Anzisha thread ya kumsifu , kumtukuza na kumwabudu Zitto Kabwe hujakatazwa, hii ni thread ya Mwakyembe kutoa shukrani, tafadhali msituletee tabia za kishoga kwenye hii thread.
wewe Matola ndio unayeongea kama shoga ni kawaida yenu kwa kukwepa ukweli geuza santuri iwe Kabwe ndio kaongozana na Mwakyembe; mbona unafiki wenu haujifichi kila mnapoelezwa ukweli?
Chama
Gongo la mboto DSM