Mbona kama vile sioni kipya, tanzania daima vipi?
Ujumbe ulifika na unafanya kazi!
UKWELI utajulikana lakini si vizuri tukaanza kutoa tuhuma kwa vitu tusivyo na uhakika, mwakyembe ni mgonjwa uenda hali hiyo ndo inamfanya atoe shutuma zisizo na UKWELI. Mungu ndo anajua sina iman sana na viongozi wa CCM, wanatafuta umaruhufu tu.
Pole sana ujui usemalo, Tatizo la ugonjwa alionao mwakiembe linagusa public interest na limegubikwa na mazingira tata hivyo kwa nchi makini inayojali na kulinda watu waake na kuwathamini
haiwezi ikawa bubu kiasi hicho lazima ingetoa tamko na uchunguzi wa kina wa jopo la madaktari na vyoma vya usalama kushirkiana ili kulinda mstakabali wa raia wake, Ikiwa hayo alifanyiwa kiongozi katitaka serekali namna gani raia wa kawaida? huoni kua hali hii ikiachiwa athari zake ni kubwa kwa amani ya nchi na watu wake?
Huoni ikiwa kunawatu wamefikia hatua kunyweshana sumu hakuna tofauti na mtandao wa kigaidi ambao kwa nchi makini laziama upelelezi wakiaitelejensia ungefanyika?
Tukiacha ushabiki hili si jambo dogo hata kidogo hebu jiweke katika position ya Mwaikiembe then uone kama ni wewe ungefanya nini na serekali yako inayopaswa kulinda raia wake ndiyo hiyo tena haina msaada na wewe inakutumia kama kondom then hainampango na wewe eti kwa jibu rais tunahifadhi siri ya mgonjwa ****** mtupu.
nimekua nikimini na kusikitika sana juu ya bwana mkubwa wetu nikiamini kalishwa sumu,lakini nimebaini from a reliable source kua sivyo kama sisi tunavyofikiri.dr wa appolo(jina kapuni) ambaye huwa anashugulikia a/c za madeni kwa matibabu za wakuu wetu wanapokwenda kutibiwa appolo alitukata duku duku letu nikiwa na waziri(jina kpuni) baada ya kummuliza ni nini hasa kinachomsumbua mkuu wetu maana mneno yamekua ni mengi mtaani.
Jibu alilotupa lilikua ni moja,kua huyu jamaa yetu anatafuta pakulalama tuu ila ukweli wa mambo ni ameungua/ngwengwe.nimeshangaa kusikia hivyo na i had to take back my words kwasababu nilimchukia sana manumba kwa kauli yake na nikamuita mkatili nikidhani anakwepesha ukweli wa mambo kwa kusema ugonjwa wake hauusini na sumu.kumbe alikua alikua anajua alisemalo.
Tumekua na wazo moja tuu la sumu,lakini hatukuwa tunafikiria upande mwingine wa shilingi.mkuu wetu si ana file lake la appolo,kwanini haliweki wazi?anaacha wtu walumbane tuu wakati ni kitu kidogo sana cha kuweka file wazi.mtakuja amini ivi karibuni,time will tell.hili ni dokezo tuu