Dkt. Mwakyembe mambo mazito: Ripoti ya ugonjwa wake yaivuruga Serikali

Dr Mwakyembe ana haki na maamuzi ya mwisho juu ya afya yake. Mawili, awaambie watanzania ukweli wa afya yake au afiche kama

alivyofanya kwa mambo ya Richmond afe taratibu.
 
unafiki wa Mwakyembe ndo unamgharimu, alisema anayajua mengi kuhusu richmond lakini hayasemi kwa usalama wa ccm, sasa huu ndo usalama anaoupata toka ccm until atakapoamua kutubu kwa watanzania. Aseme ukweli kuhusu hayo aliyoficha, then tutamuombea kwa Mungu atapona
 
Dr Mwakyembe ana haki na maamuzi ya mwisho juu ya afya yake. Mawili, awaambie watanzania ukweli wa afya yake au afiche kama

alivyofanya kwa mambo ya Richmond afe taratibu.
Afe taratibu una maana gani wewe
 
Mwakyembe huyuhuyu wa sintofahamu ya Richmond ambayo mzee wa kaya anasema hawajui wamiliki!! Anyamaze na asiseme lolote kuhusu afya yake kwasababu haina umuhimu kwa watz. Wapo watz wengi wamekufa na wengine wamepata vilema vyakudumu kwa sababu ya ukosefu wa umeme kwenye mahospital nk. Je yeye nibora kuliko watz wote waliompa dhamana aliyoitupa chini kwa vusingizio vyepesi? Aseme ya Richmond kisha aseme ya afya yake la sivyo anyamaze.
 
He can choose to remain silent until he faces death, when he has no option but only to say, he will say it. Sioni kwanini mtu uwe

unaumwa, watu wanakupenda, wanataka kujua nini hasa kinakusumbua we unakaa kimya. Tanzania tuna mambo ya ajabu sana

Ukitaka kumpiga adui yako hakikisha unajificha asikuone.wanajeshi wana kamsemo ka kiingereza "camarflage"
Hivi ndivyo Dr Mwakyembe alivyopanga mashambulizi yake.
Tumsubiri,tumpe nguvu.tumpe moyo,pia tumuombee apate siku nyingi zaidi duniani
kwani kila aliyezaliwa na mwanamke atauonja umauti.
 
Tatizo la hii nchi watu wengi walishapoteza uzalendo, watu hawako kurisk maisha yao kwa ajili ya taifa ila taifa ndiyo li-risk kwa ajili yao. Dr. Mwakyembe bado anayo nafasi ya kutusaidia watanzania kufanya mabadiriko ya nguvu kwa kuueleza umma wa watanzania nini kilifanywa na nini huwa kinafanywa na hawa viongozi wetu. Get well soon Dr.
 
huyu bwana hawezi tena...hawezi kusema lolote juu ya hali yake na chanzo cha ugonjwa wake....hili gazeti linasema ataianika report hiyo hadhari kama serikali itaendelea kuificha....mi nasema hataweza na yeye anajua kuwa hawezi kuanika...labda mtu mwingine aiiibe ile kopy na kuipeleka kwenye vyombo vya habari ..lakini sio yeye

hali yake kwa sasa sio nzuri hata kidogo...kucha zinatoka, nyayo za miguuni zinapasuka pasuka, hana vinyweleo mwilin, hana nywele kichwan hata nyusi hana....ngozi ya uso wake inapauka sana na ni nyepesi sana japo inapakwa mafuta mengi yanayomfanya anang'ae lakini bado.....mikononi anavaa gloves ndefu na miguuni anavaa naweza kusema nazo ni gloves maana s viatu vile.....
japo uso wake una tabasamu na anaongea tena vizuri sana lakini bado anaumwa...ukiangalia cd ya namna alivyokuwa anapata tiba kule india...huwezi kujua kama ni yeye....anyway basi tu

hivi mnajua kwa nini amerudishwa nchini wakati hali yake bado?
 
He can choose to remain silent until he faces death, when he has no option but only to say, he will say it. Sioni kwanini mtu uwe

unaumwa, watu wanakupenda, wanataka kujua nini hasa kinakusumbua we unakaa kimya. Tanzania tuna mambo ya ajabu sana

Mimi nadhani mwakyembe ni fa.l.a, anawa-side angalau kwa sasa watesi wake!!!! bado kitambo kidogo sitaihusisha huruma yangu na mwakyembe, na muda huo ukifika hata jina nitambadili na kuwa mwa-kimba.
 
Ndugu Mwakyembe;kabla hujaondoka ni vyema ukasema yale uliyoyaficha bungeni kwenye ripoti ya richmond!
La sivyo vitukuu vyetu vitafukua kaburi lako na kupondaponda mifupa yako kwa hasira!
 
viongozi watatupiana mpira mwisho wa siku itatupiliwa mbali kilichopo Dr Mwakiembe mwenyewe aisome hadharani wananchi wapate ukweli ilikuwa simu au ugonjwa ya kawaida
labda sheria inazuia mwakyembe kuitoa ripoti ya ugonjwa wake ama anautumia ugonjwa wake kama mtaji wa kisiasa
 
labda sheria inazuia mwakyembe kuitoa ripoti ya ugonjwa wake ama anautumia ugonjwa wake kama mtaji wa kisiasa


hawezi kutumia ugonjwa kama mtaji wa kisiasa wakati uwezekano wa kupona haupo!!!....ukienda pale kwake ukakaa nae atakwambia chanzo cha ugonjwa wake wala hafichi....ile report ikisomwa hadharani serikali inaogopa machafuko ndio maana inaminywa.......na haitakuja kusomwa hadharani..
 
Watu wanamhurumia Mwakyembe lakini yeye hajihurumii.
Si unajua yeye ni mtu wa kufichaficha mambo? Richmond kuna aliyoficha, itakuwa haya yake ya binafsi? Hata kaka yake Mwandosya naye alikataa kusema anachoumwa. JMK naye hakutuambia angukaanguka yake inatokana na nini. Mkapa alitenguka kiuno hakusema ilitokeaje.
 
hawezi kutumia ugonjwa kama mtaji wa kisiasa wakati uwezekano wa kupona haupo!!!....ukienda pale kwake ukakaa nae atakwambia chanzo cha ugonjwa wake wala hafichi....ile report ikisomwa hadharani serikali inaogopa machafuko ndio maana inaminywa.......na haitakuja kusomwa hadharani..

kaka inaonekana wewe kakuambia, tushirikishe basi nasi.
 
Tatizo viongozi wengi wa TZ ni wanafiki sana. Mwakyembe anatakiwa awe jasiri asimame aseme anasumbuliwa na nini na sio kukaa kimya kisa kuogopa kukosa madaraka, yeye ajiuzulu huo uwaziri awaambie ukweli kama wao ndio waliompa hiyo sumu
 
Back
Top Bottom