baha
Member
- Oct 18, 2009
- 44
- 4
hatuchagui mbunge kwa sura wala mavazi yake. Hoja ni namna ya kupeleka maendeleo kwa wananchi. Infact tukiwa jimboni tofauti ya PhD na elimu zingine ni ndogo sana kama PhD hizi hazitatui matatizo ya watu. Isitoshe, nadhani kigezo cha ubunge hakijawahi kuwa PhD maana wasokuwa nayo wasingepata ubunge. Let's talk politics na siyo characters binafsi za watu.