) Malecela, M.N., Lazarus, W, Mwingira U, Mwakitalu E, Makene C, Kabali
C, Mackenzie C. Eliminating LF: A progress report from Tanzania. Journal
of Lymphoedema 2009; 4(1), .

Eee bwana mbona ana-appear mara nyingi tu ila sema kama first author yupo mara moja ni sehemu nyingine inaonekana ni kama reports ambazo kwa kawaida mkuu wa kituo ataonekana tu. Kwa viwango vya Tanzania bado huyu dada ni kichwa huwezi kulinganisha na Vick kuwa mbuge
 
hawaelewi ni kwa nini nilisema ninammudu! Hofu yangu ..


amina-chifupa.jpg



- Damn right, ha! ha! ha! Hindu Mandal sasa ni official Hospital ya .............ha! ha! ha! bwa! ha! ha! ha!, ........I am out! ha! ha!

Field Marshall Es - Wazee Wa Sauti ya Umeme!


 
W.J. Malecela Mgogo wangu,

Mie Ngosha hapa, wewe sema utataka Ng'ombe wa ngapi.

Ila itabidi nijikamue kweli maana hako ka-WEUPE na ka USOMIi, Ng'ombe wengi watadaiwa.

Tukiacha utani:

HONGERA MTANI WANGU Malecela. Tunategemea utaifanya kazi hiyo kwa uhodari wa juu.

Kila la kheri kwa kukabidhiwa Mikoba Rasmi.

 
Last edited by a moderator:
Nampongeza kwa dhati.

Ila nilishawahi kutonywa kuwa Sheria iliyoanzisha NIMR inataja kuwa DG wake lazima awe na MD na huyu mama ninavyosikia hana hiyo MD (wanaojua please tuelezeni yalivyo). Sina maana kuwa yeye siyo capable, bali ningependa kuweka records clear
.

Huyu naye lazima atakuwa muislam tu
 
Acheni wivu jamani...........The Girl deserve the post.................watu wamefanya kazi yao na wameona anastahili..............mlitaka mletewe mediocre type wazungu?.............JK kaanza na baraza........sijasikia mineno mingi........na teuzi zake zinaendelea kuwa bomba tu.............si mmesikia uteuzi wa Jaji Mkuu..............

Mwanzo mzuri JK...............hongera
 
Rais Jakaya Kikwete amemteuwa Dk. Mwele Malecela kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa National Institute for Medical Research (NIMR) iliyo chini ya Wizara ya Afya. Dk. Mwele alikuwa ni mtafiti mkuu wa NIMR na amekuwa akikaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu kwa muda. Ni kijana na mwanamke wa kwanza kuiongoza NIMR. Huyu mama ni kichwa sana na anaweza sana kazi. JK huwa anafanya mapupu mengi sana kwenye uteuzi wake ila hapa kafanya kweli.

Source: channel ten news bulletin leo 7pm

Hivi mapupu gani ambayo JK anafanya kwenye teuzi zake mpaka huu uwe tofauti sana . Unaweza kutoa mfano. Huu naona ni ushabiki zaidi.

Any way ninapongeze huyo dada/mama mteuliwa kwa kuweza kupandia ngazi ya mshahara na stahiki zake rasmi
 
Back
Top Bottom