Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Ndio Waziri wa Uchukuzi, Dk.Harrison Mwakyembe hata mimi ninakuunga mkono fagio lako la chuma lazima lifanye kazi safisha kabisa Wizara yako hongera sana na Mwenyeezi Mungu akulinde na hao Maaduwi zako Mafisadi inshallah. Tunataka Viongozi Bora Mashujaa kama nyinyi katika nchi yetu iliyokuwa na viongozi Mafisadi.