madawa makulu
Member
- May 2, 2015
- 48
- 9
Alijua kuwa kama atakuwa mzima, ataweza kutoa ukweli wa uchunguzi wa Richmond.Lowassa alitaka kumuua huyu bwana kwa sumu ya pollonium. Mungu mkubwa huyu Mwakyembe kapona na yeye sasa anaumwa maradhi ya Paekinson. Adhabu ni hapa hapa duniani. Eti anataka urais wa Tanzania! Atausubiri milele
Mungu mkubwa,na sasa maumvi hana cha Kijite tea. Tusubiri mambo mengi tutajua mwaka huu.