Hayo.mengine.atukuhumu hili.la.uda lazima.ueleze mmeuzaje.na.vipi.hela ya uda ikaenda kwa mtu binafsi
ubungo tusikosee hata sikumojaaa
chagua kura yako kwa kubenea
Hayo.mengine.atukuhumu hili.la.uda lazima.ueleze mmeuzaje.na.vipi.hela ya uda ikaenda kwa mtu binafsi
ubungo tusikosee hata sikumojaaa
chagua kura yako kwa kubenea
Maswali mengine naona hayana mantiki kwa sababu unamuuliza Masaburi swali kama hilo wakati viongozi wakuu wa nchi walikuwepo. Masaburi ana uwezo gani wa kufanya maamuzi kuhusu masuala ya nchi. Ni ujuha tuu. UDA Iliuzwa wakati wa waziri mkuu Lowasa. Anzia hapo sasa, kwenye miaka ya 2008. Labda Lowasa ndio atuambie ukweli kuhusu UDA kwanza kwa sababu inawezekana Masaburi alikuwa mtekelezaji tu wa maagizo.
Pia of all the wananchi wa ubungo wameshaamua Kubenea hapati kitu. Tapeli mkubwa wa kisiasa kama huyu kupitia magazeti uchwara ya Mwanahalisi na Mawio, aende akafanye biashara zake za utapeli na uongo kwenye magazeti yake. Hakuna mtu anayemwamini tenaa. Labda atuambie kwanza je miaka yote aluvyokuwa anatuambia Lowasa na Sumaye ni mafisadi wa kutupwa, alikuwa ana maanisha kuwa ni wasafi au? Miaka yote aliokuwa akituambia Richmond ni Lowasa na Lowasa ni Richmond alikuwa ana maana gani. Asikimbilie vyeo tuu kabla hajatoa maelezo ya kutosha kwanza
Kama hakuna majibu hayo na najua Kubenea yumo ndani humu, tutajua HATUFAI. basi tutamchagua Masaburi mwenye nia njema na maendeleo ya jimbo.
Tutachagua Masaburi na si mwingine.
Tutaendelea kunyooshana hivi hivi tartiiibu mpaka kieleweke kwa manufaa ya mama Tanzania na si vinginevyo
Jana nimemuona AZAM TWO akirusha huo mpira kwa Lowassa...too low kwa kweli
Yaaani katika mambo ambayo siwaelewi ni kudhani maasibure kuja kuwa Mbunge!Mpwa hivi kweli kabisa unahangaika na maasibure????
Kama hakuna majibu hayo na najua Kubenea yumo ndani humu, tutajua HATUFAI. basi tutamchagua Masaburi mwenye nia njema na maendeleo ya jimbo.
Tutachagua Masaburi na si mwingine.
Tutaendelea kunyooshana hivi hivi tartiiibu mpaka kieleweke kwa manufaa ya mama Tanzania na si vinginevyo
Jana nimemuona AZAM TWO akirusha huo mpira kwa Lowassa...too low kwa kweli
Jana nimemuona AZAM TWO akirusha huo mpira kwa Lowassa...too low kwa kweli
Mkuu Kwanza ilitakiwa kisheria mtu kama huyu anyanganywe cheti cha uandishi wa habari. Kwa sababu kwa usalama wa nchi mijitu kama hii ni rahisi sana kuleta uchochezi na machafuko ndani ya nchi. Ni kama wale waandishi waliosababisha uchochezi na watu kuuana kule Kenya. MCT tafuteni utaratibu wa kuondoa waandishi makanjanja kama hawa tafadhaliMkuu kuna watu kama misukule BADO ina muamini kubenea ,sijui tumerogwa ,mtu anayeibadilikabadilika kama kinyonga ili tu atimize malengo yake nani atamuamini tena ,eti leo hii lowasa sio fisadi tena , kesho tena ataandika mengine kuhusu masubiri ,ili tu apate kik ,nani atamwamini tena huyu mzushi ,ni hatari sana kuwa na waaandishi wanafiki kama kubenea katika nchi
Mkuu Kwanza ilitakiwa kisheria mtu kama huyu anyanganywe cheti cha uandishi wa habari. Kwa sababu kwa usalama wa nchi mijitu kama hii ni rahisi sana kuleta uchochezi na machafuko ndani ya nchi. Ni kama wale waandishi waliosababisha uchochezi na watu kuuana kule Kenya. MCT tafuteni utaratibu wa kuondoa waandishi makanjanja kama hawa tafadhali
Too low unamaanisha nini jamani embu tumieni akili zenu walau wakati mwingine. Please go to details utufafanulie. Umesema too low kwa kulinganisha na nini, na analysis yako ilifanyikaje. Hatuhitaji watu jf waje kutoa vichekesho. Huu ni muda mbaya. Tunakwenda kufanya maamuzi kwa ajili ya nchi mama TanzaniaJana nimemuona AZAM TWO akirusha huo mpira kwa Lowassa...too low kwa kweli
naomna hii thread ni ya ubungo....napita ila masaburi hana lolote...nyie jifarijini humu mitandaon kazi iko oct 25
Tuambie Kubenea lolote alilokuwa nalo zaidi ya utapeli na uongo kupitia magazeti yake ya kihunihuni.
Huna haja ya kuoteshwa ushindi wa Magufuli upo wazi kabisa.
Wala siamini maono ya mtu naamini kura za wa TZ zinamshoot MAGUFULI toka CHATO hadi magogoni. Mtaamini tu ikifika 26 Oct.
Maswali mengine naona hayana mantiki kwa sababu unamuuliza Masaburi swali kama hilo wakati viongozi wakuu wa nchi walikuwepo. Masaburi ana uwezo gani wa kufanya maamuzi kuhusu masuala ya nchi. Ni ujuha tuu. UDA Iliuzwa wakati wa waziri mkuu Lowasa. Anzia hapo sasa, kwenye miaka ya 2008. Labda Lowasa ndio atuambie ukweli kuhusu UDA kwanza kwa sababu inawezekana Masaburi alikuwa mtekelezaji tu wa maagizo.
Pia of all the wananchi wa ubungo wameshaamua Kubenea hapati kitu. Tapeli mkubwa wa kisiasa kama huyu kupitia magazeti uchwara ya Mwanahalisi na Mawio, aende akafanye biashara zake za utapeli na uongo kwenye magazeti yake. Hakuna mtu anayemwamini tenaa. Labda atuambie kwanza je miaka yote aluvyokuwa anatuambia Lowasa na Sumaye ni mafisadi wa kutupwa, alikuwa ana maanisha kuwa ni wasafi au? Miaka yote aliokuwa akituambia Richmond ni Lowasa na Lowasa ni Richmond alikuwa ana maana gani. Asikimbilie vyeo tuu kabla hajatoa maelezo ya kutosha kwanza